BwanaSamaki012
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 212
- 250
- Thread starter
-
- #41
Otherwise, kama eneo lako lina umeme nitabidi ununue machine ya kuongeza hewa kwenye maji (earator) then udouble idadi ya samaki uwepandikize wastani wa samaki 20 kwa mita ya mraba (20/m²) ili uwe na bwawa moja tu la 600m² (urefu 30m × upana 20m) badala ya mabwawa mawiliSamaki 12,000 gharama ya bwawa na nylon 0.75mm
Watu wengi wanatamani kufuga samaki lakini wanakosa taarifa sahihi juu ya namna bora ya kufuga samaki, moja kati ya vitu muhimu kwenye ufugaji wa samaki ni kuwa na mbegu bora ya samaki, nikisema mbegu bora ya samaki wa kufugwa nina maanisha samaki anayekuwa haraka ndani ya muda mfupi na mwenye uwezo wa kustahimili kuishi kwenye mazingira yasiokuwa ya asili.
Naomba nijikite zaidi kuelezea samaki aina ya sato, kuna aina nyingi sana za samaki aina ya sato (Tilapia species) lakini sio aina zote zinafaa kwa ufugaji
Hivyo ni muhimu kuhakikisha unapandikiza mbegu (vifaranga) bora kwa kununua mbegu kutoka kwa wazalishaji wanaotambulika na kuaminika badala ya kuchukua vifaranga kutoka kwenye vyanzo asili vya maji mfano ziwani, mabwani au mitoni ili kuepuka kuchukua mbegu isiyofaa kwa ufugaji wa kibiashara (samaki ambao kiasili hawakui sana kuwa na maumbo makubwa)
Vifaranga/Mbegu inayofaa ni ipi?
Katika ufugaji wa samaki aina ya sato (Tilapia species), species ambazo zinashauriwa na zimeonekana kuleta matokeo mazuri kwa wafugaji wengi ni hizi mbili, species ya kwanza kabisa ni Nile tilapia (Oreochromis niloticus) ikifatiwa na Wami/Mozambique tilapia.
Faida za kufuga samaki jinsia moja pekee (madume tu) ni zipi?
Katika ufugaji wa samaki kibiashara ni muhimu na vizuri zaidi ukifuga samaki madume pekee badala ya kufuga jinsia mchanganyiko madume na majike kwa sababu zifuatazo:
1. Ukuaji wa Haraka: Samaki madume hukua haraka zaidi kuliko majike. Kwa hivyo, ukifuga samaki madume pekee, watafika ukubwa unaohitajika kwa biashara mapema zaidi kuliko mchanganyiko wa madume na majike.
2. Kupunguza Uzalianaji: Samaki majike uzaliana kwa wingi sana jambo linalosababisha idadi ya samaki kuzidi uwezo wa bwawa (carrying capacity). Hii husababisha ukosefu wa oksijeni ya kutosha kwa samaki, hivyo kuathiri afya yao na ukuaji wao.
3. Uchafuzi wa Maji wa Mapema: Samaki wanapozaliana, idadi yao inakuwa kubwa, na kusababisha uchafuzi wa maji kwa haraka. Uchafuzi huu unatokana na kiwango kikubwa cha amonia inayozalishwa na kinyesi cha samaki, jambo linaloharibu ubora wa maji na hatimaye kuathiri ukuaji wa samaki.
Mbinu za Kuzalisha Samaki Madume Pekee ni zipi?
Baada ya kuona changamoto za kufuga samaki mchanganyingo kwa ufugaji wa samaki kibishara wataalamu walikuja na njia nne ili kuhakikisha uzalishaji na ufugaji wa samaki unafanikiwa, njia hizo ni kama zifuatazo:
1. Utenganishaji wa Kawaida (Manual sex separation): Hii ni mbinu ya kuchagua na kuwatenganisha samaki madume na majike kwa kwa kutumia mikono na kuwafuga katika sehemu tofauti tofauti mfano bwawa A majike pekee bwawa B madume pekee.
Mbinu hii ni ya kizamani na ningumu lakini pia ni rahisi kutokea makosa ya kibinadamu (human errors), pamoja na changamoto zake bado inatumiwa katika uzalishaji mdogo wa samaki.
