Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau kuna hili suala la kuku kutaga kisha kula mayai,pia kuna kuku ambaye wenzie wakitaga anavizia na kula mayai...linatibika vipi hili
kwa anayehitaji mayai ya kutotolesha au vifaranga kuku chotara. Tunao weusi wa malawi na kenbro, vifaranga vya siku moja 1500/ wiki moja 2000/ na wiki 2 ni 2500/. Mayai tray 11,500/. Tupo mbezi beach makonde. Karibuni
piga au sms saa zote 0712051816 au hii baada ya saa za kazi 0767246949mama joe weka namba yako please
majogoo yameisha umechelewa kidogo ila tuna vifaranga na mayai kwa oda. Sio lazima utoe advance. Karibumna dorep? Nahitaji dorep plz.kenbro naweza pata jogoo
mama joe nikihitaji kuku mkubwa bei yake
Mama joe,sms yangu hujajibu,umesema una kenbro,nimeuLIza dorep wapo?