Manchid
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 221
- 475
- Thread starter
- #121
Wazo zuri Sana mkuu tupo pamoja ktk hili
Naomba niwaambie kitu kimoja tushirikishane juu ya upatikanaji wa dawa/chanjo za mifugo yetu na vifaa mbali mbali vinavyohitajika kwa mfugo wetu ili kama inatakiwa kusaidiana jinsi ya kuvipata iwe rahisi naomba kuwakilisha.