Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Yanauzwa wapi na kwa bei ganiKwa wale wanaotaka kupunguza gharama za ujenzi wa mabwawa wanaweza tumia pond liner (nylon sheet) kutengeneza mabwawa ya aina hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanauzwa wapi na kwa bei ganiKwa wale wanaotaka kupunguza gharama za ujenzi wa mabwawa wanaweza tumia pond liner (nylon sheet) kutengeneza mabwawa ya aina hii
Kwa Dar es salaam ni Tegeta NyukiYanauzwa wapi na kwa bei gani
Kwa mita au?Kwa Dar es salaam ni Tegeta Nyuki
Bei ya Pond liner ni tofauti kulingana na thickness na ubora wa liners (Nylon sheets)
0.5mm = 6000 Tsh
0.75mm= 7500 Tsh
1mm = 9500 Tsh
Size ya bwawa unalotaka au idadi ya samaki unaotaka kufuga ndio itatoa hesabu kamili ya nylon sheet yenye ukubwa gani inafaa kwa mahitaji yako.
Ndio, kwa mita moja ya mraba (1m²)Kwa mita au?
Hizo kemikali mnazowapa zimenitisha ..I will stick with Changu , Tasi , Kolekole na jodariWatu wengi wanatamani kufuga samaki lakini wanakosa taarifa sahihi juu ya namna bora ya kufuga samaki, moja kati ya vitu muhimu kwenye ufugaji wa samaki ni kuwa na mbegu bora ya samaki, nikisema mbegu bora ya samaki wa kufugwa nina maanisha samaki anayekuwa haraka ndani ya muda mfupi na mwenye uwezo wa kustahimili kuishi kwenye mazingira yasiokuwa ya asili.
Naomba nijikite zaidi kuelezea samaki aina ya sato, kuna aina nyingi sana za samaki aina ya sato (Tilapia species) lakini sio aina zote zinafaa kwa ufugaji
Hivyo ni muhimu kuhakikisha unapandikiza mbegu (vifaranga) bora kwa kununua mbegu kutoka kwa wazalishaji wanaotambulika na kuaminika badala ya kuchukua vifaranga kutoka kwenye vyanzo asili vya maji mfano ziwani, mabwani au mitoni ili kuepuka kuchukua mbegu isiyofaa kwa ufugaji wa kibiashara (samaki ambao kiasili hawakui sana kuwa na maumbo makubwa)
Vifaranga/Mbegu inayofaa ni ipi?
Katika ufugaji wa samaki aina ya sato (Tilapia species), species ambazo zinashauriwa na zimeonekana kuleta matokeo mazuri kwa wafugaji wengi ni hizi mbili, species ya kwanza kabisa ni Nile tilapia (Oreochromis niloticus) ikifatiwa na Wami/Mozambique tilapia.
Faida za kufuga samaki jinsia moja pekee (madume tu) ni zipi?
Katika ufugaji wa samaki kibiashara ni muhimu na vizuri zaidi ukifuga samaki madume pekee badala ya kufuga jinsia mchanganyiko madume na majike kwa sababu zifuatazo:
1. Ukuaji wa Haraka: Samaki madume hukua haraka zaidi kuliko majike. Kwa hivyo, ukifuga samaki madume pekee, watafika ukubwa unaohitajika kwa biashara mapema zaidi kuliko mchanganyiko wa madume na majike.
2. Kupunguza Uzalianaji: Samaki majike uzaliana kwa wingi sana jambo linalosababisha idadi ya samaki kuzidi uwezo wa bwawa (carrying capacity). Hii husababisha ukosefu wa oksijeni ya kutosha kwa samaki, hivyo kuathiri afya yao na ukuaji wao.
3. Uchafuzi wa Maji wa Mapema: Samaki wanapozaliana, idadi yao inakuwa kubwa, na kusababisha uchafuzi wa maji kwa haraka. Uchafuzi huu unatokana na kiwango kikubwa cha amonia inayozalishwa na kinyesi cha samaki, jambo linaloharibu ubora wa maji na hatimaye kuathiri ukuaji wa samaki.
Mbinu za Kuzalisha Samaki Madume Pekee ni zipi?
Baada ya kuona changamoto za kufuga samaki mchanganyingo kwa ufugaji wa samaki kibishara wataalamu walikuja na njia nne ili kuhakikisha uzalishaji na ufugaji wa samaki unafanikiwa, njia hizo ni kama zifuatazo:
1. Utenganishaji wa Kawaida (Manual sex separation): Hii ni mbinu ya kuchagua na kuwatenganisha samaki madume na majike kwa kwa kutumia mikono na kuwafuga katika sehemu tofauti tofauti mfano bwawa A majike pekee bwawa B madume pekee.
