Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

View attachment 97196
Huu ndiyo mwonekano wa mbele wa kitabu changu cha mwongozo wa ufugaji bora wa kuku.Bado naendelea kukiuza kwa wafugaji mbalimbali kote nchini.
Kweli lichwa mbovu unatisha! Kwa mwonekano huo, namini na mambo yaliyomo ndani ni ya uhakika na kwa hiyo bei ni halali. Hata nikipata sofy copy, lazima nitafute hiyo hard copy. Asante kichwa mbovu kwa yote na tuko pamoja.
 
Mh.king kingo,unatakiwa angalau uwe na kuku wazazi 200.

Mkuu kichwa

Asante kwa ufafanuzi wako hivi ni shilingi ngapi hao kuku wazazi na inachukua muda gani mimi kuwapata toka nimetoa order? Na wanakuja wakiwa na umri gani?
 
Mkuu kichwa,

Asante kwa ufafanuzi wako hivi ni shilingi ngapi hao kuku wazazi na inachukua muda gani mimi kuwapata toka nimetoa order? Na wanakuja wakiwa na umri gani?
King kingo,

Toka umeweka order,inachukua wiki 4 tu mpaka kuwapata.Kuku hawa wanakuja wakiwa na umri wa siku moja.Gharama kwa kifaranga mmoja ni tsh 16,000/=ikiwa ni pamoja na usafiri mpaka Dar es salaam (Mwl Nyerere International airport). Bei hizi ni kwa mujibu wa poforma invoice niliyotumia kuagizia vifaranga hao wazazi 6 July 2010.
 
Kweli lichwa mbovu unatisha! Kwa mwonekano huo, namini na mambo yaliyomo ndani ni ya uhakika na kwa hiyo bei ni halali. Hata nikipata sofy copy, lazima nitafute hiyo hard copy. Asante kichwa mbovu kwa yote na tuko pamoja.

Nakushukuru mzee wangu Mukaruka,heshima sana kwako.
 
King kingo,

Toka umeweka order,inachukua wiki 4 tu mpaka kuwapata.Kuku hawa wanakuja wakiwa na umri wa siku moja.Gharama kwa kifaranga mmoja ni tsh 16,000/=ikiwa ni pamoja na usafiri mpaka Dar es salaam (Mwl Nyerere International airport).Bei hizi ni kwa mujibu wa poforma invoice niliyotumia kuagizia vifaranga hao wazazi 6 july 2010.

Ok sawa na je, huwa wanachukua muda gani kuanza kutaga? Na chakula chao ni kama cha layers wa kawaida na kwa mfano nikiagiza 200 nitapataje uhakika kuwa wote watakuwa wanataga? Kwasababu nilishawahi kufuga kuku wa mayai lakini sio wote walikuwa wanataga.
 
Ok sawa na je huwa wanachukua muda gani kuanza kutaga? na chakula chao ni kama cha layers wa kawaida na kwa mfano nikiagiza 200 nitapataje uhakika kuwa wote watakuwa wanataga? kwasababu nilishawahi kufuga kuku wa mayai lakini sio wote walikuwa wanataga

King kingo,

Kuku hawa wanaanza kutaga wakiwa na umri wa wiki kumi na tisa.Kuku wazazi wa mayai wanataga sana kama utafuata masharti yao ya malezi pamoja na chakula.Kwa kawaida sio rahisi kuku wote katika kundi wakawa wanataga,isipokuwa kwa kuku wazazi wa mayai wanapokuwa kwenye kilele cha utagaji wanataga hadi asilimia 96.

Kuku wako wa mayai hawakuwa wanataga wote inategemea na aina ya management uliyokuwa unawapa.Lakini vinginevyo kuku hawa ni watagaji wazuri tu,laita ungewasiliana na mimi ningekuuzia uchawi wa dactari na kuku wako wangetaga vizuri.

Najua changamoto kubwa inayowakabili wafugaji wa kuku ni kwenye utagaji hasa kutokana na chakula wanachowalisha kutokuwa na ubora unaotakiwa,pia kuku hawa kukabiliwa na magonjwa na mfugaji kushindwa kuyatambua n.k Kuhusu suala la utagaji nishalifanyia utafiti na nimepata mafanikio makubwa sana.Kama una kuku ambao hawatagi au wameonekana wanaelekea kuchoka katika utagaji kabla ya muda wake tuwasiliane hata usiwauze,watataga vizuri sana mpaka utashangaa.

