Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

Njiwa hawa ndiyo nawaota kila siku.nitawapata wapi Kama hawa?:help:

Hawa njiwa mimi ninao kama unawataka itakubidi usubiri nizalishe ndio niuze maana hawapatikani hapa nimeagizia kutoka Dubai na wengine "crested helmet" wametoka Australia. Hawana bei kubwa kwa nje ila gharama ni kuwasafirisha vibali na kuwatoa.
 
Hawa njiwa mimi ninao kama unawataka itakubidi usubiri nizalishe ndio niuze maana hawapatikani hapa nimeagizia kutoka Dubai na wengine "crested helmet" wametoka Australia. Hawana bei kubwa kwa nje ila gharama ni kuwasafirisha vibali na kuwatoa.

Mkuu Shossi,

Naomba niseme hivi, mimi Malila nawataka. Nakutumia mail yangu kwa pm ili huko unipe kila kitu na pale mzigo ukiwa tayari utanijulisha kupitia huko.
 
Pigeons are stout-bodied birds with short necks and short slender bills with a fleshy cere. In culinary terminology, squab is a young domestic pigeon or its meat. The meat is widely described as tasting like dark chicken. The term is probably of Scandinavian origin; the Swedish word skvabb means "loose, fat flesh". It formerly applied to all dove and pigeon species, such as the Wood Pigeon, the Mourning Dove, and the now-extinct Passenger Pigeon, and their meat. More recently, squab meat comes almost entirely from domesticated pigeons. The meat of dove and pigeon gamebirds hunted primarily for sport is rarely called squab.

The practice of domesticating pigeon as livestock may have come from the Middle East; historically, squabs or pigeons have been consumed in many civilizations, including Ancient Egypt, Rome and Medieval Europe. Although squab has been consumed throughout much of recorded history, it is generally regarded as exotic, not as a contemporary staple food; there are more records of its preparation for the wealthy than for the poor.

The modern squab industry uses utility pigeons. Squabs are raised until they are roughly a month old, when they reach adult size but have not yet flown, before being slaughtered.


Benefits Pigeon Meat (Squab) For Health


The Nutrients in one Raw Meat-Only Squab which is about 168 grams are:

- Vitamin A
- Vitamin B1, Thiamin (good amount)
- Vitamin B2, Riboflavin (good amount)
- Vitamin B3, Niacin (large amount)
- Vitamin B5, Pantothenic Acid
- Vitamin B6, Pyridoxine (good amount)
- Vitamin B9, Folate
- Vitamin B12, Cobalamin
- Vitamin C (good amount)
- Protein (large amount)
- Calcium
- Iron (good amount)
- Phosphorus (large amount)
- Selenium (good amount)
- Zinc (good amount)
- Copper (large amount)
- Natural Fats
- Cholesterol (large amount)
- Magnesium
- Manganese
- Potassium
- Sodium
- Omega 3 Fatty Acids
- Omega 6 Fatty Acids
- Calories

Protein:
- Improves Immune system function
- Supports Healthy skin
- Supports Healthy nails
- Supports Healthy hair
- Supports enzyme production
- Reduces weight loss
- Lowers chances of fatigue
- Lowers chance of weakness
- Improves healthy development
- Supports blood clotting
- Improves healthy growth

Vitamin B3:
- Lowers Bad Cholesterol Levels (LDL)
- Raises Good Cholesterol Levels (HDL)
- Normalizes Blood Sugar Levels
- Supports Healthy Fat process
- Reduces Weakness
- Normalizes appetite
- Reduces skin infections
- Reduces digestive issues
- Provides Healthy Energy
- Improves Skin health

Copper:
- Reduces tissue damage
- Supports bone health
- Supports thyroid gland function
- Support Nerves health
- Increases Good Cholesterol (HDL)
- Decreases Bad Cholesterol (LDL)
- Reduces Fatigue
- Reduces Weakness

