Eka 20 ni nyingi sana Kwa mbuzi 200, ila hakikisha una kisima/maji ya kumwagilia majani ya kuwalishaM8e nawazo hilo naona ugumu ipo how to graze 200 goat. Chukulia shamba lako ni heka 20. Zenyewe uneziweka kwenye heka 2. Hizo 18 una panda nyasi.
Je unazilishaje ?
Unaziacha tu au kuna utaalamu wa kuziswaga zisisambaee eneo lote. Je mbuzi 200 wabakula eneo gani kwa s9ku. Ninampango wa kufuga na tayari mbegu mapacha ninao 8.
Nataka niwe napata turn over ya molioni 10 kwa mwaka je nafanyeje. Inawezekana hasa kwa mbuzi mama 100 ?
Umesahau mbuzi wa matundaNdio unalupa
Mbuzi wa nyama
Mbuzi wa maziwa
Mbuzi wa mayai
Mbuzi wa mapambo
Bora kufuga kondoo kuliko mbuzi
Kweli kuna video ya jamaa wa Uganda anafuga wa kisasa, kwenye heka moja ana mbuzi 50, amepanda majani, ipo you tube nashindwa kuweka link yake hapa, kwa heka 20 hizo nyingi sana hata mbuzi 1000 anaweka kwa ufugaji wa kisasa.. kupanda majani,kisima cha maji na kulisha kwa vizimbaEka 20 ni nyingi sana Kwa mbuzi 200, ila hakikisha una kisima/maji ya kumwagilia majani ya kuwalisha
Kweli kuna video ya jamaa wa Uganda anafuga wa kisasa, kwenye heka moja ana mbuzi 50, amepanda majani, ipo you tube nashindwa kuweka link yake hapa, kwa heka 20 hizo nyingi sana hata mbuzi 1000 anaweka kwa ufugaji wa kisasa.. kupanda majani,kisima cha maji na kulisha kwa vizimba
Una control vip mbuz 200 au 1000 kula kwenye vizimba ?kulisha kwa vizimba
Weka ata jina la video tuka angalie
Angalia mfano kama huu, sasa hizo heka 20 zinagawanywa unaweza kufuatilia masomo zaidi Google au you tubeUna control vip mbuz 200 au 1000 kula kwenye vizimba ?
1. Kondoo ana soko kubwa kuliko mbuzi, nyama ya kondoo haileti gautiKwanini kondoo mkuu? Fafanua na soko
Aisee nimepata kitu kipya! Maana na deal na mbuzi, sikuwa najua kuhusu kondoo kuzaa mara 3 ni bingo hapo mzee. Kuna mfugaji hapa jirani inabidi nikamtembelee anafuga kondoo tu, sikuwa najua hii siri1. Kondoo ana soko kubwa kuliko mbuzi, nyama ya kondoo haileti gauti
2. Kondoo ni watulivu kuliko mbuzi
3.Ulaji wa kondoo unahimilika
4. Kondoo anazaliana kwa kasi ana uwezo wa kuzaa mara 3 kwa mwaka
Kondoo ni mfugo wa nyama ya binadamu, mbuzi ni mfugo kwa ajili ya maziwa na nyama za mifugo wakali walao nyama.
Samahani naomba ufafanuzi hapo kwenye Kondoo kuzaa mara 3 kwa mwaka, ninavyo fahamu kondoo ukuwaji wake ndio wakasi tofauti na Mbuzi.1. Kondoo ana soko kubwa kuliko mbuzi, nyama ya kondoo haileti gauti
2. Kondoo ni watulivu kuliko mbuzi
3.Ulaji wa kondoo unahimilika
4. Kondoo anazaliana kwa kasi ana uwezo wa kuzaa mara 3 kwa mwaka
Kondoo ni mfugo wa nyama ya binadamu, mbuzi ni mfugo kwa ajili ya maziwa na nyama za mifugo wakali walao nyama.
Hii ni Isiolo/Galla kwaajili ya kuzalisha, hii sasa inabidi umtafutie majike walio wa kubwa kwaajili ya kuweza kukuletea mazao yaloyo bora shambani kwako
Huyo ni wakwangu yupo karibu sana, wapo na walio zaliwa utawakuta nipo Dar. karibu sana kuja kwangu kujifunza ni bure garama yako ni usafiri wako kufika kwangu.Mkuu unafuga hawa ? Uko maeneo gani tuje kujifunza zaidi
mbuzi wa mayai wajameni duNdio unalupa
Mbuzi wa nyama
Mbuzi wa maziwa
Mbuzi wa mayai
Mbuzi wa mapambo
Jaribu kufuatilia utakuja kusema mwenyewe hapa MkuuAisee nimepata kitu kipya! Maana na deal na mbuzi, sikuwa najua kuhusu kondoo kuzaa mara 3 ni bingo hapo mzee. Kuna mfugaji hapa jirani inabidi nikamtembelee anafuga kondoo tu, sikuwa najua hii siri