Kiukweli katika ufugaji wa kuku hakuna kubahatisha kwenye ushughulikiwaji matatizo vinginevyo hasara haiepukiki.Kwa suala la kuku kushindwa kutaga katika malengo yaliyokusudiwa siyo tatizo tena ukifanya mawasiliano nami.

Kuku wazazi wanachakula chao maalum ambacho kinatengenezwa kwa kutumia malighafi hizi hizi zinazotumika kutengenezea chakula cha kuku wa kawaida yaani Layers na Broilers.Kuku wazazi wa kuku wa mayai ni watagaji sana na ndio maana hiyo tabia wamewarisisha watoto wao yaani kuku wa mayai wa kawaida.

Kuku wazazi wa mayai au nyama ninaowaagiza ndio hao hao hata hayo makampuni makubwa ya utotoleshaji wa vifaranga ndiyo waliyokuwa nao,na wengi wao wao wanaagizia huko huko ambako mimi naagizia.
 
King kingo,
Kuku hawa wanaanza kutaga wakiwa na umri wa wiki kumi na tisa.Kuku wazazi wa mayai wanataga sana kama utafuata masharti yao ya malezi pamoja na chakula.Kwa kawaida sio rahisi kuku wote katika kundi wakawa wanataga,isipokuwa kwa kuku wazazi wa mayai wanapokuwa kwenye kilele cha utagaji wanataga hadi asilimia 96.

Kuku wako wa mayai hawakuwa wanataga wote inategemea na aina ya management uliyokuwa unawapa.Lakini vinginevyo kuku hawa ni watagaji wazuri tu,laita ungewasiliana na mimi ningekuuzia uchawi wa dactari na kuku wako wangetaga vizuri.

Najua changamoto kubwa inayowakabili wafugaji wa kuku ni kwenye utagaji hasa kutokana na chakula wanachowalisha kutokuwa na ubora unaotakiwa,pia kuku hawa kukabiliwa na magonjwa na mfugaji kushindwa kuyatambua n.k Kuhusu suala la utagaji nishalifanyia utafiti na nimepata mafanikio makubwa sana.Kama una kuku ambao hawatagi au wameonekana wanaelekea kuchoka katika utagaji kabla ya muda wake tuwasiliane hata usiwauze,watataga vizuri sana mpaka utashangaa.

Kiukweli katika ufugaji wa kuku hakuna kubahatisha kwenye ushughulikiwaji matatizo vinginevyo hasara haiepukiki.Kwa suala la kuku kushindwa kutaga katika malengo yaliyokusudiwa siyo tatizo tena ukifanya mawasiliano nami.

Kuku wazazi wanachakula chao maalum ambacho kinatengenezwa kwa kutumia malighafi hizi hizi zinazotumika kutengenezea chakula cha kuku wa kawaida yaani Layers na Broilers.Kuku wazazi wa kuku wa mayai ni watagaji sana na ndio maana hiyo tabia wamewarisisha watoto wao yaani kuku wa mayai wa kawaida.

Kuku wazazi wa mayai au nyama ninaowaagiza ndio hao hao hata hayo makampuni makubwa ya utotoleshaji wa vifaranga ndiyo waliyokuwa nao,na wengi wao wao wanaagizia huko huko ambako mimi naagizia.

Mkuu wewe unauza vifaranga wa kuku wayai? siku hizi kupata kuku wazuri ni issue
 
Mkuu wewe unauza vifaranga wa kuku wayai? siku hizi kupata kuku wazuri ni issue
Sabayi,

Kwa sasa siuzi vifaranga wa kuku wa mayai kutokana na ubusy nilionao ila kama unahitaji ninaweza nikakulink na wazalishaji pamoja na maagent wa vifaranga.Huko utapata vifaranga bora kabisa. Pia vifaranga chotara bado wanapatikana kwa wingi kabisa.
 
Vifaranga wazazi wa kuku wa nyama n mayai wanazalishwa kwa sasa nchini Kenya, kuna kampuni moja inawazalisha na kuuza nchi mbalimbali
 
Vifaranga wazazi wa kuku wa nyama n mayai wanazalishwa kwa sasa nchini Kenya, kuna kampuni moja inawazalisha na kuuza nchi mbalimbali

Yes nafahamu,ni kampuni ya Aviagen,nadhani ni ya uingereza kama si ufaransa.Sijui kama wanasuply pia hata kuku wazazi wa mayai,wa nyama nafahamu wanasupply kwani mwezi wa pili mwaka huu nilimwagizia mteja wangu mmoja hivi wa Dar.Kwa hiyo kampuni ya Aviagen wamefungua kituo kenya kwa ajili ya kusupply kuku wazazi wa nyama kwa nchi za afrika mashariki na kati.
 