2. Kubadilisha Jinsia (Sex Reversal): Mbinu hii inahusisha matumizi ya kemikali au hormone ili kubadilisha jinsia ya samaki na kuwa madume. Kwa mfano, matumizi ya 17-Alpha Methyltestosterone (MT) kwenye chakula cha mwanzo cha samaki (starter feed) ambacho upewa vifaranga kwa muda wa siku 21 - 28 za kwanza baada ya kifaranga kutotolewa.
Kwa lugha rahisi chakula hicho wanachopewa samaki kinakuwa na kiwango kikubwa cha hormone ya testosterone inayochochea mabadiliko ya samaki majike kuwa na madume. Mbinu hii ni maarufu katika ufugaji wa samaki kwa sababu ndio hutumiwa na wafugaji wengi, inauhakika kwa asilimia 90%+.
3. Mchanganyiko wa Spishi (Hybridization):
Kwenye njia hii mfugaji anacrossbreed two different tilapia species that have distinct sex-determining mechanisms. Baads ya kucrossbreed na samaji jike kutotoa mayai vifaranga vitakavyototolewa vyote uwa vya kiume; For example when you crossing Nile Tilapia (XX/XY system) with Blue Tilapia (ZZ/ZW system) kizazi mseto (hybrid) kwa kiasi kikubwa huwa madume pekee.
4. Mabadiliko ya Kijenetiki (Genetic Manipulation): Hii ni njia ya kitaalamu na yenye ufanisi zaidi inayoruhusu mabadiliko ya moja kwa moja ya vinasaba vya samaki ili kuhakikisha uzalishaji wa samaki madume pekee. Mfano mzuri ni matumizi YY male fish, YY male can only produce genetically male offspring when crossed with normal females.
Njia gani ni rahisi kutumia?
Kati ya njia zote tajwa hapo juu njia rahisi zaidi ni ambayo inaweza kutumiwa na mtu ambaye hana uelewa mpana juu ya ufugaji samaki ni manual sex separation na sex revesal method
Kwa kutumia moja kati ya mbinu hizi, wafugaji wa samaki wanaweza kuzaliza samaki wa jinsia moja madume pekee na kupunguza msongamano, kuhakikisha ukuaji wa haraka, na kuthibiti ubora bora wa maji, hatimaye kuleta faida na uendelevu katika sekta ya ufugaji wa samaki.
Ilikuwa na mradi endelevu ni vyema kuyatenga mabwawa yako kwa matumizi tofauti tofauti;
Bwawa A kwa ajili ya kuzalisha vifaranga, ambalo litakuwa na samaki mchanganyiko majike na madume na mabwawa.
Bwawa B kwa ajili ya kufugia samaki wa jinsia moja (madume pekee) ambalo hili ndio utakuwa ukiwauza kibiashara.
Kwa maelezo zaidi, ushauri au jambo lolote linaloruhusu ufugaji samaki unaweza nicheck directly
Call/WhatsApp: 0758779170
Hio pond liner ( nylon sheet) kuna kua na sehemu ya kuruhusu maji kutoka ( oulet) ikitokea maji yamechafuka?Kwa wale wanaotaka kupunguza gharama za ujenzi wa mabwawa wanaweza tumia pond liner (nylon sheet) kutengeneza mabwawa ya aina hii
Ndio kunakuwa na outlet system zinazotoa maji kupitia PVC pipeHio pond liner ( nylon sheet) kuna kua na sehemu ya kuruhusu maji kutoka ( oulet) ikitokea maji yamechafuka?
Je maji utakayo yaingiza kwenye hio pond ndo mpaka kipindi utakacho vuna ndounayotoa?
NimemjibuMtalaam naomba umjibu huyu mtu.