Vitamin B6:
- Supports Brain Function
- Provides Healthy Energy
- Reduces Risk of Heart attack
- Supports Nervous system
- Protects from homocysteine build-up
- Reduces fatigue
- Lowers chance of anemia
- Helps protect from eczema
- Helps protect from dermatitis
- Supports healthy skin
- May reduce seizures

Iron:
- Improves Oxygen distribution
- Improves Immune System
- Provides Healthy energy
- Reduces fatigue
- Reduces weakness
- Improves concentration ability
- Lowers chance of infections
- Supports healthy hair
- Reduces Dizziness
- Lowers chances of headaches
- Strengthens nails
- Protects from apathy
- Lowers risks of depression

Zinc:
- Helps prevent warts
- Helps cure from warts
- Improves Immune system function
- Supports cell growth
- Improves Wound Healing
- Improves smelling ability
- Improves tasting ability
- Normalizes blood sugar level
- Regulates metabolism
- Normalizes appetite
- Reduces depression
- Supports healthy growth in children
- Protects from frequent colds
- Protects from frequent infections

Vitamin B1:
- Regulates Energy Supplies
- Supports Healthy Heart Function
- May Increase appetite
- Reduces Numbness in Legs
- Supports Muscles
- Supports Nervous system
- Supports Cardiovascular function

Selenium:
- Protects from free radicals
- Improves thyroid function
- Reduces risk of joint inflammation
- Lowers chances of muscle pain
- Reduces weakness
- Protects from skin discoloration
- Protects from hair discoloration
- Lowers risk of some cancers
- Reduces risk of heart disease
 
Hawa njiwa mimi ninao kama unawataka itakubidi usubiri nizalishe ndio niuze maana hawapatikani hapa nimeagizia kutoka Dubai na wengine "crested helmet" wametoka Australia. Hawana bei kubwa kwa nje ila gharama ni kuwasafirisha vibali na kuwatoa.
Ninawataka na Niko tayari kusubiri uwazalishe.nitakupm kwa mawasiliano zaidi kaka yangu.ahsante sana
 
[SIZE=+4]Rabbit Facts[/SIZE]1 Cholesterol level in rabbit meat is much lower than chicken, turkey, beef, pork. (Alabama A & M University 1989)
chart_bf2.gif

2 Rabbit is lower in % of fat than chicken, turkey, beef, and pork. (U S D A circular # 549)

3 Unsaturated fatty acids is 63% of total fatty acids. ( Dr Reo)

4 Rabbit is highest in protein%. (U S D A circular # 549)

5 The office of home economics, state relations of the U S Department of Agriculture has made extensive test and have stated that domestic rabbit meat is the most nutritious meat known to man.

6 Rabbit meat is seasonal any month of the year and is especially recommended during the hot summer months, as it does not contain the heating properties of most all other meats.
7 Rabbit meat has been used and is suitable for special diets, such as those for heart disease patients, diets for the aged, low sodium diets, weight reduction diets, ect. ( Rabbit production Cheek Patton Templeton) Of course this is between you and your doctor. We do not make any recommendations of this type because we are not qualified.

8 Rabbit has 795 calories per pound. Chicken 810, Veal 840, Turkey 1190, Lamb 1420, Beef 1440, Pork 2050. ( U S D A circular # 549 )

9 A doe rabbit that weighs 10 pounds can produce 320 pounds of meat in a year. !!! WOW !!!. This is more than a cow and it takes 2 acres of land to raise a cow.

10 Rabbits will produce 6 pounds of meat on the same feed and water as a cow will produce 1 pound of meat on the same feed and water.

11 Baby rabbits feed of mothers milk so rich that they can double their weight in 6 short days as compared to a pig at 14 days, calves 47 days, and humans 160 days.

12 Our rabbits are fed a special blend of 40% alfalfa hay and 60% grain( oats, wheat, barley, sougram, soybean, ect ) that is made into a pelleted feed.

13 Rabbits are raised up off the ground and is one of the cleanest meat.

14 Rabbits are among the most productive of domestic livestock.

15 It was decreed by law in the Roman Empire that all young maidens be fed rabbit meat because it would make them more beautiful and more willing.

