Ufugaji wa mbuzi wa nyama kibiashara unalipa?

Ufugaji wa mbuzi wa nyama kibiashara unalipa?

Changamoto katika ufugaji wa mbuzi ni hii

Mbuzi wa kisasa ni rahisi kuwafuga hata kwenye eneo dogo na wanakua haraka sana ukizingatia kanuni zake
Changamoto ni soko, watu wengi hawapendi mbuzi wa kisasa

Mbuzi wa kienyeji wana soko kubwa sana
Changamoto yao ni kwamba wanakua taratibu sana, wanahitaji eneo kubwa la malisho na hawafanyi vizuri ukiwafungia eneo dogo,
Ni wasumbufu sana
 
M8e nawazo hilo naona ugumu ipo how to graze 200 goat. Chukulia shamba lako ni heka 20. Zenyewe uneziweka kwenye heka 2. Hizo 18 una panda nyasi.
Je unazilishaje ?
Unaziacha tu au kuna utaalamu wa kuziswaga zisisambaee eneo lote. Je mbuzi 200 wabakula eneo gani kwa s9ku. Ninampango wa kufuga na tayari mbegu mapacha ninao 8.
Nataka niwe napata turn over ya molioni 10 kwa mwaka je nafanyeje. Inawezekana hasa kwa mbuzi mama 100 ?
Eka 20 ni nyingi sana Kwa mbuzi 200, ila hakikisha una kisima/maji ya kumwagilia majani ya kuwalisha
 
Eka 20 ni nyingi sana Kwa mbuzi 200, ila hakikisha una kisima/maji ya kumwagilia majani ya kuwalisha
Kweli kuna video ya jamaa wa Uganda anafuga wa kisasa, kwenye heka moja ana mbuzi 50, amepanda majani, ipo you tube nashindwa kuweka link yake hapa, kwa heka 20 hizo nyingi sana hata mbuzi 1000 anaweka kwa ufugaji wa kisasa.. kupanda majani,kisima cha maji na kulisha kwa vizimba
 
Weka ata jina la video tuka angalie
Kweli kuna video ya jamaa wa Uganda anafuga wa kisasa, kwenye heka moja ana mbuzi 50, amepanda majani, ipo you tube nashindwa kuweka link yake hapa, kwa heka 20 hizo nyingi sana hata mbuzi 1000 anaweka kwa ufugaji wa kisasa.. kupanda majani,kisima cha maji na kulisha kwa vizimba
 

Attachments

  • Screenshot_20240925_223716_YouTube.jpg
    Screenshot_20240925_223716_YouTube.jpg
    244.3 KB · Views: 25
Kwanini kondoo mkuu? Fafanua na soko
1. Kondoo ana soko kubwa kuliko mbuzi, nyama ya kondoo haileti gauti
2. Kondoo ni watulivu kuliko mbuzi
3.Ulaji wa kondoo unahimilika
4. Kondoo anazaliana kwa kasi ana uwezo wa kuzaa mara 3 kwa mwaka

Kondoo ni mfugo wa nyama ya binadamu, mbuzi ni mfugo kwa ajili ya maziwa na nyama za mifugo wakali walao nyama.
 
1. Kondoo ana soko kubwa kuliko mbuzi, nyama ya kondoo haileti gauti
2. Kondoo ni watulivu kuliko mbuzi
3.Ulaji wa kondoo unahimilika
4. Kondoo anazaliana kwa kasi ana uwezo wa kuzaa mara 3 kwa mwaka

Kondoo ni mfugo wa nyama ya binadamu, mbuzi ni mfugo kwa ajili ya maziwa na nyama za mifugo wakali walao nyama.
Aisee nimepata kitu kipya! Maana na deal na mbuzi, sikuwa najua kuhusu kondoo kuzaa mara 3 ni bingo hapo mzee. Kuna mfugaji hapa jirani inabidi nikamtembelee anafuga kondoo tu, sikuwa najua hii siri
 
Ktk ufugaji tunapashwa kutafuta Mbegu zilizo bora, majike walio bora na maumbo makubwa ili waweze kukuletea uzao ulio bora ndani ya miezi 6 aweze kutoa aidha kama mbegu au wa supu.
 
1. Kondoo ana soko kubwa kuliko mbuzi, nyama ya kondoo haileti gauti
2. Kondoo ni watulivu kuliko mbuzi
3.Ulaji wa kondoo unahimilika
4. Kondoo anazaliana kwa kasi ana uwezo wa kuzaa mara 3 kwa mwaka

Kondoo ni mfugo wa nyama ya binadamu, mbuzi ni mfugo kwa ajili ya maziwa na nyama za mifugo wakali walao nyama.
Samahani naomba ufafanuzi hapo kwenye Kondoo kuzaa mara 3 kwa mwaka, ninavyo fahamu kondoo ukuwaji wake ndio wakasi tofauti na Mbuzi.
 
Kikubwa nacho shauri usinunue Mbugu kuanzisha ufugaji kabla huja tembelea wafugaji wenzako ili uweze kujua mahitaji, matunzo ,usimamizi,matibabu na jinsi ya kuchagua mbegu zilizo bora ktk ufugaji. Nasisitiza sana tembelea wafugaji waliopo karibu yako na kama ofisi za Taliri uko nazo karibu pitia huko huwa wana toa elimu nzuri sana ktk ufugaji.
 
Hii ni Isiolo/Galla kwaajili ya kuzalisha, hii sasa inabidi umtafutie majike walio wa kubwa kwaajili ya kuweza kukuletea mazao yaloyo bora shambani kwako
 

Attachments

  • 20240926_063100.jpg
    20240926_063100.jpg
    1.3 MB · Views: 29
Aisee nimepata kitu kipya! Maana na deal na mbuzi, sikuwa najua kuhusu kondoo kuzaa mara 3 ni bingo hapo mzee. Kuna mfugaji hapa jirani inabidi nikamtembelee anafuga kondoo tu, sikuwa najua hii siri
Jaribu kufuatilia utakuja kusema mwenyewe hapa Mkuu
 
Back
Top Bottom