Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Kweli kabisa mkuu,,Mim pia nafuga aisee ila nilianza na vitoto mkuu
 
Ushauri ni mzuri sana ntapataje mshine ya kusaga magunzi ya mahindi?
 
dada kaka hilo bonge la dili,watu tunashinda maofisini masaa 10 kwa siku ila kwa mwaka hata ata mil 30 hatufikishi kweli bora kujiajili tu.sasa kaka hicho kijiji gani mbona husemi yaani umenipa mzuka mbaya i must try that this year
Ulijaribu mkuu?
 

Mkuu hebu nipe mawasiliano yako nikutafute. Naweza pata moja au mawili. Natanguliza shukrani za Dhati kiongozi.
 
Epuka kabisa Laana hii.
Yesu alikataza na wewe usije kuingia kwenye laana hii kuu.

Kwanza vipi watu wanakula mnyama anaekula mavi yake mwenyewe?

Dah....
Aisee mna moyo nyie!!
Wewe nawe viiiipii???
 
Mpwa hii bonge ya deal hata mate yananitoka ila tatizo mimi imani yangu inaniambia nguruwe ni haramu kabisa. lakini hiyo hela naitaka tena sana tu.
Mkuu,kupanga ni kuchagua.chagua mwenyewe kati ya pesa na Imani yako.
 
Safi sana mkuu!!!,nimejifunza kitu kikubwa hapa.
 
We
Unampa hongera Mfuga mnyama anaekula mavi yake mwenyewe?
Aisee nyie viumbe sijui hamna Roho!

We unajua Nguruwe pia anatokwa damu ukeni km Binaadamu?
Vipi unaweza kumla mnyama km huyu?
wewe ni fala tuu kama mapimbi wengine mkuu...!
 
We
wewe ni fala tuu kama mapimbi wengine mkuu...!
Umeona ulaji wa nyama ya nguruwe unavyo haribu kichwa!!

Tazama sasa hapa.
Unaniita "fala" halafu unanipa cheo na kuniita " MKUU"!!

Sasa Mkuu toka lini akawa Fala?

Acheni kula nyamafu, hio nyama ya nguruwe ni km Unakula Nyama ya Binaadamu. Tena Shangazi yako. Au bibi yako.!

Je unafahamu DNA ya NGURUWE na Ya Binaadamu TAKRIBAN Ziko sawa?

Basi ukute kafiri km wewe hata DNA hutambui ni kitu gani.

Pole sana Muefeso.
 
Magufuli anatafuna nguruwe hatari na ni Rais wako.. Baraza la mawaziri 85% ni watafuna nguruwe...
 
Magufuli anatafuna nguruwe hatari na ni Rais wako.. Baraza la mawaziri 85% ni watafuna nguruwe...
Sasa hapa ndo umeandika Utumbo gani tena !
Sasa wakila nguruwe ndio iweje !
Nyie mpk mavi mlikula Itakuwa Hii Nyamafu?
 
Sasa hapa ndo umeandika Utumbo gani tena !
Sasa wakila nguruwe ndio iweje !
Nyie mpk mavi mlikula Itakuwa Hii Nyamafu?
Rais wako ni mla nguruwe na ndie anakuongoza... Na mashirika yote ya serikali yanaongozwa na wala nguruwe sasa.. Yaani nyie magaidi wakujitoa muhanga tunawatupa kabisa kwenye system...
 
Rais wako ni mla nguruwe na ndie anakuongoza... Na mashirika yote ya serikali yanaongozwa na wala nguruwe sasa.. Yaani nyie magaidi wakujitoa muhanga tunawatupa kabisa kwenye system...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…