Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajukuu wana enjoy barikiwa sana kaka.Harakati zilienda hv leoView attachment 1736174View attachment 1736175
naomba kutoa mrejesho wa hawa mbuzi baadaya kufika waliopo. nilipata baraka ya kufika kwa kaka aisee sikuamini nilicho kiona wana JF KUNA WATU WANA MBUZI. Hilo galla ni bonge moja la mbuzi tofauti na picha hzi hapo kwenye picha huwezi gundua ukubwa wake ni tofauti na uhalisia (uhalisia ni likubwa sana nahisi yupo kwenye 120 kg), na kuna aina nyingine nyingine za mbuzi ambazo ata kuziona sijawahi. nilijifunza baadhi ya aina ya mbuzi namna ya ufugaji wake, chakula, banda, alama ambavyo kwangu imekua funzo na kupata namna ya kuboresha na mimi shamba langu. Kwa moyo ya dhati nasema asante sana kaka kwa fursa hiyo na uzidi kubalikiwaGalla huyu kanunuliwa sh laki5
naomba kutoa mrejesho wa hawa mbuzi baadaya kufika waliopo. nilipata baraka ya kufika kwa kaka aisee sikuamini nilicho kiona wana JF KUNA WATU WANA MBUZI. Hilo galla ni bonge moja la mbuzi tofauti na picha hzi hapo kwenye picha huwezi gundua ukubwa wake ni tofauti na uhalisia (uhalisia ni likubwa sana nahisi yupo kwenye 120 kg), na kuna aina nyingine nyingine za mbuzi ambazo ata kuziona sijawahi. nilijifunza baadhi ya aina ya mbuzi namna ya ufugaji wake, chakula, banda, alama ambavyo kwangu imekua funzo na kupata namna ya kuboresha na mimi shamba langu. Kwa moyo ya dhati nasema asante sana kaka kwa fursa hiyo na uzidi kubalikiwa
asante mkuu binafsi ata aina za mbuzi nilikua sizijuiHongera Sana mkuu Kwa kujifunza Mambo mapya
Karibu sana kaka hili ni letu sote hata maandiko matakatifu yanatuasa tupendane, ukikwama popote kaka tutafutane kikubwa sote tufikie malengo na baraka za Mungu ziwe juu ya wafugaji wote, tugawane tone la upendo kwetu sote ili tufikie malengo.naomba kutoa mrejesho wa hawa mbuzi baadaya kufika waliopo. nilipata baraka ya kufika kwa kaka aisee sikuamini nilicho kiona wana JF KUNA WATU WANA MBUZI. Hilo galla ni bonge moja la mbuzi tofauti na picha hzi hapo kwenye picha huwezi gundua ukubwa wake ni tofauti na uhalisia (uhalisia ni likubwa sana nahisi yupo kwenye 120 kg), na kuna aina nyingine nyingine za mbuzi ambazo ata kuziona sijawahi. nilijifunza baadhi ya aina ya mbuzi namna ya ufugaji wake, chakula, banda, alama ambavyo kwangu imekua funzo na kupata namna ya kuboresha na mimi shamba langu. Kwa moyo ya dhati nasema asante sana kaka kwa fursa hiyo na uzidi kubalikiwa
Banda langu Leo limepokea mgeni mwenye mimba
Namshkuru Mungu Kwa utukufu wake[emoji120]View attachment 1738201
Barikiwa sana kaka kazi ya mikono yako idumu na zizi lako lijae kwa kadiri ya mapenzi mema ya Mungu.Banda langu Leo limepokea mgeni mwenye mimba
Namshkuru Mungu Kwa utukufu wake[emoji120]View attachment 1738201
safi sana mapambano yanaendeleaBanda langu Leo limepokea mgeni mwenye mimba
Namshkuru Mungu Kwa utukufu wake[emoji120]View attachment 1738201
Naomba niwaambie kitu kimoja tushirikishane juu ya upatikanaji wa dawa/chanjo za mifugo yetu na vifaa mbali mbali vinavyohitajika kwa mfugo wetu ili kama inatakiwa kusaidiana jinsi ya kuvipata iwe rahisi naomba kuwakilisha.