Mbinu hii ni ya kizamani na ningumu lakini pia ni rahisi kutokea makosa ya kibinadamu (human errors), pamoja na changamoto zake bado inatumiwa katika uzalishaji mdogo wa samaki.
2. Kubadilisha Jinsia (Sex Reversal): Mbinu hii inahusisha matumizi ya kemikali au hormone ili kubadilisha jinsia ya samaki na kuwa madume. Kwa mfano, matumizi ya 17-Alpha Methyltestosterone (MT) kwenye chakula cha mwanzo cha samaki (starter feed) ambacho upewa vifaranga kwa muda wa siku 21 - 28 za kwanza baada ya kifaranga kutotolewa.
Kwa lugha rahisi chakula hicho wanachopewa samaki kinakuwa na kiwango kikubwa cha hormone ya testosterone inayochochea mabadiliko ya samaki majike kuwa na madume. Mbinu hii ni maarufu katika ufugaji wa samaki kwa sababu ndio hutumiwa na wafugaji wengi, inauhakika kwa asilimia 90%+.
3. Mchanganyiko wa Spishi (Hybridization):
Kwenye njia hii mfugaji anacrossbreed two different tilapia species that have distinct sex-determining mechanisms. Baads ya kucrossbreed na samaji jike kutotoa mayai vifaranga vitakavyototolewa vyote uwa vya kiume; For example when you crossing Nile Tilapia (XX/XY system) with Blue Tilapia (ZZ/ZW system) kizazi mseto (hybrid) kwa kiasi kikubwa huwa madume pekee.
4. Mabadiliko ya Kijenetiki (Genetic Manipulation): Hii ni njia ya kitaalamu na yenye ufanisi zaidi inayoruhusu mabadiliko ya moja kwa moja ya vinasaba vya samaki ili kuhakikisha uzalishaji wa samaki madume pekee. Mfano mzuri ni matumizi YY male fish, YY male can only produce genetically male offspring when crossed with normal females.
Njia gani ni rahisi kutumia?
Kati ya njia zote tajwa hapo juu njia rahisi zaidi ni ambayo inaweza kutumiwa na mtu ambaye hana uelewa mpana juu ya ufugaji samaki ni manual sex separation na sex revesal method
Kwa kutumia moja kati ya mbinu hizi, wafugaji wa samaki wanaweza kuzaliza samaki wa jinsia moja madume pekee na kupunguza msongamano, kuhakikisha ukuaji wa haraka, na kuthibiti ubora bora wa maji, hatimaye kuleta faida na uendelevu katika sekta ya ufugaji wa samaki.
Ilikuwa na mradi endelevu ni vyema kuyatenga mabwawa yako kwa matumizi tofauti tofauti;
Bwawa A kwa ajili ya kuzalisha vifaranga, ambalo litakuwa na samaki mchanganyiko majike na madume na mabwawa.
Bwawa B kwa ajili ya kufugia samaki wa jinsia moja (madume pekee) ambalo hili ndio utakuwa ukiwauza kibiashara.
Kwa maelezo zaidi, ushauri au jambo lolote linaloruhusu ufugaji samaki unaweza nicheck directly
Call/WhatsApp: 0758779170
Sio kemikali ni hormone ya kiume inayomfanya samaki wawe na sifa na tabia za kiume, inaitwa 17 alpha methyltestosteroneHizo kemikali mnazowapa zimenitisha ..I will stick with Changu , Tasi , Kolekole na jodari
Yaani jike anabadilishwa jinsia kubwa dume au mnamuongeza hormes anakuwa na tabia za kiume ..mfano samaki dume mnafanya anakuwa shoga yaani anaweza pandwa na madume ..and you are telling me hakuna madhara...Sio kemikali ni hormone ya kiume inayomfanya samaki wawe na sifa na tabia za kiume, inaitwa 17 alpha methyltestosterone
Nasisitiza, hamna madhara yoyote kwa mtumiaji
Mkuu weka hapa namba yako kwa matumizi ya badae
0758779170 (WhatsApp & normal call)Mkuu weka hapa namba yako kwa matumizi ya badae
Labda nashindwa kueleweka vizuri kwa sababu ni vigumu kuelezea kwa usihihi kwa kiswahili naomba nielezee kwa kiingereza labda nitaeleweka vizuriYaani jike anabadilishwa jinsia kubwa dume au mnamuongeza hormes anakuwa na tabia za kiume ..mfano samaki dume mnafanya anakuwa shoga yaani anaweza pandwa na madume ..and you are telling me hakuna madhara...
