Ukitaka nora lazima uingie gharama sasa u cant be a good breeder with crosses breed unless unataka wakufuga tuu..watu wanafuata boerbell UG @2500USD kwa mbwa mkubw ailituu apate pure breedJinsi ya kupata hizo association kibongo bongo siochangamoto kweli, maana la sivyo ukinunua nje ya TZ gharama itaongezeka.
Mbwa anachukua muda gani aanzee kushika mimba akiwa amezaliwa mpka kukuwa kwakeUnataka kwa ajil ya kuuza au
Mbwa anashika mimba muda gani anaanza kushika mimba baada ya umri ganiNdio mkuu
Mbwa aliyezaliwa leo anachukua umri gani mpka ashike mimbaKwa ushauri tuu maana hii kitu tayari ni ajira hakikisha mbwa wako ni pure breed na wawe register kwa association ya hyo breed, hapo utapata wateja kutokea hadi ukraine mtu ana book kwa hyo site anakutumia hela wewe unasafirisha puppy
0685335665 naomba tuwasilianeMimi nimtaalam wa mbwa nimepata na mafunzo msalum miez 6 na hapa nipo nao hata sahv hyo bznezz ni more profitable hata mfugaji wa ngombe awez kukugusa,for more info,,,tuwacliane.
Mbwa anachukua muda gani kushika mimba tangia alivyozaliwaMimi nimtaalam wa mbwa nimepata na mafunzo msalum miez 6 na hapa nipo nao hata sahv hyo bznezz ni more profitable hata mfugaji wa ngombe awez kukugusa,for more info,,,tuwacliane.
Kwa ajili ya kulaUnataka kwa ajil ya kuuza au
Miezi 9 mpaka 12. Lakini kitaalamu ina shauriwa umpandishe kwa Umri wa miezi 12.Mbwa anachukua muda gani kushika mimba tangia alivyozaliwa
Nataka nifuge na kuuzaKwa ajili ya kula
Wengine wanashika mimba si mpka miaka miwiliMiezi 9 mpaka 12. Lakini kitaalamu ina shauriwa umpandishe kwa Umri wa miezi 12.
Mbwa ambao thamani yao ni kubwa kwa apa Tanzania
1. American Pit bull terrier (Bei ya mtoto anachezea USD 1500)
2. Germany Rottweiler (bei ya mtoto anachezea USD 800)
3. Germany Shepherd (bei ya mtoto anachezea USD 400)
Mbwa ambaye ni mzuri kwa apa mjini ni iyo German Shepherd kulingana na mazingira ya Joto. Lakini awa German Rottweiler wanasumbuliwa na mazingira ya Joto, wanaitaji maeneo ya baridi. La sivyo uwe na matunzo mazuri.
Pit Bull dog huyu ni mkali sana, Sema anaitaji uangalizi mkubwa sana alafu sidhani kama kasajiliwa Tanzania. Maana nchi nyingi apa duniani aruhusiwi kutokana na matatizo ya kuvamia watu
Mm nataka mbegu ta pitbulMiezi 9 mpaka 12. Lakini kitaalamu ina shauriwa umpandishe kwa Umri wa miezi 12.
Mbwa ambao thamani yao ni kubwa kwa apa Tanzania
1. American Pit bull terrier (Bei ya mtoto anachezea USD 1500)
2. Germany Rottweiler (bei ya mtoto anachezea USD 800)
3. Germany Shepherd (bei ya mtoto anachezea USD 400)
Mbwa ambaye ni mzuri kwa apa mjini ni iyo German Shepherd kulingana na mazingira ya Joto. Lakini awa German Rottweiler wanasumbuliwa na mazingira ya Joto, wanaitaji maeneo ya baridi. La sivyo uwe na matunzo mazuri.
Pit Bull dog huyu ni mkali sana, Sema anaitaji uangalizi mkubwa sana alafu sidhani kama kasajiliwa Tanzania. Maana nchi nyingi apa duniani aruhusiwi kutokana na matatizo ya kuvamia watu
We acha tu bro yaan mbwa wa siku hizi wamekaa ki-UKUTA UKUTA tuK inamaanisha elfu hivyo 300k tzs ni 300,000 tzs
Kuhusu tatizo la mbwa wako tusubiri wataalamu tu
Wa kwangu nilio nao sasa ni wa kubweka tu ila ukimtisha na jiwe na yeye mbio kutafuta penye usalama
Pitbull terrier mm nataka uniuzie mmoja kama unaoMm nataka mbegu ta pitbul
Mm nataka hao pitbull terrier naomba uniuzie mmoja nashida Kwl yaanWengine wanashika mimba si mpka miaka miwili