16 The first recorded rabbitry husbandry was in early Roman times, Where rabbits were kept in walled rabbit gardens for food. This saved waste over bigger animals because the rabbit was all eaten. there was no refrigeration.

17 Sailing vessels distributed rabbits on islands in various sea lanes to be used as a source of food by sailors.

18 In 1859 a single pair of rabbits was released in Victoria, Australia, and in 30 years gave rise to an estimated 20 million rabbits.

19 As the worlds human population grows there will be less land and water to raise food. The rabbit will play a more increasing role in this supply. Rabbits can and do grow well on food items tha do not compete with food items.grown for human food.

20 Rabbits lend themselves to both small and large scale production.

21 France is the world's largest producer and consumer of rabbit meat. In Hungary there are rabbitries with over 10,000 does producing rabbits for export to Italy.

22 Rabbit meat is all white meat.

23 Rabbit was the number 1 Export item of Red China.

24 Rabbit meat compares very favorably to veal at half the price.

25 Our rabbits are not just a rabbit. They are a special breed developed over 28 years of selective breeding by computer. They have more meat and less bone.

26 The combination of the best sanitation and special hand processing technics gives us a much longer fresh shelf life than our competition.

27 Rabbits are known to be used for meat as far back as 1500BC

28.Some people use the heat from the rabbit's ears to heat green houses

29. Taken from the Domestic Rabbit magazine from the early 1990's rabbit manure
has the following percentages of dry material.
2.20% Nitrogen
.87% Phosphorus
2.30% Potassium
.36% Sulfur
1.26% Calcium
.40% Magnesium

source: 29 True Facts about Meat Rabbits
 
Narubongo nashukuru sana kwa maelezo yako.je sungura wako ni wa kienyeji au wakisasa?na vp naweza kupata mbegu kubwa kwako?

Mama timmy samahani kwa kuchelewa kujibu ..msimu wa kilimo huu nimekimbia mjini, ninao sungura chotara wachache na wanatunza watoto vizuri tu kwasababu nimewaweka shambani kwenye mazingira yao ya asili(wanachimba mashimo).. ila maumbo yao kwakweli ni madogo sana (kg 1.5-3) ukimchuna ngozi na kuondoa matumbo ndio kabisa.. na mimi pia nawafuga kwa hobby kama wewe lakini mpango wa kuanza kuwafuga kibiashara upo na kuhusu soko Malila aliniahidi kwa wajuba.. pimbi nao nimewaweka kiasi... sungura kibiashara wana faida kubwa sana.. kwasasa akiwa hai ni kati ya 10-20,000/=.
Kuhusu kupata mbegu bora ya kibiashara unaweza kubahatisha kwenye maonesho ya kilimo kama yale ya nane nane au kenya.. nikibahatisha jinsi ya kuwapata nitawataarifu
 
Last edited by a moderator:
Mama timmy samahani kwa kuchelewa kujibu ..msimu wa kilimo huu nimekimbia mjini, ninao sungura chotara wachache na wanatunza watoto vizuri tu kwasababu nimewaweka shambani kwenye mazingira yao ya asili(wanachimba mashimo).. ila maumbo yao kwakweli ni madogo sana (kg 1.5-3) ukimchuna ngozi na kuondoa matumbo ndio kabisa.. na mimi pia nawafuga kwa hobby kama wewe lakini mpango wa kuanza kuwafuga kibiashara upo na kuhusu soko Malila aliniahidi kwa wajuba.. pimbi nao nimewaweka kiasi... sungura kibiashara wana faida kubwa sana.. kwasasa akiwa hai ni kati ya 10-20,000/=.
Kuhusu kupata mbegu bora ya kibiashara unaweza kubahatisha kwenye maonesho ya kilimo kama yale ya nane nane au kenya.. nikibahatisha jinsi ya kuwapata nitawataarifu
Nashukuru sana kwa kujali shida yangu.naomba ukipata mtu mwenye hawa sungura uniunganishe nae.biashara itafanyika tu
 
