Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisha kila bechi lina counter book yake au ukurasa na kila bechi liwe na jina au namba wake na hivyoWana jamii naomba msaada kwa wale wanaofuga kuku wa kisasa (broilers) mie kumbukumbu zao zinanipa shida japo faida napata lakini nashindwa kutenganisha hesabu za kila batch kwa kuwa ukianza na vifaranga wiki ya kwanza baada ya wiki mbili nachukua wengine tena na baada ya hapo kuku wa batch ya kwanza wanashirikiana chakula na madawa. Kwa wenzangu mliopiga hatua kwenye hili naomba mwanga.
Dr wa Ukweli .... ulifanikiwa kuanza mradi huu? plz nipatie information hii (ujenzi wa banda la kisasa, wapi napata ramani na garama zake zikoje ?) THAX
sikufanya tena mkuu ninaye mtumikia alinihamisha mjini now nipo kusini mwa TZ naangalia ustarabu mwingine
Mie naomba uzoefu wako tu kwa ufupi. Hasa Changamoto na Masoko.Ndugu wana jamii forum,ifike wakati tuache kulalamika, tujitume kwa bidii kufanya kazi kwani kazi ndio msingi wa maisha yetu.Vijana graduates kutoka vyuo mbalimbali tuwaze zaidi kwenye kujiajiri kuliko kuajiriwa,kuajilikiwa ni utumwa pia ni hasara kama utapiga vizuri hesabu zako.Kwa wastaafu pia wana fursa ya kutumia mafao yao vyema kwenye miradi ya ufugaji.
Kwa kuanzia tu naruhusu kuulizwa maswali kutoka kwa wale wote wanaojihusisha na ufugaji wa kuku, kama kuna jambo lolote linasumbua na kutaka kupata ufafanuzi .Pia kwa wanaohitaji kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku,utotoreshaji wa vifaranga,biashara ya uchanganyaji na uuzaji wa vyakula vya kuku nk ,kama watanzania tunaweza kusaidiana ili hatimae tuondokane na umasikini.Kila mtu awe msaada kwa watu wengine kwa fani aliyesomea.
Karibuni kwa mjadala.
kichwa mbovu na wengine,Ndugu wana jamii forum,ifike wakati tuache kulalamika, tujitume kwa bidii kufanya kazi kwani kazi ndio msingi wa maisha yetu....
Karibuni kwa mjadala.