Nakushukuru sana kwa Mchango wako, Baada ya kusoma maelezo yako nafikiri Nitajishughulisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji, ufugaji wangu utakuwa wa ndani ya banda
SWALI
wale kuku Machotara wanauwezo wa kuhatamia na kutotoa mayai?
View attachment 84075
Mkuu Tunashukuru sana kwa Semina Yako tumejadiliana na Mama Yoyoo tukaona ni bora tuboreshe Banda letu la Kuku tumefanya la Kisasa kama unavyoliona
Nitawapataje hao Chotara?Nimerudi wakuu,
Sikuwa na access ya mtandao,
baada ya kurudi bongo ninaishi mbugani mtandao hakuna,
nikienda mjini sikupata nafasi kuingia internet Cafe!!
Lakini ivi sasa problem is solved !!!
Mama Joel, ninafuga Vyotara, sirudi nyuma kwenye pure kienyeji, wanakua kwa spidi sana,
Mama Timmy, Asigwa, Liverpool FC, wachangiaji wote na wasomaji wetu,
nimefurahi kukuta Thread haijapelekwa Archive !!
Nyote nawapenda sana, tuendelee kujuzana!
Nimerudi wakuu,
Sikuwa na access ya mtandao,
baada ya kurudi bongo ninaishi mbugani mtandao hakuna,
nikienda mjini sikupata nafasi kuingia internet Cafe!!
Lakini ivi sasa problem is solved !!!
Mama Joel, ninafuga Vyotara, sirudi nyuma kwenye pure kienyeji, wanakua kwa spidi sana,
Mama Timmy, Asigwa, Liverpool FC, wachangiaji wote na wasomaji wetu,
nimefurahi kukuta Thread haijapelekwa Archive !!
Nyote nawapenda sana, tuendelee kujuzana!
Asante Zipuwawa, yaani nilikua nikijaribu siku nyingi kujoin nikawa nashindwa sasa nimeweza nimejisikia raha sana, maana nitakua na share na wafugaji wenzangu, Zipuwawa uko pande zipi wewe? mimi niko arusha.
Shaka Ondoanatamani cku moja kila mmoja atoe historia au aelezee jinsi anavyopambana na ufugaji wa kuku maana itakuwa inamfundisha na kumpa changamoto mwingine, yaan mfano nilianza na kuku kadhaaa, sasa nina kuku kadhaa, na nimepitia changamoto kadhaaa, yaan kama kubota alivyotoa mauzoefu yake.
Asanteni, nawapenda wote.