Naomba kiunganishi kwa wauzajiYapo mabwawa ya kuamishika (Mobile pond) yenye uwezo wa kuchukua samaki 500 - 2,000 ambayo yanafaa sana kwa mazingira mijini, unafuga samaki bila kuchimba bwawa na unaweza kutumia hata maji ya bomba
Makadilio ya manunuzi na Uendeshaji wa mradi (vifaranga, chakula na umeme) ni kati ya milioni 2 hadi milioni 5View attachment 3196372
Number nimeshaandika Mkuu angalia comment ya 32, niambie unataka ya size gani au inayoweza kuchukua idadi gani ya samaki nikupe beiNaomba kiunganishi kwa wauzaji
Samaki 100 italamba tshs ngap kwa lailo hiloKwa Dar es salaam ni Tegeta Nyuki
Bei ya Pond liner ni tofauti kulingana na thickness na ubora wa liners (Nylon sheets)
0.5mm = 6000 Tsh
0.75mm= 7500 Tsh
1mm = 9500 Tsh
Size ya bwawa unalotaka au idadi ya samaki unaotaka kufuga ndio itatoa hesabu kamili ya nylon sheet yenye ukubwa gani inafaa kwa mahitaji yako.
Asante ungetusaidia namba zaoNdio, kwa mita moja ya mraba (1m²)
Ntarudi...Watu wengi wanatamani kufuga samaki lakini wanakosa taarifa sahihi juu ya namna bora ya kufuga samaki, moja kati ya vitu muhimu kwenye ufugaji wa samaki ni kuwa na mbegu bora ya samaki, nikisema mbegu bora ya samaki wa kufugwa nina maanisha samaki anayekuwa haraka ndani ya muda mfupi na mwenye uwezo wa kustahimili kuishi kwenye mazingira yasiokuwa ya asili.
Naomba nijikite zaidi kuelezea samaki aina ya sato, kuna aina nyingi sana za samaki aina ya sato (Tilapia species) lakini sio aina zote zinafaa kwa ufugaji
Hivyo ni muhimu kuhakikisha unapandikiza mbegu (vifaranga) bora kwa kununua mbegu kutoka kwa wazalishaji wanaotambulika na kuaminika badala ya kuchukua vifaranga kutoka kwenye vyanzo asili vya maji mfano ziwani, mabwani au mitoni ili kuepuka kuchukua mbegu isiyofaa kwa ufugaji wa kibiashara (samaki ambao kiasili hawakui sana kuwa na maumbo makubwa)
Vifaranga/Mbegu inayofaa ni ipi?
Katika ufugaji wa samaki aina ya sato (Tilapia species), species ambazo zinashauriwa na zimeonekana kuleta matokeo mazuri kwa wafugaji wengi ni hizi mbili, species ya kwanza kabisa ni Nile tilapia (Oreochromis niloticus) ikifatiwa na Wami/Mozambique tilapia.
Faida za kufuga samaki jinsia moja pekee (madume tu) ni zipi?
Katika ufugaji wa samaki kibiashara ni muhimu na vizuri zaidi ukifuga samaki madume pekee badala ya kufuga jinsia mchanganyiko madume na majike kwa sababu zifuatazo:
1. Ukuaji wa Haraka: Samaki madume hukua haraka zaidi kuliko majike. Kwa hivyo, ukifuga samaki madume pekee, watafika ukubwa unaohitajika kwa biashara mapema zaidi kuliko mchanganyiko wa madume na majike.
2. Kupunguza Uzalianaji: Samaki majike uzaliana kwa wingi sana jambo linalosababisha idadi ya samaki kuzidi uwezo wa bwawa (carrying capacity). Hii husababisha ukosefu wa oksijeni ya kutosha kwa samaki, hivyo kuathiri afya yao na ukuaji wao.
3. Uchafuzi wa Maji wa Mapema: Samaki wanapozaliana, idadi yao inakuwa kubwa, na kusababisha uchafuzi wa maji kwa haraka. Uchafuzi huu unatokana na kiwango kikubwa cha amonia inayozalishwa na kinyesi cha samaki, jambo linaloharibu ubora wa maji na hatimaye kuathiri ukuaji wa samaki.
