brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Leo 12/09/2015 ligi kuu Tanzania bara inaanza kwa msimu wa 2015/16, wekundu wa msimbazi wamepania kurudisha heshima yao msimu huu kwa kuchukua ubingwa na wataanza leo dhidi ya wageni wa ligi kuu African sports kule jijini Tanga, ikumbukwe Simba haipata ushindi uwanja wa Mkwakwani kwa misimu 3 mfulizo. Leo wamepania kuvunja historia. Mabingwa wa Africa mashariki Azam watakuwa Chamazi kupambana na Prisons. Mechi zingine za leo Stand utd vs Mtibwa sugar, Toto african vs Mwadui fc, Majimaji vs JKT ruvu, Mbeya city vs kagera sugar,Ndanda fc vs mgambo JKT
=======
African sports Vs Simba
Half Time: African sports 0-0 Simba
Full time: African sports 0-1 Simba
56' Khamis Kiiza :A S soccer:
=======
Azam FC 2-1 Prisons
Majimaji FC 1-0 JKT Ruvu
Stand united 0-1 Mtibwa
Toto African 1-0 Mwadui
Ndanda FC 1-1 Mgambo JKT
Mbeya city 0-1 Kagera sugar
=======
African sports Vs Simba
Half Time: African sports 0-0 Simba
Full time: African sports 0-1 Simba
56' Khamis Kiiza :A S soccer:
=======
Azam FC 2-1 Prisons
Majimaji FC 1-0 JKT Ruvu
Stand united 0-1 Mtibwa
Toto African 1-0 Mwadui
Ndanda FC 1-1 Mgambo JKT
Mbeya city 0-1 Kagera sugar
Last edited by a moderator: