gilbsonassan
Member
- Jul 2, 2015
- 56
- 9
Mm sio mtu wa iringa wa sio wa hukoHili wazo ni zuri. Cha mno fungua tawi IRINGA. WATEJA NI WENGI
Pit Bull dog na Germany Rottweiler dogMm nataka hao pitbull terrier naomba uniuzie mmoja nashida Kwl yaan
Kwani bihashara mpaka ufanyie kwenu?Mm sio mtu wa iringa wa sio wa huko
Hahahaaa asante mkuuK inamaanisha elfu hivyo 300k tzs ni 300,000 tzs
Kuhusu tatizo la mbwa wako tusubiri wataalamu tu
Wa kwangu nilio nao sasa ni wa kubweka tu ila ukimtisha na jiwe na yeye mbio kutafuta penye usalama
naona itakuwa cross hii kitu ila kama Mungu ananipa uzima nikifika Italy lazima nitarudi na huyu cane corsoGermany Rottweiler hapa aiseee hahahahahhahaa
Mbwa hatari sana huyu hasa kwa watotoView attachment 375379 kwa ambao hamfahamu huyo ndio rottweiler
Unafuga aina gani mkuu, mim nafuga german shepherdMimi nimtaalam wa mbwa nimepata na mafunzo msalum miez 6 na hapa nipo nao hata sahv hyo bznezz ni more profitable hata mfugaji wa ngombe awez kukugusa,for more info,,,tuwacliane.
Umri mzuri kwa mbwa kuanza kuzaa ni miezi 12, japo ataanza kutaka mbegu akiwa na miezi 7, unatakiwa usimpandishe hadi afikie miezi 12Mbwa anashika mimba muda gani anaanza kushika mimba baada ya umri gani
Huyu ni mbwa hatari kwa tz ni ngumu kumpataMm nataka mbegu ta pitbul
Unafuga mbegu gani mkuuBaada ya kukusanya mawazo ya kutosha
Nimeanza rasmi ufugaji wiki hii
Mkuu una connection ya zambia? Naenda huko ndani ya wiki 2,naweza nikarudi nao kwani mi pia mpenzi wa kufuga mbwa.Zambia na Zimbabwe wana breed nzuri zaidi. Hata Kenya poa zipo nzuri. Nyingi za hapa bongo ni cross breed.