Nurain
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 2,403
- 5,315
Sawa akhy ukiipata tuwekeeNamna ya kuzalisha tulifundishwa hukuhuku miaka ya nyuma na nakumbuka niliscreenshot akhy, em nijaribu kuangalia hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa akhy ukiipata tuwekeeNamna ya kuzalisha tulifundishwa hukuhuku miaka ya nyuma na nakumbuka niliscreenshot akhy, em nijaribu kuangalia hapa.
Sawa akhy ukiipata tuwekee
Shukran akhy ,,niliwahi kuwakuta funza wengi pale kwenye store ya mbolea kuku Sasa sikujua faida yakeIko tayari hapo juu mubashara.
Usijali bro, yaani hao funza ukiwapa kuku ni sherehe na wananenepa balaa.Shukran akhy ,,niliwahi kuwakuta funza wengi pale kwenye store ya mbolea kuku Sasa sikujua faida yake
Shukran umenitag lkn banda langu linaliwa na mchwa😂😂😂 sijui nafanyaje, binafsi sipendi ufugaji lkn wanangu wadogo wameng'ang'ana wanataka kuku sasa banda tumetengeneza mchwa ndo mtihanUsijali bro, yaani hao funza ukiwapa kuku ni sherehe na wananenepa balaa.
Mashaallah,,watoto wanapenda kucheza na ndege ,,ufugaji nahisi una Nuru za Allah ndani yake,,,ukiwa mfugaji moyo huwa laini,,na ukiwa mfanyabiashara moyo huegemea kwenye ubahili..au kaka Kazakh destroyer na Akhy mnasemaje kwenye hili.Naam shukran, nilipo nimejenga kibanda cha kuku shida kimeisha lkn kabla hata kuwanunua hao kuku mchwa wanamaliza mbao sijui niganyeje japo nafuga vikuku vya mboga tu
Mh tunatofautiana kumbe hupendi? banda linaliwa na mchwa sababu mmejengea miti pendwa kwao na hapo wanapatikana sasa upakae oil chafu kwenye hizo mbao vinginevyo watalishusha lote.Shukr
Shukran umenitag lkn banda langu linaliwa na mchwa😂😂😂 sijui nafanyaje, binafsi sipendi ufugaji lkn wanangu wadogo wameng'ang'ana wanataka kuku sasa banda tumetengeneza mchwa ndo mtihan
Jaribu kumuuzia kwa 800/= ili yeye akauze bukunatamani sana kujua kuhusu soko lake, kuna mdau aliwahi kuniambia kwamba yai moja anauza kwa sh1,000 nilimpuuza tu.
nataka kuujua huu ukweli kutoka kwa wazoefu
Mimi nimenunua yai moja la kanga weupe 1500 lkn pia nayahitajo ,,Jaribu kumuuzia kwa 800/= ili yeye akauze buku
ndiyo bei yake? Au huyo kakuuzia kwa kuona una shida nalo?Mimi nimenunua yai moja la kanga weupe 1500 lkn pia nayahitajo ,,
nitamtafuta tena[emoji120]Jaribu kumuuzia kwa 800/= ili yeye akauze buku
Sijajua nilikuwa nahitaji mengi niwawekee kuku Sasa sijajua nimepigwa au vipindiyo bei yake? Au huyo kakuuzia kwa kuona una shida nalo?
kweli.Mashaallah,,watoto wanapenda kucheza na ndege ,,ufugaji nahisi una Nuru za Allah ndani yake,,,ukiwa mfugaji moyo huwa laini,,na ukiwa mfanyabiashara moyo huegemea kwenye ubahili..au kaka Kazakh destroyer na Akhy mnasemaje kwenye hili.
kipindi flani nilikuwa nayanunua kwa sh 250-300/= pale katoro kwa ajili ya kula tuSijajua nilikuwa nahitaji mengi niwawekee kuku Sasa sijajua nimepigwa au vipi
[emoji120]
Biashara ina stress Sana usipokuwa na iman unaweza kukesha kwa wagangakweli.
ufugaji ni tofauti na biashara nyngne kwa sababu unakuwa na uhakika wa soko tofauti na kukaa dukani kusubiri mteja ambaye hujuwi kama kweli anakuja au lah
ogopa kusubili mtu ambaye hukupanga nae kwamba mkutane[emoji3]Biashara ina stress Sana usipokuwa na iman unaweza kukesha kwa waganga
Hiyo Bei ya kitambo sanakipindi flani nilikuwa nayanunua kwa sh 250-300/= pale katoro kwa ajili ya kula tu
sijapata kujua bei yake halisi