Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

aah hiyo sijawai sikia, me nawapaga machicha wanayala sana tu sijawai ona wakiumwa kifua,
unaishi wapi ww mkuu, ninahitaji kuku wa israel.

Mkuu mimi sina hao kuku wa Israel.
Nalog off
 
Thank u snochet!!
can I get ur number so that I can contact u for more clarification
 

Umenifanya nicheke..
 
Kuku gani wa kienyeji ni bora zaidi kufuga pure' chotara kuchi Malawi mombasa Israel nk naombeni msada. Ahsanteni sana.
 

jogoo wa kienyeji unanunua kwa bei gan tfanye biashara
 
Mandwa kuku 10000/= siuzi. Kwa biashara ni lazima niuze au unipangie bei? Hasira za nn? Sio lazima ununue kwangu. Wauzaji wa kuku mbona wengi tuu. Kwann utoke roho wakati kuku wako wengi tuu. Ya nn kujikosesha amani na usingizi? Its simple kama hujaridhika nenda kwa mwingine. Sasa kejeli za nn brother!?
 
Jaaamani Natafuta MTU anayeuza kuku wa kienyeji chotara itakuwa poa zaidi...Naitaji kama 10-15 hivi wa kuanzia miezi,4-5....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…