Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,951
- 1,446
Mkuu me nilikuwa naomba msaada wapi naweza kupata mbuzi kama majike 5 na madume wawili nianze ufugaji pole pole naomba msaada tafadhaliHabari za leo ndugu kwaupande wangu sijawahi kuuza hivyo lakini naamini itategemeana na maeneo husika na mahitaji ya muuzaji, maana kuuza mwenye Mimba lazima mfugaji atakuwa amebanwa na hana njia mbadala lazima amtoe mwenye Mimba.