Mbinu za Kuzalisha Samaki Madume Pekee ni zipi?
Baada ya kuona changamoto za kufuga samaki mchanganyingo kwa ufugaji wa samaki kibishara wataalamu walikuja na njia nne ili kuhakikisha uzalishaji na ufugaji wa samaki unafanikiwa, njia hizo ni kama zifuatazo:
1. Utenganishaji wa Kawaida (Manual sex separation): Hii ni mbinu ya kuchagua na kuwatenganisha samaki madume na majike kwa kwa kutumia mikono na kuwafuga katika sehemu tofauti tofauti mfano bwawa A majike pekee bwawa B madume pekee.
Mbinu hii ni ya kizamani na ningumu lakini pia ni rahisi kutokea makosa ya kibinadamu (human errors), pamoja na changamoto zake bado inatumiwa katika uzalishaji mdogo wa samaki.
2. Kubadilisha Jinsia (Sex Reversal): Mbinu hii inahusisha matumizi ya kemikali au hormone ili kubadilisha jinsia ya samaki na kuwa madume. Kwa mfano, matumizi ya 17-Alpha Methyltestosterone (MT) kwenye chakula cha mwanzo cha samaki (starter feed) ambacho upewa vifaranga kwa muda wa siku 21 - 28 za kwanza baada ya kifaranga kutotolewa.
Kwa lugha rahisi chakula hicho wanachopewa samaki kinakuwa na kiwango kikubwa cha hormone ya testosterone inayochochea mabadiliko ya samaki majike kuwa na madume. Mbinu hii ni maarufu katika ufugaji wa samaki kwa sababu ndio hutumiwa na wafugaji wengi, inauhakika kwa asilimia 90%+.
3. Mchanganyiko wa Spishi (Hybridization):
Kwenye njia hii mfugaji anacrossbreed two different tilapia species that have distinct sex-determining mechanisms. Baads ya kucrossbreed na samaji jike kutotoa mayai vifaranga vitakavyototolewa vyote uwa vya kiume; For example when you crossing Nile Tilapia (XX/XY system) with Blue Tilapia (ZZ/ZW system) kizazi mseto (hybrid) kwa kiasi kikubwa huwa madume pekee.
4. Mabadiliko ya Kijenetiki (Genetic Manipulation): Hii ni njia ya kitaalamu na yenye ufanisi zaidi inayoruhusu mabadiliko ya moja kwa moja ya vinasaba vya samaki ili kuhakikisha uzalishaji wa samaki madume pekee. Mfano mzuri ni matumizi YY male fish, YY male can only produce genetically male offspring when crossed with normal females.
Njia gani ni rahisi kutumia?
Kati ya njia zote tajwa hapo juu njia rahisi zaidi ni ambayo inaweza kutumiwa na mtu ambaye hana uelewa mpana juu ya ufugaji samaki ni manual sex separation na sex revesal method
Kwa kutumia moja kati ya mbinu hizi, wafugaji wa samaki wanaweza kuzaliza samaki wa jinsia moja madume pekee na kupunguza msongamano, kuhakikisha ukuaji wa haraka, na kuthibiti ubora bora wa maji, hatimaye kuleta faida na uendelevu katika sekta ya ufugaji wa samaki.
Ilikuwa na mradi endelevu ni vyema kuyatenga mabwawa yako kwa matumizi tofauti tofauti;
Bwawa A kwa ajili ya kuzalisha vifaranga, ambalo litakuwa na samaki mchanganyiko majike na madume na mabwawa.
Bwawa B kwa ajili ya kufugia samaki wa jinsia moja (madume pekee) ambalo hili ndio utakuwa ukiwauza kibiashara.
Kwa maelezo zaidi, ushauri au jambo lolote linaloruhusu ufugaji samaki unaweza nicheck directly
Call/WhatsApp: 0758779170
Samaki 12,000 gharama ya bwawa na nylon 0.75mmNumber nimeshaandika Mkuu angalia comment ya 32, niambie unataka ya size gani au inayoweza kuchukua idadi gani ya samaki nikupe bei
Tukiwaweka samaki 12,000 kwenye bwawa moja kwa stocking density ya samaki 10 kwa mita moja ya mraba (10fish/m²) itatulazimu kuwa na bwawa kubwa lenye mita za mraba 1,200 (1,200m²).Samaki 12,000 gharama ya bwawa na nylon 0.75mm