newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,385
- 568
Je, faida za kuku wa nyama zikoje? Kuna mtu ameniambia faida ni 50%.i.e ukiweka vifaranga vya milioni moja, then tarajia faida ya laki 5.
Mimi nataka nianze na uzalishaji wa chakula cha mifugo, walio wahi kuzalisha chakula cha kuku naomba ushauri na jinsi ya kuanza.
Mimi nataka nianze na uzalishaji wa chakula cha mifugo, walio wahi kuzalisha chakula cha kuku naomba ushauri na jinsi ya kuanza.