Naomba kuelemishwa kuhusu ulaji wa Samaki wanaofugwa kwenye Mabwawa
Kumekuwa na uwekezaji mkubwa wa ufugaji wa samaki hasa katika Ziwa Victoria. Hili ni jambo la kupongeza sana na mpaka Wachina wamejenga kiwanda cha vyakula vya hawa samaki. Juzi nimepita katika eneo la Luchelele Mwanza palipo na mabwawa haya ya kufugia samaki na kushuhudia uvunaji wao...www.jamiiforums.com
Mtaalam,Yapo mabwawa ya kuamishika (Mobile pond) yenye uwezo wa kuchukua samaki 500 - 2,000 ambayo yanafaa sana kwa mazingira mijini, unafuga samaki bila kuchimba bwawa na unaweza kutumia hata maji ya bomba
Makadilio ya manunuzi na Uendeshaji wa mradi (vifaranga, chakula na umeme) ni kati ya milioni 2 hadi milioni 5View attachment 3196372
Ni sahihi, samaki (Sato) wanakuwa vizuri zaidi kwenye maeneo ya joto kuliko kwenye maeneo ya baridi, mfano Njombe.Mtaalam,
Kuna mmoja alinieleza hivi kwa maeneo ya joto kama Dar Es Salaam samaki aina ya Tilapia(Sato) wanaweza kukua kwa miezi sita kufikia ukubwa wa kutosha tofauti na sehemu za joto pia kuna suala lingine pia alinieleza kuwa kufanya tathimini ni kama ifuatavyo kuwa samaki mchanga ananunuliwa kwa 3,00 na mpaka anafaa kuuzwa anakuwa amekula 1,500 na anakuwa na uzito wa gramu250 yaani kuipata kilo ni samaki wanne wenye wamegharamiwa kwa 9,400 na bei ya kilo ni 10,000 faida ni 6,00. Kuna ukweli wowote juu ya hilo? Na pia kama hakuna ukweli hesabu iliyopo ni ipi na hapo nimeweka nje gharama za uendeshaji na gharama za awali za uwekezaji kama kuchimba bwawa au kutengeneza bwawa.
Ok,Kilo moja ya samaki, idadi ya samaki ni watatu na wastani wa uzito wa samaki ni 350g
View attachment 3224994
Unanikumbusha mambo ya aquaculture systems.Otherwise, kama eneo lako lina umeme nitabidi ununue machine ya kuongeza hewa kwenye maji (earator) then udouble idadi ya samaki uwepandikize wastani wa samaki 20 kwa mita ya mraba (20/m²) ili uwe na bwawa moja tu la 600m² (urefu 30m × upana 20m) badala ya mabwawa mawili
Hapa Utahitaji pond liner zenye ukubwa wa mita za mraba 704 (704m²) ambayo ni sawa na Tsh 5,280,000.
Hizi pond liner zinakatwa na kuunganishwa kiwandani kulingana na ukubwa wa bwawa lako, likikufikia unatandika kama shuka kucover bwawa lako ili kuzuia maji yasipotee
Ufugaji wa samaki 1,000Ok,
Kwa kiwango cha chini kwa kuzingatia maelekezo yako mtaalam ni kwamba
Bwawa lipo kwa mfano;-
Samaki mchanga 300×4
Chakula 1,000×4
Jumla 5,200
Gharama za uendeshaji 70%
Jumla Kuu 8,840 kwa kilo.
Mtaalam hivi ya Nylon ya 1mm ya samaki 5,00 au 1,000 movable inaweza cost kiasi gani?
KaribuNitarud
Kwa maelezo haya, wewe ni mtaalamu, nimekukubali.Watu wengi wanatamani kufuga samaki lakini wanakosa taarifa sahihi juu ya namna bora ya kufuga samaki, moja kati ya vitu muhimu kwenye ufugaji wa samaki ni kuwa na mbegu bora ya samaki, nikisema mbegu bora ya samaki wa kufugwa nina maanisha samaki anayekuwa haraka ndani ya muda mfupi na mwenye uwezo wa kustahimili kuishi kwenye mazingira yasiokuwa ya asili.
Naomba nijikite zaidi kuelezea samaki aina ya sato, kuna aina nyingi sana za samaki aina ya sato (Tilapia species) lakini sio aina zote zinafaa kwa ufugaji
Hivyo ni muhimu kuhakikisha unapandikiza mbegu (vifaranga) bora kwa kununua mbegu kutoka kwa wazalishaji wanaotambulika na kuaminika badala ya kuchukua vifaranga kutoka kwenye vyanzo asili vya maji mfano ziwani, mabwani au mitoni ili kuepuka kuchukua mbegu isiyofaa kwa ufugaji wa kibiashara (samaki ambao kiasili hawakui sana kuwa na maumbo makubwa)
Vifaranga/Mbegu inayofaa ni ipi?
Katika ufugaji wa samaki aina ya sato (Tilapia species), species ambazo zinashauriwa na zimeonekana kuleta matokeo mazuri kwa wafugaji wengi ni hizi mbili, species ya kwanza kabisa ni Nile tilapia (Oreochromis niloticus) ikifatiwa na Wami/Mozambique tilapia.