Mama timmy samahani kwa kuchelewa kujibu ..msimu wa kilimo huu nimekimbia mjini, ninao sungura chotara wachache na wanatunza watoto vizuri tu kwasababu nimewaweka shambani kwenye mazingira yao ya asili(wanachimba mashimo).. ila maumbo yao kwakweli ni madogo sana (kg 1.5-3) ukimchuna ngozi na kuondoa matumbo ndio kabisa.. na mimi pia nawafuga kwa hobby kama wewe lakini mpango wa kuanza kuwafuga kibiashara upo na kuhusu soko Malila aliniahidi kwa wajuba.. pimbi nao nimewaweka kiasi... sungura kibiashara wana faida kubwa sana.. kwasasa akiwa hai ni kati ya 10-20,000/=.
Kuhusu kupata mbegu bora ya kibiashara unaweza kubahatisha kwenye maonesho ya kilimo kama yale ya nane nane au kenya.. nikibahatisha jinsi ya kuwapata nitawataarifu

Niko na mkulima mmoja mkubwa na mfugaji mzuri wa wanyama. Tukishaweka mambo sawa nitaweka kila jambo hadharani.
 
Niko na mkulima mmoja mkubwa na mfugaji mzuri wa wanyama. Tukishaweka mambo sawa nitaweka kila jambo hadharani.
Nakuaminia Malila kaka yangu.leo nimepata nafasi ya kumtembelea Mohammed shossi na njiwa wake! ulisema michango ya send off ndo utaikata?ni waziri zaidi ya namna wanavyoonekana kwenye picha.ufugaji lazima ufanyike na soko litapatikana tuu kaka yangu.
 
Nakuaminia Malila kaka yangu.leo nimepata nafasi ya kumtembelea Mohammed shossi na njiwa wake! ulisema michango ya send off ndo utaikata?ni waziri zaidi ya namna wanavyoonekana kwenye picha.ufugaji lazima ufanyike na soko litapatikana tuu kaka yangu.

Michango isiyo ya elimu, ugonjwa,maafa nimefuta. Hongera kwa kuona kazi nzuri ya mwenzio.
 
Sungura sungura sungura.jamani wana jamii njiwa nimeshajua pa kuwapata.sungura bado.nikiuanza maradi huu wa ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija nitawajulisha hatua kwa hatua hapa hapa jamvini
 
namimi nipo interested sana na sungura. Naomba mkipata mbegu mnijulishe na mimi
 
Mama timmy samahani kwa kuchelewa kujibu ..msimu wa kilimo huu nimekimbia mjini, ninao sungura chotara wachache na wanatunza watoto vizuri tu kwasababu nimewaweka shambani kwenye mazingira yao ya asili(wanachimba mashimo).. ila maumbo yao kwakweli ni madogo sana (kg 1.5-3) ukimchuna ngozi na kuondoa matumbo ndio kabisa.. na mimi pia nawafuga kwa hobby kama wewe lakini mpango wa kuanza kuwafuga kibiashara upo na kuhusu soko Malila aliniahidi kwa wajuba.. pimbi nao nimewaweka kiasi... sungura kibiashara wana faida kubwa sana.. kwasasa akiwa hai ni kati ya 10-20,000/=.
Kuhusu kupata mbegu bora ya kibiashara unaweza kubahatisha kwenye maonesho ya kilimo kama yale ya nane nane au kenya.. nikibahatisha jinsi ya kuwapata nitawataarifu

Hao wako ni maalumu kwa ngozi
 
Last edited by a moderator:
UTANGULIZI
Kabla hujaamua kufuga
sungura hakikisha ya
kwamba umejitoa na una
muda wa kuwahudumia
wanyama waha, ufugaji wao si rahisi kama vile ukifuga paka au mbwa, sungura Wanahitaji uangalizi na hasa kwenye usafi kwa sababu ni rahisi kwao kupata maradhi yatokanayo na mazingira
mabaya na machafu

