uniq
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 5,089
- 31,084
Nakushukuru sana kwa Mchango wako, Baada ya kusoma maelezo yako nafikiri Nitajishughulisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji, ufugaji wangu utakuwa wa ndani ya banda
SWALI
wale kuku Machotara wanauwezo wa kuhatamia na kutotoa mayai?
Kuna mtu nimeona alipost hapa JF kuwa ana kuku aina ya MALAY ni kuku wa kienyeji ila asiliyao ni kutoka Malaysia. Hebu jaribu kutafuta post yake kama utaweza mtafute usikie kutoka kwake.
Angalia hii link
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/616728-habari-njema-kwa-wajasiriamali-na-wafugaji.html