hakika tukishilikiana kwa pamoja lazima mambo yaende vizuri hata Mungu anaachia baraka zakeNaomba niwaambie kitu kimoja tushirikishane juu ya upatikanaji wa dawa/chanjo za mifugo yetu na vifaa mbali mbali vinavyohitajika kwa mfugo wetu ili kama inatakiwa kusaidiana jinsi ya kuvipata iwe rahisi naomba kuwakilisha.
This is a real deal mwanangu.Mambo vp ndugu zangu, ebwana ndugu yenu nmerudi tena ili tuendelee kupeana elimu kuhusu maswala mbali mbali yenye manufaa.
Leo nataka nikueleze maajabu nilioyashuhudia kwenye ufugaji wa Mbuzi wa kienyeji, ndugu zangu ufugaji watu wanauchukulia poa Sana lakini Una faida kubwa na za kushangaza.
Mnamo mwezi wa Saba mwaka 2020 nilinunua Mbuzi nane majike, na kwakua skua na Banda nilienda kuwaweka Kwa rafki yangu mwalimu wa shule ya masingi ambae nae pia alikua akifuga Mbuzi kadhaa.
Ilipofika mwezi wa 10 tayari nilikua nmepaua mabanda yangu na hii ilinifanya nipate hamu ya kuwafata Mbuzi wangu, mapema mwezi wa 11 niliwafata Mbuzi wangu na kuanza kuwafuga nyumbani kwangu, nikiwa tayari nmepata kijana wa kuwachunga.
Mbuzi Hawa kipindi nawanunua walikua kwenye muda wao wa kuanza kupandwa, namshkuru Mungu huyu rafki yangu mwl alikua na Dume bora kabisa so Mbuzi wangu alipofika kwake walianza kushughulikiwa barabara,
Tarehe moja Dec Mbuzi wangu wa 1 akazaa kitoto jike, tarehe 17mwezi huo huo Mbuzi wangu mwingine akazaa watoto wawili mmoja dume na mwingine jike, mpk kufkia tarehe za mwishoni mwa mwezi wa Kwanza Mbuzi wangu Saba walikua wamezaa na alikua kabaki mmoja tu nae alikua na mimba
Mwezi huu wa pili nae huyu akazaa vitoto viwili, na yule Mbuzi aliezaa mweiz wa 12 tayari amepandwa tena na atazaa mwaka huu huu,
Baada ya kuona namna Mbuzi wangu walivyozaa mfululizo kwakweli nilifurahi Sana, na nikaamua kuingia moja Kwa moja kwenye ufugaji wa Mbuzi wa kienyeji huku nikiwa na malengo lukuki, mwezi huu wa pili mwanzoni niliamua kuingia tena mnadani na kuongeza Mbuzi wengine nane ambao nao wawili walipofika tu wakanipatia ndama wawili, ukawa mwanzo rasmi wa me kuingia kwenye ufugaji wa Mbuzi.
Hivyo basi bila hiyana wala choyo, nmeamua kuandika hapa ili kuwapa motisha ndugu zangu ambao wanatamani kuingia kwenye ufugaji wa mbuzi wa kienyeji, hakika Mbuzi Wana faidia Sana,wanazaa Kwa muda mfupi na ndama wa miezi mitatu ukimuangalia unaweza usiamini, wanakua kwa Kasi Sana., Karibuni tuendelee kupeana ujuzi na elimu mbali mbali kuhusu ufugaji ,vile vile najihusisha na ufugaji wa kuku wa kienyeji,kanga,bata mzinga,bata wa kawaida,na ng'ombe wa kienyeji.
Karibuni sana.
Instagram unaweza nicheki Kwa jina la
@rashidmbuzi89
View attachment 1714808View attachment 1714809View attachment 1714810