Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Actually ina make sense maana lazima upigwe kibuti na dame unayemkubali ili akili ikukae sawa afu mara nyingi huwa wanaelekea kupotea

So my point ni kwamba we are running in the same circle na waasisi wetu hahahahahaha
 
Actually ina make sense maana lazima upigwe kibuti na dame unayemkubali ili akili ikukae sawa afu mara nyingi huwa wanaelekea kupotea

So my point ni kwamba we are running in the same circle na waasisi wetu hahahahahaha
Origins%2Bof%2BLilith%2BStory.jpg
 
Ninachojua malaika na majini hawana jinsia na ndio maana huyo samael na lilith au lilith na devil hawana uzao zaidi huwa wanaharibu vizazi vya adam alivyoviumba Mungu. Kama hayo yangewezekana hii dunia watu wa Mungu tusingepatikana kipindi hiki.

Ila habari ya lilith nimewahi kujihoji sana Kama bible inasema Aliwaumba. kwanin aje amfanyie oparetion ya kumtoa Hawa???
 
Eh!kumbe kuchepuka na kupigana vibuti kwenye mapenzi kumeanza zamani.Kuanzia leo naongea kwa niaba ya huu Uzi in marufuku ukipigwa kibuti kuja kulia kulia humu jamvini.Shikamoo JF member Kaka Mshana Jr!!!
 
Kwa hiyo Adamu aliumbiwa jini ili amuoe au na yeye alikuwa jini ?
pia mbona adamu alikufa lakini huyo jini yupo hai ?
ila hii story ni kama vile melgibson ndani ya filamu ya yesu.
 
huyo lilith ndo ibilisi lenyewe kama sijakosea kwanini nasema hivyo :-
1-shetani ndiye aligoma kumsujudia adamu kule mbinguni wakati malaika walipoambiwa wampe heshima Adam kama mkuu wao..shetani kwa kuwa alikua ni jini aliyepaishwa mbinguni akaleta kiburi na kusema."mimi nmeumbwa na moto huyu kaumbwa na udongo tena unaonuka mi siwezi kumsujudia....

2-shetani baada ya kuwekwa Aden na shetani pia alikua huko bado hawajatupwa duniani.Shetani kwa aibu ndipo alipokimbilia mbali na aden akaishi katika majabali
3-shetani ana jinsia mbili.ya kike na kiume..hivyo alianzisha uzao wake hapa duniani.na kila akijifanya tendo moja enzi hizo alikua anataga mayai 72..sijui kama bado huwa anazaa tena mpaka saiv au kawaachia uzao wake ujiongeze wenyewe.

kwaiyo me naona hii story ya waizrael haina tofauti na ile ya biblia ya kumficha ficha shetani.elimu ya kumfahamu shetani ni finyu sana katika biblia.ukitaka kuwafahamu vizuri hawa viumbe mtafute shehe anayeijua dini yake vizur akupe habari zaid.naamini utanielewa zaid
 
Ninachojua malaika na majini hawana jinsia na ndio maana huyo samael na lilith au lilith na devil hawana uzao zaidi huwa wanaharibu vizazi vya adam alivyoviumba Mungu. Kama hayo yangewezekana hii dunia watu wa Mungu tusingepatikana kipindi hiki.

Ila habari ya lilith nimewahi kujihoji sana Kama bible inasema Aliwaumba. kwanin aje amfanyie oparetion ya kumtoa Hawa???
.Malaika ndio hawana Jinsia.hawazaani.na huwa hawali chakula...ila majini yana jinsia ndio maana tunayo jini mahaba.na pia majini hula chakula.ndio maana kafara za damu zipo kwa washirikina.
ila wapo majini wema hilo usisahau..
 
Na hawa ni nani sasa mzee au umeanza kuvuta bangi tena....
 
Eh!kumbe kuchepuka na kupigana vibuti kwenye mapenzi kumeanza zamani.Kuanzia leo naongea kwa niaba ya huu Uzi in marufuku ukipigwa kibuti kuja kulia kulia humu jamvini.Shikamoo JF member Kaka Mshana Jr!!!
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]alipigwa Adam babu mkubwa ndio utakuwa wewe bana!! Hakuna kulialia tena[emoji23] [emoji23]
 
Mambo mazito sana ya nahitaji kutuliza akili. Asante kwa uzi nzuri

Nilitamani hii story iwe ndefu niisome kutwa nzima, maana nishachoka na story za Madiwani kuhama...........shukrani kwa kutupanua akili Kamanda Mshana.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom