Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Kufuatia dunia kukata tamaa kwamba mgogoro wa Israel na Palestina hauwezikuisha asilani na kwamba dunia imegawanyika katika mgogoro huu kwa kuchukuwa pande mbili ambapo upande mmoja wa dola za Magharibi kushikilia kuiunga mkono Israel (kisirisiri) na upande wa dunia ya Waarabu na Waafrika wakiungana kutengeneza upande kinzani kwa kuiunga mkono Palestina katika mgogoro huo kwa kuilaumu Israel kwa uvamizi wa ardhi ya Wapalestina kinyume na haki, nadhani hatujafikia ukingo wa kutafuta suluhu ya kudumu.
Mapendekezo yangu:
1. Ninapendekeza kwamba ili kumaliza tatizo hili, Afrika iamue kutoa eneo kwa ajili ya hasimu mmoja kuanzisha utaifa wake ili hasimu mwingine ndiyo abakie Mashariki ya Kati kumiliki maeneo mawili ya Israel na Palestina kwa pamoja kutengeneza utaifa wake.
2. Mbadala na hilo, ama Wapalestina au Waisraeli, mmoja ahamishiwe katika moja ya nchi za Afrika badala ya kutengeneza taifa jipya.
Angalizo:
Afrika Kusini weupe na weusi wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Amerika weupe na weusi wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Sudan ya zamani Waarabu na weusi waliishi taifa moja kabla ya Sudan Kusini kuanzishwa (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Canada ni mchanganyiko wa races wanaoishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Australia weupe (Waingereza) na weusi (Aborigines) wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Mauritius weusi na machotara wa Kihindi wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Haiti weusi na machotara wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Liberia weusi (Afro-Liberians) na weupe (Americo-Liberians) wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Afrika pekee yenye nusu ya rasilimali zote za sayari sehemu yake inayokaliwa na binadamu ni takriban 50% sawa na maili za mraba 5.85ml, sehemu iliyosalia ya ukubwa huo haikaliwi na binadamu (Afrika ina ukubwa wa maili za mraba 11.7ml). Israel ina idadi ya watu 9.3ml 2020 UN, Palestina ina idadi ya watu wapatao 5.2ml 2020 UN. Ukubwa wa Israel unaingia kwa Tz mara 45.4 (ukubwa wa Tz ni 945,203 km2, ukubwa wa Israel ni 20,770 km2).
Kama wazo hili lingetekelezwa unadhani kati ya Wapalestina na Waisraeli wepi ungependa waletwe Afrika au katika nchi yako? Sababu zako ni zipi?
Taswira zote kwa hisani ya google.
Mapendekezo yangu:
1. Ninapendekeza kwamba ili kumaliza tatizo hili, Afrika iamue kutoa eneo kwa ajili ya hasimu mmoja kuanzisha utaifa wake ili hasimu mwingine ndiyo abakie Mashariki ya Kati kumiliki maeneo mawili ya Israel na Palestina kwa pamoja kutengeneza utaifa wake.
2. Mbadala na hilo, ama Wapalestina au Waisraeli, mmoja ahamishiwe katika moja ya nchi za Afrika badala ya kutengeneza taifa jipya.
Angalizo:
Afrika Kusini weupe na weusi wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Amerika weupe na weusi wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Sudan ya zamani Waarabu na weusi waliishi taifa moja kabla ya Sudan Kusini kuanzishwa (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Canada ni mchanganyiko wa races wanaoishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Australia weupe (Waingereza) na weusi (Aborigines) wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Mauritius weusi na machotara wa Kihindi wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Haiti weusi na machotara wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Liberia weusi (Afro-Liberians) na weupe (Americo-Liberians) wanaishi taifa moja (kwanini Israel na Palestina zisiunganishwe kuwa taifa moja?).
Afrika pekee yenye nusu ya rasilimali zote za sayari sehemu yake inayokaliwa na binadamu ni takriban 50% sawa na maili za mraba 5.85ml, sehemu iliyosalia ya ukubwa huo haikaliwi na binadamu (Afrika ina ukubwa wa maili za mraba 11.7ml). Israel ina idadi ya watu 9.3ml 2020 UN, Palestina ina idadi ya watu wapatao 5.2ml 2020 UN. Ukubwa wa Israel unaingia kwa Tz mara 45.4 (ukubwa wa Tz ni 945,203 km2, ukubwa wa Israel ni 20,770 km2).
Kama wazo hili lingetekelezwa unadhani kati ya Wapalestina na Waisraeli wepi ungependa waletwe Afrika au katika nchi yako? Sababu zako ni zipi?
Taswira zote kwa hisani ya google.