AINA ZA SUNGURA
sungura+3.bmp

Kuna aina mbali mbali wa
sungura lakini
wanagawanywa mara mbili
kwa matumizi. Moja ni kwa
matumizi ya ngozi yake kwa
kutengeza kofia, mifuko, na mishipi na pili kuna aina ya
sungura ambao hufugwa kwa kuzalisha nyama. Mfano wa aina ya sungura wa ngozi ni “Angora” ambaye manyoa
yake ni marefu. Na kwa sungura wanaofugwa kwa
nyama ni aina ya sungura
ambao hukua haraka, uzito wa
sungura wa nyama ni kutoka
kilo mbili hadi kilo tano Califonia White na
Newzealand White, Chinchila
Flemish Giant ambaye ni
mkubwa, an pia
sungura aina ya Flemish
Fender wazuri kwa nyama

MABANDA
Kuna aina mbili za mabanda ya kufugia kwanza ni yale yakuwafungia ndani muda
wote bila kutoka nje na ya
pili ni ile ya pili ni nusu nusu
yaani wanakuwa na mabanda na wanaweza
kutoka nje kwenye ua
maalum, katika aina zote
mbili ni muhimu kuhakikisha
hakuna upenyo wa kuruhusu
panya kupita kwa sababu huwa wanakula watoto wa
sungura.

UFUGAJI WA NDANI
1 - Usitumie banda la kioo (aquarium) kwa sababu
halina hewa ya kutosha na ni vigumu kusafisha
2 - Sakafu ya nyavu za waya ni nzuri zaidi ila hakikisha
hakuna sehemu zenye ncha
kali inayoweza kuwaumiza
sungura, kwani wakumia ni
mpaka wapone wenyewe au
umchinje kwa sababu ukitumia dawa za antibiotic
sungura hana uwezo wa
kuzimeng'enya na kuisha
mwilini mwake, siku
ukimchinja atabakia na dawa na hata ukinusa nyama yake utahisi harufu ya dawa
3 - Ukubwa wa banda usipungue mita 4 * 2 kwa kila sungura mmoja, likiwa
kubwa zaidi ni vizuri
4 - Chini kuwekewe matandazio kama nyasi kavu au maranda ya mbao, lakini maranda yatokanbayo na miti yenye mafuta kama mi-pine na mikaratusi hayafai,
wawekee kipande cha blanket au taulokwa ajili ya kulalia na kujifungulia hasa kwa wazazi
5 - Ni muhimu kuwawekea sehemu ya kujificha mara
wanapohisi hatari, unaweza
kutumia mbao, box gumu au
plastiki
UFUGAJI WA NJE
1 - Sehemu yote izungushiwe wavu wa kuku kuzuia panya kuingia na wanyama wengine kama paka, mbwa, mwewe nk
2 - Upande mmoja uwe na mabanda, sehemu ya chakula na maji pamoja na kivuli kwa ajili ya sungura kupumzika
3 - Futi moja chini ya udongo kuwe na zege kuzuia sungura kuchimba na kwenda mbali
4 - Eneo la wazi liwe huru na hatari zote za sumu kama dawa za kuulia wadudu au mbolea, pia majani yaliyoota yasiwe ni yale yenye sumu
(waone wataalamu
wakushauri au ng'oa yote)

MAJI
Tumia mabakuli ya kigae,
plastiki au jengea kwa saruji, maji yabadilishwe kila siku na vyombo visafishwe kila siku

CHAKULA
Wapewe majani, mabaki ya
mboga za jikoni baada ya
kuchambuliwa, pia unaweza
kuwawekea pumba au chakula cha kuku (growers
mash) kwenye vyombo maalum kama chakula chenye virutubisho (concentrates)

USAFI
Kila siku jaribu kuondoa
uchafu kama vyakula vilivyo
mwagika, na kinyesi
kilichoganda kwenya
matandazio, fagia na kubadili matandazio angalau mara moja kwa wiki, manyoya ya
sungura mzazi yasiondolewe
hii huonyesha kwamba
anakaribia kujifungua watoto