Faida za kufuga samaki jinsia moja pekee (madume tu) ni zipi?
Katika ufugaji wa samaki kibiashara ni muhimu na vizuri zaidi ukifuga samaki madume pekee badala ya kufuga jinsia mchanganyiko madume na majike kwa sababu zifuatazo:
1. Ukuaji wa Haraka: Samaki madume hukua haraka zaidi kuliko majike. Kwa hivyo, ukifuga samaki madume pekee, watafika ukubwa unaohitajika kwa biashara mapema zaidi kuliko mchanganyiko wa madume na majike.
2. Kupunguza Uzalianaji: Samaki majike uzaliana kwa wingi sana jambo linalosababisha idadi ya samaki kuzidi uwezo wa bwawa (carrying capacity). Hii husababisha ukosefu wa oksijeni ya kutosha kwa samaki, hivyo kuathiri afya yao na ukuaji wao.
3. Uchafuzi wa Maji wa Mapema: Samaki wanapozaliana, idadi yao inakuwa kubwa, na kusababisha uchafuzi wa maji kwa haraka. Uchafuzi huu unatokana na kiwango kikubwa cha amonia inayozalishwa na kinyesi cha samaki, jambo linaloharibu ubora wa maji na hatimaye kuathiri ukuaji wa samaki.
Mbinu za Kuzalisha Samaki Madume Pekee ni zipi?
Baada ya kuona changamoto za kufuga samaki mchanganyingo kwa ufugaji wa samaki kibishara wataalamu walikuja na njia nne ili kuhakikisha uzalishaji na ufugaji wa samaki unafanikiwa, njia hizo ni kama zifuatazo:
1. Utenganishaji wa Kawaida (Manual sex separation): Hii ni mbinu ya kuchagua na kuwatenganisha samaki madume na majike kwa kwa kutumia mikono na kuwafuga katika sehemu tofauti tofauti mfano bwawa A majike pekee bwawa B madume pekee.
Mbinu hii ni ya kizamani na ningumu lakini pia ni rahisi kutokea makosa ya kibinadamu (human errors), pamoja na changamoto zake bado inatumiwa katika uzalishaji mdogo wa samaki.
2. Kubadilisha Jinsia (Sex Reversal): Mbinu hii inahusisha matumizi ya kemikali au hormone ili kubadilisha jinsia ya samaki na kuwa madume. Kwa mfano, matumizi ya 17-Alpha Methyltestosterone (MT) kwenye chakula cha mwanzo cha samaki (starter feed) ambacho upewa vifaranga kwa muda wa siku 21 - 28 za kwanza baada ya kifaranga kutotolewa.
Kwa lugha rahisi chakula hicho wanachopewa samaki kinakuwa na kiwango kikubwa cha hormone ya testosterone inayochochea mabadiliko ya samaki majike kuwa na madume. Mbinu hii ni maarufu katika ufugaji wa samaki kwa sababu ndio hutumiwa na wafugaji wengi, inauhakika kwa asilimia 90%+.
3. Mchanganyiko wa Spishi (Hybridization):
Kwenye njia hii mfugaji anacrossbreed two different tilapia species that have distinct sex-determining mechanisms. Baads ya kucrossbreed na samaji jike kutotoa mayai vifaranga vitakavyototolewa vyote uwa vya kiume; For example when you crossing Nile Tilapia (XX/XY system) with Blue Tilapia (ZZ/ZW system) kizazi mseto (hybrid) kwa kiasi kikubwa huwa madume pekee.
4. Mabadiliko ya Kijenetiki (Genetic Manipulation): Hii ni njia ya kitaalamu na yenye ufanisi zaidi inayoruhusu mabadiliko ya moja kwa moja ya vinasaba vya samaki ili kuhakikisha uzalishaji wa samaki madume pekee. Mfano mzuri ni matumizi YY male fish, YY male can only produce genetically male offspring when crossed with normal females.
Njia gani ni rahisi kutumia?
