Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna nambayake mkuu nikokaribunae hukuPole mkubwa, beba mmoja uende nae kwa mtaalam akamcheki
Kabila lakiheheJe unaujua umri wa kuku wako wote? Je kabila la kuku wako unalijua?
Yeye abaki namayaisiyo???niceHao kuku wako wapi?
Tuangalie namna ya kufanya biashara (if possible tuchukue kuku wote hadi vifaranga!)
Kwa bei ya jumla kuku wote ni sh. ngapi?
Kabila lakihehe
Anza na chanjo ya New Castle,Baada ya muda flan unaweza ukawapa dawa ya minyoo then Anza kuwapa Ant-biotic OTC 20% au OTC 50% na Vitamin.Kama wanaharisha watwangie majani ya mpapai na uweke kwenye maji yao ya kunywa kwa wiki moja.
Ongezea na kisio la gharama mkuu
Chukua jani 1 la mpapai bichi,liponde lilainike kisha unachanganya na maji lita 2.05 (mbili na nusu)Kama ni wengi sana Majani 2 Kwa lita 5.
Mi nilihamia sehem kufika siku ya4 kuku na mbwa wadogo wakaanza kuumwa wakafa wote20,sijui hili eneo lina ugonjwa?