MENO
Wakati mwingine meno ya
mbele hukua sana na
kumsababishia usumbufu
wakati wa kula, waone
wataalam ukiona ni marefu
zaidi na yanahitaji kupunguzwa, dalili kuu ni
sungura kushindwa kula kwa zaidi ya masaa 12

MIGUU
Miguu ya sungura si kama ya
wanyama wengine, nyayo
zake zimefunikwa kwa
manyoya, angalia ukiona
yananyonyoka kuna tatizo
chunguza, kucha zake nazi huhitaji kupunguzwa zikikua sana

UBEBAJI
Usimbebe kwa kutumia
masiki yake huwa wanaumia
sana, shika ngozi nyuma ya
shingo kama paka ukitaka
kumbeba
DAWA
Wapewe dawa ya minyoo
kama piperazine kila baada
ya miezi mitatu, dawa za
wadudu kama akheri
powdeer zinyunyuziwe
kwenya mabanda yao kuzuia viroboto, usiwape dawa nyingine bila ushauri wa kitaalamu, antibiotics ndio usijaribu kabisa kama
nilivyosema mwanzo

NB:Epuka kuzaana ndugu kwa ndugu (inbreeding) kwani pia hujenga tabia hii kwa majike, itabidi ubadili majike na baada ya vizazi kadhaa utabadili pia madume ili yasizae na watoto wao
Aksante
 
N
UTANGULIZI
Kabla hujaamua kufuga
sungura hakikisha ya
kwamba umejitoa na una
muda wa kuwahudumia
wanyama waha, ufugaji wao si rahisi kama vile ukifuga paka au mbwa, sungura Wanahitaji uangalizi na hasa kwenye usafi kwa sababu ni rahisi kwao kupata maradhi yatokanayo na mazingira
mabaya na machafu

AINA ZA SUNGURA
sungura+3.bmp

Kuna aina mbali mbali wa
sungura lakini
wanagawanywa mara mbili
kwa matumizi. Moja ni kwa
matumizi ya ngozi yake kwa
kutengeza kofia, mifuko, na mishipi na pili kuna aina ya
sungura ambao hufugwa kwa
kuzalisha nyama. Mfano wa
aina ya sungura wa ngozi ni
"Angora" ambaye manyoa
yake ni marefu. Na kwa sungura wanaofugwa kwa
nyama ni aina ya sungura
ambao hukua haraka, uzito wa
sungura wa nyama ni kutoka
kilo mbili hadi kilo tano. Bw.
Wachira anafuga sungura anina ya Califonia White na
Newzealand White, Chinchila
Flemish Giant ambaye ni
mkubwa, an pia hufuga
sungura aina ya Flemish
Fender

MABANDA
Kuna aina mbili za mabanda ya kufugia kwanza ni yale yakuwafungia ndani muda
wote bila kutoka nje na ya
pili ni ile ya pili ni nusu nusu
yaani wanakuwa na mabanda na wanaweza
kutoka nje kwenye ua
maalum, katika aina zote
mbili ni muhimu kuhakikisha
hakuna upenyo wa kuruhusu
panya kupita kwa sababu huwa wanakula watoto wa
sungura.