Kati ya njia zote tajwa hapo juu njia rahisi zaidi ni ambayo inaweza kutumiwa na mtu ambaye hana uelewa mpana juu ya ufugaji samaki ni manual sex separation na sex revesal method
Kwa kutumia moja kati ya mbinu hizi, wafugaji wa samaki wanaweza kuzaliza samaki wa jinsia moja madume pekee na kupunguza msongamano, kuhakikisha ukuaji wa haraka, na kuthibiti ubora bora wa maji, hatimaye kuleta faida na uendelevu katika sekta ya ufugaji wa samaki.
Ilikuwa na mradi endelevu ni vyema kuyatenga mabwawa yako kwa matumizi tofauti tofauti;
Bwawa A kwa ajili ya kuzalisha vifaranga, ambalo litakuwa na samaki mchanganyiko majike na madume na mabwawa.
Bwawa B kwa ajili ya kufugia samaki wa jinsia moja (madume pekee) ambalo hili ndio utakuwa ukiwauza kibiashara.
Kwa maelezo zaidi, ushauri au jambo lolote linaloruhusu ufugaji samaki unaweza nicheck directly
Call/WhatsApp: 0758779170
Nashukuru, karibu sana MkuuKwa maelezo haya, wewe ni mtaalamu, nimekukubali.
Nimeikopi namba yako kwa msaada zaidi.
nipe mwongozo kwa mfugaji anayetarajia kuanza kuchimba mabwawa yake binafsi shambani mwake. Pia unapatikana wapi?2. Bei za vifaranga inategemea na ukubwa wa kifaranga bei ni kati ya shilingi 200 hadi shilingi 300.
3. Gharama za wastani za chakula cha samaki kwa kilo moja ya chakula ni 3,500 Tsh. Hiki ni chakula kinachotoka nje ya nchi kwa wazalishaji wa ndani gharama zinakuwa nafuu zaidi
4. Project cost inategea unataka kuvuna tani ngapi kwa kila production cycle, mfano ujenzi wa cage moja yenye uwezo wa kuchukua samaki 12,000 inacost 3M.
nipe mwongozo kwa mfugaji anayetarajia kuanza kuchimba mabwawa yake binafsi shambani mwake. Pia unapatikana wapi?
Uzi mzuri sana...Watu wengi wanatamani kufuga samaki lakini wanakosa taarifa sahihi juu ya namna bora ya kufuga samaki, moja kati ya vitu muhimu kwenye ufugaji wa samaki ni kuwa na mbegu bora ya samaki, nikisema mbegu bora ya samaki wa kufugwa nina maanisha samaki anayekuwa haraka ndani ya muda mfupi na mwenye uwezo wa kustahimili kuishi kwenye mazingira yasiokuwa ya asili.
Naomba nijikite zaidi kuelezea samaki aina ya sato, kuna aina nyingi sana za samaki aina ya sato (Tilapia species) lakini sio aina zote zinafaa kwa ufugaji
Hivyo ni muhimu kuhakikisha unapandikiza mbegu (vifaranga) bora kwa kununua mbegu kutoka kwa wazalishaji wanaotambulika na kuaminika badala ya kuchukua vifaranga kutoka kwenye vyanzo asili vya maji mfano ziwani, mabwani au mitoni ili kuepuka kuchukua mbegu isiyofaa kwa ufugaji wa kibiashara (samaki ambao kiasili hawakui sana kuwa na maumbo makubwa)
Vifaranga/Mbegu inayofaa ni ipi?
Katika ufugaji wa samaki aina ya sato (Tilapia species), species ambazo zinashauriwa na zimeonekana kuleta matokeo mazuri kwa wafugaji wengi ni hizi mbili, species ya kwanza kabisa ni Nile tilapia (Oreochromis niloticus) ikifatiwa na Wami/Mozambique tilapia.
Faida za kufuga samaki jinsia moja pekee (madume tu) ni zipi?
Katika ufugaji wa samaki kibiashara ni muhimu na vizuri zaidi ukifuga samaki madume pekee badala ya kufuga jinsia mchanganyiko madume na majike kwa sababu zifuatazo:
1. Ukuaji wa Haraka: Samaki madume hukua haraka zaidi kuliko majike. Kwa hivyo, ukifuga samaki madume pekee, watafika ukubwa unaohitajika kwa biashara mapema zaidi kuliko mchanganyiko wa madume na majike.
2. Kupunguza Uzalianaji: Samaki majike uzaliana kwa wingi sana jambo linalosababisha idadi ya samaki kuzidi uwezo wa bwawa (carrying capacity). Hii husababisha ukosefu wa oksijeni ya kutosha kwa samaki, hivyo kuathiri afya yao na ukuaji wao.
