Mama timmy
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 656
- 212
- Thread starter
- #21
Njiwa hawa ndiyo nawaota kila siku.nitawapata wapi Kama hawa?:help:Hao ni baadhi ya njiwa na banda nililonalo nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njiwa hawa ndiyo nawaota kila siku.nitawapata wapi Kama hawa?:help:Hao ni baadhi ya njiwa na banda nililonalo nyumbani
Njiwa unaofuga ni njiwa koko au species tofauti? Mimi nina njiwa wa kutoka nchi tofauti tofauti kama american fantail pigeons, nun pigeons, african owl pigeons, chinese owl pigeons, king pigeons na nun pigeons. Hawa nafuga kama hobby na biashara kwa kuwa pair moja inacost kati ya laki mbili mpaka laki saba. Kesho nitapost bandalangu la
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Njiwa hawa ndiyo nawaota kila siku.nitawapata wapi Kama hawa?:help:
Hope watakuwa mbegu kubwa kwani mi nina mbegu ndogo sana.nakupm sasa hivi.Kuna sehemu niliwaona sungura wakiwa ktk cage za ghorofa za mbao, ni Morogoro kwa padri fulani. Mbegu ni nzuri sana, rafiki yangu aliwachukua. Naamini kupitia yy tunaweza kupata habari kamili.
Hope watakuwa mbegu kubwa kwani mi nina mbegu ndogo sana.nakupm sasa hivi.
Hiyo ni kweli kabisa ndugu yangu.nashukuru kwa ushauri wako na nitaufanyia kazi ndugu yangusiku moja nilikuwa naangalia citizen ya kenya walisema kwamba kilo moja ya nyama ya sungura inafika 8,000 kwa pesa za tz . wao walikuwa wanafuga sungura wanaoweza fikia kilo 10. pia walisema bei ya ngozi yake iko juu mno. walisema pia demand ya nyama inazidi supply. unaweza fuga na ukaenda mabucha kadhaa ya ng'ombe mkaelewana ukawa unauzia hapo nyama.
siku moja nilikuwa naangalia citizen ya kenya walisema kwamba kilo moja ya nyama ya sungura inafika 8,000 kwa pesa za tz . wao walikuwa wanafuga sungura wanaoweza fikia kilo 10. pia walisema bei ya ngozi yake iko juu mno. walisema pia demand ya nyama inazidi supply. unaweza fuga na ukaenda mabucha kadhaa ya ng'ombe mkaelewana ukawa unauzia hapo nyama.
Mi siamini Kama soko la hapa linaweza kuzingua ndugu yangu.ila hata kuexport itawezekana kabisa hasa tukifanya kaumoja Fulani hivi cha wafuga sungura,tukafuga mdogo mdogo mpaka tukafikia Malengo ndugu yangu sabayi.:bowl::welcome:Kidole kimoja hakivunji chawaSo unaweza hata kuexport Keny kama soko la hapa linazingua
Mi siamini Kama soko la hapa linaweza kuzingua ndugu yangu.ila hata kuexport itawezekana kabisa hasa tukifanya kaumoja Fulani hivi cha wafuga sungura,tukafuga mdogo mdogo mpaka tukafikia Malengo ndugu yangu sabayi.:bowl::welcome:Kidole kimoja hakivunji chawa
Nashukuru kwa kunipa moyo kaka yangu.nikipata mbegu kubwa ndo nitatulia na kufanya ufugaji wenye akili.nina sungura wa kwaida sanaWatoto wa Mao wanakula sungura ile mbaya, huna haja ya kufikiria soko kivile, wewe watafute kwenye Macontainer yao halafu uwalengeshe kwako uone.
Mi siamini Kama soko la hapa linaweza kuzingua ndugu yangu.ila hata kuexport itawezekana kabisa hasa tukifanya kaumoja Fulani hivi cha wafuga sungura,tukafuga mdogo mdogo mpaka tukafikia Malengo ndugu yangu sabayi.:bowl::welcome:Kidole kimoja hakivunji chawa
Natamani tuwe wengi halafu tushirikiane ktk changamoto za ufugaji na ikifika wakati wa kutafuta soko tunatoa mzigo kwa pamoja ndo italipa vzr kusikia mmoja mmoja.Ni Kweli Mama Timmy tukifanya in Large Scale itakuwa rahisi zaidi kuexport in case soko la hapa limekuwa gumu na uzuri wa sungura hawana gharama kubwa sana kufuga na risk yao kufa sio kubwa sana kama kuku wa kisasa
Natamani tuwe wengi halafu tushirikiane ktk changamoto za ufugaji na ikifika wakati wa kutafuta soko tunatoa mzigo kwa pamoja ndo italipa vzr kusikia mmoja mmoja.
Malila kaka yangu wengi wanaanzia watu wawili na kuendelea.muhimu ni kujua a kusaidiana ktk changamoto zitakazojitokeza.nikimaanisha kuelewanawengi wangapi dada?
malila kaka yangu wengi wanaanzia watu wawili na kuendelea.muhimu ni kujua a kusaidiana ktk changamoto zitakazojitokeza.nikimaanisha kuelewana
Simbilisi?kama ni huyu nimemuona tayari.nashukuru kaka yangukuna mtu ktk pm yako angalia.
Mohammed kaka yangu mbona umepotea ghafla hautupi majibu ya Hao njiwa tutawapataje?tusaidie ndugu yanguHao ni baadhi ya njiwa na banda nililonalo nyumbani
Malila kaka yangu mbona Kama mohammed shossi am.etutamanisha njiwa halafu akatoweka.jamani Kama kunamtu Anajua njiwa Kama hawa wanapatikana wapi naomba anisaidieMkuu Ms,
Naomba unipe bei za njiwa wako uliowataja, nafuta michango yote ya sendoff mwaka huu ili niweze kuwanunua hawa njiwa na kuwafuga shambani kwangu.