Mradi wa shamba la utotoleshaji wa vifaranga,mahitaji yanayohitajika roughly

Kuku wazazi wa mayai 1300 ,gharama ni tshs.20,800,000/=,kwa idadi hii ya kuku wazazi utahitaji incubators 4 zenye uwezo wa kubeba mayai 5280 kila moja,na kwa wiki mashine moja itaingiza mayai 1760 x 4=kwa wiki utatotolesha mayai 7040.Kuku wazazi 1130 watatoa si chini ya mayai 7210.Gharama za incubators 4 tshs.8000000/=

Gharama ya chakula mpaka kuanza kutaga ni tsh 9040000/=Gharama ya madawa na dactari ni tsh.7232000/=Utaongeza gharama za nyumba moja kwa ajili ya kutotoleshea,nyumba moja tena kwa ajili ya bruda,na nyumba nyingine kwa ajili ya kuwalelea kuku wazazi.
Utahitaji pia mixing machine kwa ajili ya kutengenezea chakula,ila haina haraka sana,kwani unaweza kuanza kwa kutengeneza manually.

Majengo unaweza ukayajenga simple kwa kuanzia na kisha ukawaajili walinzi.Pia utahitaji wafanyakazi Utahitaji wafanyakazi 5,hatchery 1,kwenye kuku wazazi 1,kwenye vifaranga 1,na kwenye utengenezaji wa chakula 2.Utahitaji pia at least ekari moja kwa ajili ujenzi wa miundo mbinu.

Mradi wa utotoleshaji wa vifaranga unalipa sana,sema tu unahitaji mtaji mkubwa wa kuanzisha biashara.
 
Mradi wa shamba la utotoleshaji wa vifaranga,mahitaji yanayohitajika roughly
Kuku wazazi wa mayai 1300 ,gharama ni tshs.20,800,000/=,kwa idadi hii ya kuku wazazi utahitaji incubators 4 zenye uwezo wa kubeba mayai 5280 kila moja,na kwa wiki mashine moja itaingiza mayai 1760 x 4=kwa wiki utatotolesha mayai 7040.Kuku wazazi 1130 watatoa si chini ya mayai 7210.Gharama za incubators 4 tshs.8000000/=

Gharama ya chakula mpaka kuanza kutaga ni tsh 9040000/=Gharama ya madawa na dactari ni tsh.7232000/=Utaongeza gharama za nyumba moja kwa ajili ya kutotoleshea,nyumba moja tena kwa ajili ya bruda,na nyumba nyingine kwa ajili ya kuwalelea kuku wazazi.
Utahitaji pia mixing machine kwa ajili ya kutengenezea chakula,ila haina haraka sana,kwani unaweza kuanza kwa kutengeneza manually.

Majengo unaweza ukayajenga simple kwa kuanzia na kisha ukawaajili walinzi.Pia utahitaji wafanyakazi Utahitaji wafanyakazi 5,hatchery 1,kwenye kuku wazazi 1,kwenye vifaranga 1,na kwenye utengenezaji wa chakula 2.Utahitaji pia at least ekari moja kwa ajili ujenzi wa miundo mbinu.

Mradi wa utotoleshaji wa vifaranga unalipa sana,sema tu unahitaji mtaji mkubwa wa kuanzisha biashara.

Mkuu vp soko la vifaranga usije ukazalisha vifaranga then ukaishia kuvifuga mwenyewe
 
Mkuu vp soko la vifaranga usije ukazalisha vifaranga then ukaishia kuvifuga mwenyewe

Sabayi,

Soko la vifaranga hapa nchini sio tatizo.Ukitaka kujua kuwa soko sio tatizo nenda kaagize vifaranga kwenye makampuni yanayototolesha vifaranga,halafu tazama foleni ya kuweka oder ndipo utakapajua mahitaji ya vifaranga ni makubwa kuliko uzalishaji.

Watu wengi wanahitaji kufuga lakini tatizo linakuwa kwenye upatikanaji wa vifaranga. Huwezi kwa hali ilivyo sasa,ukawa na mtaji wako wa kununulia vifaranga na ukaenda kwa wazalishaji ukapata vifaranga papo kwa papo, ni lazima uweke oder na hiyo oder unakuta inachukukua siyo chini ya miezi 2. Hii inamaanisha kwamba mahitaji (soko) ya vifaranga ni makubwa kuliko uzalishaji.
 