3. Uchafuzi wa Maji wa Mapema: Samaki wanapozaliana, idadi yao inakuwa kubwa, na kusababisha uchafuzi wa maji kwa haraka. Uchafuzi huu unatokana na kiwango kikubwa cha amonia inayozalishwa na kinyesi cha samaki, jambo linaloharibu ubora wa maji na hatimaye kuathiri ukuaji wa samaki.
Mbinu za Kuzalisha Samaki Madume Pekee ni zipi?
Baada ya kuona changamoto za kufuga samaki mchanganyingo kwa ufugaji wa samaki kibishara wataalamu walikuja na njia nne ili kuhakikisha uzalishaji na ufugaji wa samaki unafanikiwa, njia hizo ni kama zifuatazo:
1. Utenganishaji wa Kawaida (Manual sex separation): Hii ni mbinu ya kuchagua na kuwatenganisha samaki madume na majike kwa kwa kutumia mikono na kuwafuga katika sehemu tofauti tofauti mfano bwawa A majike pekee bwawa B madume pekee.
Mbinu hii ni ya kizamani na ningumu lakini pia ni rahisi kutokea makosa ya kibinadamu (human errors), pamoja na changamoto zake bado inatumiwa katika uzalishaji mdogo wa samaki.
2. Kubadilisha Jinsia (Sex Reversal): Mbinu hii inahusisha matumizi ya kemikali au hormone ili kubadilisha jinsia ya samaki na kuwa madume. Kwa mfano, matumizi ya 17-Alpha Methyltestosterone (MT) kwenye chakula cha mwanzo cha samaki (starter feed) ambacho upewa vifaranga kwa muda wa siku 21 - 28 za kwanza baada ya kifaranga kutotolewa.
Kwa lugha rahisi chakula hicho wanachopewa samaki kinakuwa na kiwango kikubwa cha hormone ya testosterone inayochochea mabadiliko ya samaki majike kuwa na madume. Mbinu hii ni maarufu katika ufugaji wa samaki kwa sababu ndio hutumiwa na wafugaji wengi, inauhakika kwa asilimia 90%+.
3. Mchanganyiko wa Spishi (Hybridization):
Kwenye njia hii mfugaji anacrossbreed two different tilapia species that have distinct sex-determining mechanisms. Baads ya kucrossbreed na samaji jike kutotoa mayai vifaranga vitakavyototolewa vyote uwa vya kiume; For example when you crossing Nile Tilapia (XX/XY system) with Blue Tilapia (ZZ/ZW system) kizazi mseto (hybrid) kwa kiasi kikubwa huwa madume pekee.
4. Mabadiliko ya Kijenetiki (Genetic Manipulation): Hii ni njia ya kitaalamu na yenye ufanisi zaidi inayoruhusu mabadiliko ya moja kwa moja ya vinasaba vya samaki ili kuhakikisha uzalishaji wa samaki madume pekee. Mfano mzuri ni matumizi YY male fish, YY male can only produce genetically male offspring when crossed with normal females.
Njia gani ni rahisi kutumia?
Kati ya njia zote tajwa hapo juu njia rahisi zaidi ni ambayo inaweza kutumiwa na mtu ambaye hana uelewa mpana juu ya ufugaji samaki ni manual sex separation na sex revesal method
Kwa kutumia moja kati ya mbinu hizi, wafugaji wa samaki wanaweza kuzaliza samaki wa jinsia moja madume pekee na kupunguza msongamano, kuhakikisha ukuaji wa haraka, na kuthibiti ubora bora wa maji, hatimaye kuleta faida na uendelevu katika sekta ya ufugaji wa samaki.
Ilikuwa na mradi endelevu ni vyema kuyatenga mabwawa yako kwa matumizi tofauti tofauti;
Bwawa A kwa ajili ya kuzalisha vifaranga, ambalo litakuwa na samaki mchanganyiko majike na madume na mabwawa.
Bwawa B kwa ajili ya kufugia samaki wa jinsia moja (madume pekee) ambalo hili ndio utakuwa ukiwauza kibiashara.
Kwa maelezo zaidi, ushauri au jambo lolote linaloruhusu ufugaji samaki unaweza nicheck directly
Call/WhatsApp: 0758779170