Bize Bize
Member
- Nov 27, 2012
- 29
- 9
NDUGU SMU, kazi yako iko ndani ya uwezo wetu.Tuna uzoefu na hiyo kazi.Kuna wapo ambao tayari tumekwisha waanzishia mradi kama wako na wamefanikiwa, kwa mfano kuna mteja ambaye tumemwanzishia mradi na kwa sasa,kila mwezi anatoa kuku 5000 na kuwapeleka sokoni.Yeye anatotoresha na kufuga kuku wa kienyeji.Kila kuku anauzwa kwa shs.10,000 kwa bei ya jumla,ebu imagine kuku 5000 ni sh. ngapi anatengeza,ukipiga hesabu hapo utaona kila mwezi anatengeneza milioni 50.Akitoa gharama,let say milioni 20,je kuna kuna kazi gani ambayo unaweza ukaearn milioni 30 kwa mwezi!Kwa hiyo kama utahitaji ufafanuzi zaidi nitumie namba yako kwenye private message nitakutumia yangu.
Mkuu nimewasoma hapa na nimevutika sana! Maana leo nilikuwa shambani kwangu Miye ndo kwanza najiandaa kuanza ufugaji! Namiliki shamba kama eka 20 kijiji cha Kilimahewa kata ya Mkwechembe, tarafa ya Kimanzichana, wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani. Kwa kuanza nimepanda mipapai ekari moja na robo. Shamba lina michungwa ya asili ilipandwa zamani bado inatoa machungwa ya kutosha.
Ninafikiria sana kuanza ufugaji wa kuku wa mayai, lakini kwa kuanza naanza na kuku wa kienyeji .
Natafuta wadau/washirika tusaidiane kupambana na umasikini.
Tafadhali nisaidie mawazo/maoni yako, napambanaje hapa!
Nipo kwa moddyguyz@yahoo.com ama 0787519910.
Natanguliza shukurani!!