Mradi wa shamba la utotoleshaji wa vifaranga,mahitaji yanayohitajika roughly
Kuku wazazi wa mayai 1300 ,gharama ni tshs.20,800,000/=,kwa idadi hii ya kuku wazazi utahitaji incubators 4 zenye uwezo wa kubeba mayai 5280 kila moja,na kwa wiki mashine moja itaingiza mayai 1760 x 4=kwa wiki utatotolesha mayai 7040.Kuku wazazi 1130 watatoa si chini ya mayai 7210.Gharama za incubators 4 tshs.8000000/=

Gharama ya chakula mpaka kuanza kutaga ni tsh 9040000/=Gharama ya madawa na dactari ni tsh.7232000/=Utaongeza gharama za nyumba moja kwa ajili ya kutotoleshea,nyumba moja tena kwa ajili ya bruda,na nyumba nyingine kwa ajili ya kuwalelea kuku wazazi.
Utahitaji pia mixing machine kwa ajili ya kutengenezea chakula,ila haina haraka sana,kwani unaweza kuanza kwa kutengeneza manually.

Majengo unaweza ukayajenga simple kwa kuanzia na kisha ukawaajili walinzi.Pia utahitaji wafanyakazi Utahitaji wafanyakazi 5,hatchery 1,kwenye kuku wazazi 1,kwenye vifaranga 1,na kwenye utengenezaji wa chakula 2.Utahitaji pia at least ekari moja kwa ajili ujenzi wa miundo mbinu.

Mradi wa utotoleshaji wa vifaranga unalipa sana,sema tu unahitaji mtaji mkubwa wa kuanzisha biashara.

Mkuu hizo gharama zako sio kabisa, kwaza kwenye Incubator unasema incubator 4 ni Tsh 8,000,000

- Na ado razima uwe na Genereta kubwa kabisa
- Bado mafuta
- Bado gharama za umeme
- Na kujitengenezea mwenyeyewe chakula cha kuku wengi bila mixer n hatari sana,
- Na kwa biashara kama hii ni lzima uwe na zile automatic systema za chakula na maji na hata mayai yanapo tagwa

KWA KIFUPI GHARAMA ZIKO JUU SANA NGOJA KUNA MCHANGANUO FULAI NILIKUWANAO NIKIUPAT NITAKULETA UONE ILIVYO GHARI SANA
 
Mkuu hizo gharama zako sio kabisa, kwaza kwenye Incubator unasema incubator 4 ni Tsh 8,000,000

-Na ado razima uwe na Genereta kubwa kabisa
-Bado mafuta
-Bado gharama za umeme
-Na kujitengenezea mwenyeyewe chakula cha kuku wengi bila mixer n hatari sana,
- Na kwa biashara kama hii ni lzima uwe na zile automatic systema za chakula na maji na hata mayai yanapo tagwa

KWA KIFUPI GHARAMA ZIKO JUU SANA NGOJA KUNA MCHANGANUO FULAI NILIKUWANAO NIKIUPAT NITAKULETA UONE ILIVYO GHARI SANA

Chasha,

Hii habari sijaandika from no where ,ni mwezi tu uliopita kuna mtu nimemwagizia machine za kutotolea vifaranga kutoka china kwenye kampuni ya alibaba,ni machine zenye uwezo wa kuingiza mayai 5280 kila moja.Kila machine moja ilinunuliwa kwa tsh 2milion including transport cost to Dar es salaam port.

Kuhusu uchanganyaji wa chakula kwa njia ya manual inatumika kama mtaji wako hauruhusu kupata mixer.Hivyo wakati unajipanga kupata mixer,ndipo unachanganya kwa njia ya manual,kuku wazazi 1130 ni wachache sana hata wasikuogopeshe. Uchanganyaji wa chakula kwa njia ya manual unaanza na ili malighafi ndogo kabisa kuelekea kwenye nyingi,na mambo yanakaa tu vizuri.

Jenarator ni sawa, itacost 1.2milion.

Gharama hizo ni kwa ajili kuku wazazi 1130.
 
Jamani nataka kufuga kuku je kuna haja ya kusomea au inakuaje? Naombeni msaada wakubwa.
 
Back
Top Bottom