MpigfilimbiwaHamelin
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 652
- 167
Kila la heri, ila usisahau kufanya survey ya wapi wanakostawi kuku hao, kwani kuna hali ya hewa doesn't favour them. Mfano why wanastawi zaidi Singida kuliko sehemu nyingine.
Kuku gani
rejea mada
Mandwa kuku 10000/= siuzi. Kwa biashara ni lazima niuze au unipangie bei? Hasira za nn? Sio lazima ununue kwangu. Wauzaji wa kuku mbona wengi tuu. Kwann utoke roho wakati kuku wako wengi tuu. Ya nn kujikosesha amani na usingizi? Its simple kama hujaridhika nenda kwa mwingine. Sasa kejeli za nn brother!?
Jaaamani Natafuta MTU anayeuza kuku wa kienyeji chotara itakuwa poa zaidi...Naitaji kama 10-15 hivi wa kuanzia miezi,4-5....
Nakushauri ufuge wa kisasa - Layers. wa kienyeji it takes time na faida si kubwa vile unavyodhani - nitafute nikupe ushauri wa bure - meanwhile angalia kazi hii hapa
Hawa wako 900, wanatoa Tray 24 kila siku kila Tray 5000- Chakula chao ni kilo 125 approx Tshs 55,000/-
Mtaji wa kuanzia unahitaji kuwa na not less than 6m before you start production. Kama unataka mchakato mzima sema nitakutumia database yangu.
Nakuja jumamosi....mkuu..
Christmas ndo hiyoo imekaribiaPamoja kaka! Tujitume man! Nina target ya kuku 200 by Xmas this year! Mungu atanisaidia
Kwa wanaoitaji vitabu wanaweza kuniPm
nimevutiwa sana na somo ila tatizo mi nkifuga kuku wanakufa sana
vifaranga wa bata mzinga wanauzwa mbeya bei poa karibuni.