Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sasa wakiwa na kiu wasinywe? Mbona wewe unatumia zaidi ya hizi lita kwenye matumizi ya sikuNina kuku hapa home kwa siku wanakunywamaji kuanzia Lita 20 mpk 30....kanga wasingefikia kiwango hiki
Dah hatari Sana Bora mvua zimeanza kunyesha ...Sasa wakiwa na kiu wasinywe? Mbona wewe unatumia zaidi ya hizi lita kwenye matumizi ya siku
usiwape chakula cha aina moja. kuku anakunya maji mengi ikiwa anakula chakula cha aina moja hasa pumbaNina kuku hapa home kwa siku wanakunywamaji kuanzia Lita 20 mpk 30....kanga wasingefikia kiwango hiki
Kachinje ya mkeo, ila sidhani kama ina supu.Natania tu pengine kaivaa.Nyuzi adimu izi leo mnaongea uhalisia wa maisha.
Tukirudi kwenye mada sjawahi kubahatika kula kanga
kanga analala bandani?Nilikuwa Dodoma
WWanasemaUnapotaka Kumkamata Kanga, Nyumbani Kwako Usimkimbize
SUBIRI Waingie Bandani
UKiimkimbiza Tu Anakimbia Mbali Harudi
napenda sana njiwa na goose(,bata bukuni)
Sio kweli mkuu me nafuga kanga wanaingia bandani bila shida na wanataga nyumbani tena nmewatengenezea viota kama vya kuku kabisakanga analala bandani?
kanga akikua tu huyo si wako..anallala mtini.
Sio kweli mkuu me nafuga kanga wanaingia bandani bila shida na wanataga nyumbani tena nmewatengenezea viota kama vya kuku kabisa
Mkuu ukifuga kitu kwanza kipende so Ata kelele zake hazitokukera kabisa kanga wakikaribia kutaga wanapiga kelele mpk usiku lakini binafsi Nina enjoy sana kuwaskiaHawakusumbui kwa kelele?
Mkuu ukifuga kitu kwanza kipende so Ata kelele zake hazitokukera kabisa kanga wakikaribia kutaga wanapiga kelele mpk usiku lakini binafsi Nina enjoy sana kuwaskia
Karibu sana mkuuHao Hapana bora nirudi kwenye Kuku tu
Bata Bukini sina uhakika na soko lake ila nitafuga tu naona siyo wasumbufu sana
Kanga nitakula kwenu wafugaji wenzangu
Vifaranga vyangu vya Bata vinakufa unafanyaje wasife mkuu.Kanga pia wanakufa sana mkuu,mm imebidi niachane nao sasa nimejikita kwenye Bata tu
Goose napenda tu kuwatazama wananivutia.Hao Hapana bora nirudi kwenye Kuku tu
Bata Bukini sina uhakika na soko lake ila nitafuga tu naona siyo wasumbufu sana
Kanga nitakula kwenu wafugaji wenzangu
Rahisi sana mkuu vitenge na mama yao alafu viwekee moto na maji weka glucose Ile ndege inakua na rangi ya blue kisha weka kwenye chombo ambacho vifaranga hawawezi kutumbukia maana hawatakiwi kugusa maji na chakula nunua broiler Stata kisha baada ya week2 leta mrejesho hutoamini watakavyobadilika ndani ya week mbiliVifaranga vyangu vya Bata vinakufa unafanyaje wasife mkuu.
Glucose ile ndege inakuwa na rangi ya blue hapo sijakupa sawia. Ufafanuzi ndugu mengine yako poaRahisi sana mkuu vitenge na mama yao alafu viwekee moto na maji weka glucose Ile ndege inakua na rangi ya blue kisha weka kwenye chombo ambacho vifaranga hawawezi kutumbukia maana hawatakiwi kugusa maji na chakula nunua broiler Stata kisha baada ya week2 leta mrejesho hutoamini watakavyobadilika ndani ya week mbili
Wape Antibiotics na grocose,pia hakikisha hawalowani na maji Kwa muda wa angalau miezi miwili ,pia wanahitaji joto zile week mbili za kwanza unaweza kuwawekea chungu Cha moto,pia wape starta ya broiler, hakikisha Banda lao linakua na wavu chini Ili wakichezea maji ya kunywa yanadondokea chiniVifaranga vyangu vya Bata vinakufa unafanyaje wasife mkuu.
Bata pia wanakufaga sana bossKanga pia wanakufa sana mkuu,mm imebidi niachane nao sasa nimejikita kwenye Bata tu