PM price, location na kiasi gani unaanzia kuuza.Habarini mabibi na mabwana.
Natafuta tender ya ku-supply vumbi la dagaa, kwa wafugaji/watengenezaji wa chakula cha kuku.
Mwenye uhitaji 0789925300.
Mkuu, ulishawai kufuga kuku, japo 50? Maana kama ni wale broilers wakipata ugonjwa unaweza kupata presha, tena kama pesa ndo za FINCA, itakula kwako. Bora kuku wa mayai, ila ndio hivyo uwe na mtaji mnene coz wanakula kwa miezi 5-6 ndo waanze kutaga mayai!
Habari wa ndugu kwa wale wafugaji wa kuku wa nyama nafahamu katika kuandaa banda la kuku kwa ajiri ya kuingiza vifaranga n lazima pawepo na malanda na malanda mazuri hasa ambayo hayana mazala kwa kuku wako n malanda ya mpunga japo kwa apa dar n garama kidogo kwa roba moja ni 7000 ad 8000 mm nawapa solution na unafuu kidogo wa haya malanda kwa roba moja utapata kwa 5000 na pia kadri unavyozid chukua tunaweza fanya biashara ya mali kauli na punguzo zaidi ya hapo tuwasiliane wana ndugu
Wakongwe,
Kuna ndugu yangu ameanza mradi wa ufugaji kuku wa kisasa miezi kadhaa iliyopita.
Ila changamoto anayopata ni katika kupata masoko,aliingia kwenye ufugaji bila kufanya utafiti wa masoko.
Kwa wenye kufahamu namna anaweza kupata masoko naomba mtusaidie..!
Kwanini umeweka “hawa kuku tu”Hii thread imekuwapo toka mwaka 2009, yaani miaka 11 hadi leo, sasa tunaomba mrejesho kama kuna mwana JF aliyefanikiwa kutoka kimaisha - yaani kusomesha watoto shule nzuri, kujenga nyumba, kununua gari nk kupitia hawa kuku tu...
Mimi nipo Bunju
Mkuu bado unaendelea na ufugaji?Kaka nataka nianze na kuku 1,000. Actually I want that to be my reliable busines yaaani niachane na hizi ajira tunazo danganyana nazo.
Thanks
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuuYaani mpaka nimesahau kama nimewahi kufuga kuku. Nilipata changamoto nyingi nikainua mikono
Hata mimi nipo nafuga nakutana na Changamoto sana kiongozi.Yaani mpaka nimesahau kama nimewahi kufuga kuku. Nilipata changamoto nyingi nikainua mikono
Hata mimi nipo nafuga nakutana na Changamoto sana kiongozi.
Yan ni basi tu
Asante kwa sasa unafanya nini.Unatumia gharama kubwa sokoni wanakuzingua. ila pambna kiongozi I believe one day yes Tunaelimika kutokana na makosa. Nina imani ulivyo sasa ni tofauti na ulivyoanza.