Msaada kuku wa mayai
Habari mama malila!?
Una uzoefu na kuku wa malawi??? Je wakoje katika ufugaji??? Wanahitaji nini hasa???
Niliingiza vifaranga 1,000 vya nyama - vikadumaa vyote - nusu vikafa- badala ya kupata hardly 3200*1000= 3.2m. nikajikuta napata laki Sita. kwa hiyo wageni wa ufugaji this business is so risk - usije kopa pesa ukaingia kwenye biashara hii utahama nyumba kukwepa deni la watu.
Anza na mtaji wako mwenyewe ili uwe kwenye safe side.
Umeuliza swali ambalo kinanisumbua sana, wakuu tusaidie majibu kwa wenye ujuviKatika Mtizamo wa kibiashara wenye faida nzuri kufuga kuku wa Mayai na kufuga kuku Chotara ni aina gani ndiyo nzuri.
shukrani sana
Muulize Aman AtakujibuDaa nahitaji na mimi kujua