Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 667
- 338
Half Time | African Sports 0 - 0 Simba
Mkuu msalimie pacha wako Danny greeny.. Mwambie lile soka la Simba S.C lililojaa pasi nyingi, ufumdi mwingi + magoli mengi ndo linaanza 2nd half.
Ufundi wote mmeuonyesha kipindi cha kwanza ukijumlisha na msaada wa refa lakini mmeshindwa kufunga.
Mtani imekuwaje Manyika kavaa Jezi mgongoni imeandikwa Angban?