UFUGAJI WA NDANI
1 - Usitumie banda la kioo (aquarium) kwa sababu
halina hewa ya kutosha na ni vigumu kusafisha
2 - Sakafu ya nyavu za waya ni nzuri zaidi ila hakikisha
hakuna sehemu zenye ncha
kali inayoweza kuwaumiza
sungura, kwani wakumia ni
mpaka wapone wenyewe au
umchinje kwa sababu ukitumia dawa za antibiotic
sungura hana uwezo wa
kuzimeng'enya na kuisha
mwilini mwake, siku
ukimchinja atabakia na dawa na hata ukinusa nyama yake utahisi harufu ya dawa
3 - Ukubwa wa banda usipungue mita 4 * 2 kwa kila sungura mmoja, likiwa
kubwa zaidi ni vizuri
4 - Chini kuwekewe matandazio kama nyasi kavu au maranda ya mbao, lakini maranda yatokanbayo na miti yenye mafuta kama mi-pine na mikaratusi hayafai,
wawekee kipande cha blanket au taulokwa ajili ya kulalia na kujifungulia hasa kwa wazazi
5 - Ni muhimu kuwawekea sehemu ya kujificha mara
wanapohisi hatari, unaweza
kutumia mbao, box gumu au
plastiki
UFUGAJI WA NJE
1 - Sehemu yote izungushiwe wavu wa kuku kuzuia panya kuingia na wanyama wengine kama paka, mbwa, mwewe nk
2 - Upande mmoja uwe na mabanda, sehemu ya chakula na maji pamoja na kivuli kwa ajili ya sungura kupumzika
3 - Futi moja chini ya udongo kuwe na zege kuzuia sungura kuchimba na kwenda mbali
4 - Eneo la wazi liwe huru na hatari zote za sumu kama dawa za kuulia wadudu au mbolea, pia majani yaliyoota yasiwe ni yale yenye sumu
(waone wataalamu
wakushauri au ng'oa yote)

MAJI
Tumia mabakuli ya kigae,
plastiki au jengea kwa saruji, maji yabadilishwe kila siku na vyombo visafishwe kila siku

CHAKULA
Wapewe majani, mabaki ya
mboga za jikoni baada ya
kuchambuliwa, pia unaweza
kuwawekea pumba au chakula cha kuku (growers
mash) kwenye vyombo maalum kama chakula chenye virutubisho (concentrates)

USAFI
Kila siku jaribu kuondoa
uchafu kama vyakula vilivyo
mwagika, na kinyesi
kilichoganda kwenya
matandazio, fagia na kubadili matandazio angalau mara moja kwa wiki, manyoya ya
sungura mzazi yasiondolewe
hii huonyesha kwamba
anakaribia kujifungua watoto

MENO
Wakati mwingine meno ya
mbele hukua sana na
kumsababishia usumbufu
wakati wa kula, waone
wataalam ukiona ni marefu
zaidi na yanahitaji kupunguzwa, dalili kuu ni
sungura kushindwa kula kwa zaidi ya masaa 12

MIGUU
Miguu ya sungura si kama ya
wanyama wengine, nyayo
zake zimefunikwa kwa
manyoya, angalia ukiona
yananyonyoka kuna tatizo
chunguza, kucha zake nazi huhitaji kupunguzwa zikikua sana

UBEBAJI
Usimbebe kwa kutumia
masiki yake huwa wanaumia
sana, shika ngozi nyuma ya
shingo kama paka ukitaka
kumbeba
DAWA
Wapewe dawa ya minyoo
kama piperazine kila baada
ya miezi mitatu, dawa za
wadudu kama akheri
powdeer zinyunyuziwe
kwenya mabanda yao kuzuia viroboto, usiwape dawa nyingine bila ushauri wa kitaalamu, antibiotics ndio usijaribu kabisa kama
nilivyosema mwanzo

NB:Epuka kuzaana ndugu kwa ndugu (inbreeding) kwani pia hujenga tabia hii kwa majike, itabidi ubadili majike na baada ya vizazi kadhaa utabadili pia madume ili yasizae na watoto wao
Aksante
nimekuelewa sana ndugu yangu.nashukuru sana na tena saaana.nitayafanyia kazi yote haya
 
Mama timmy

nina vitabu vidogo viwili raising and keeping rabbits part 1&2 ... nilipewa na mtu mmoja wa FAO telefood program .... maelezo yote from A to Z utayapata in very simple and understanding language

kama unahitaji do not hesitate to contact by pm ...

available free of charge
Bluetooth vp tena?wiki imeisha tena ndugu yangu.nina moto wa kufuga usiniache mpaka nipoe.nasubiri kusikia kwako
 
Back
Top Bottom