Ndugu biashara ni maelewano si lazima nikuuzie kwa bei unayotaka wewe.
Na kuku wote walishachukuliwa siku nyingi sana.
Asante sana kwa elimu nzuri sana. Uliyo yaandika mimi na kubaliana nayo sana. Mimi nilianza na ufugaji wa kuku wa nyama (Broiler) ila sasa nina fuga na kutotolesha kuku wa kienyeji aina ya Malay. Wengi wanawafananisha na kuchi kwakuwa niwakubwa na wanakuwa na nyama nyingi.
Karibu kwa anayetaka viaranga.
Karibuni SuDeKi Poultry.
sudeki.co.tz
Asante sana kwa elimu nzuri sana. Uliyo yaandika mimi na kubaliana nayo sana. Mimi nilianza na ufugaji wa kuku wa nyama (Broiler) ila sasa nina fuga na kutotolesha kuku wa kienyeji aina ya Malay. Wengi wanawafananisha na kuchi kwakuwa
niwakubwa na wanakuwa na nyama nyingi.
Karibu kwa anayetaka viaranga.
Karibuni SuDeKi Poultry.
sudeki.co.tz
uko wap?
Ahsante kwa bandiko lako murua
Je unayo fertile eggs za hawa kuku na utauzaje?
Awaiting for your reply soon