Hebu fafanua tafadhalikitu nulichotambua hapa ni kua hakkua na kiumbe mfano wa Adam aliyeitwa Lilith badala yake ni ibilis
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila we jamaa wewe......Nilikuwa nina mwananamke anaitwa LILY,nilimpenda sana lakini alichokuja kunifanyia,mungu ndio anajua,naunga mkono hoja ya Mshana Jr kuwa huyo lilith ndio ibilisi shetani aliyefitinisha ndoa ya adam na eve....
Babewatoto ni mmojawapo ya majina ya lilith
Jr[emoji769]
Tafuta maarifa uelimikeBila shaka itakuwa biblia ya beyonce knowels ndio yenye hizi Habari za lilith kwa undani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi wamefungwa na fikra za darasani pamoja na mafundisho hawajaruhusu fikra pevu zaidi. [emoji20] [emoji20] [emoji20]Tafuta maarifa uelimike
Jr[emoji769]
Tuwaelimishe kwa hekima watoke kwenye vifungo vya nira za ujingaWatu wengi wamefungwa na fikra za darasani pamoja na mafundisho hawajaruhusu fikra pevu zaidi. [emoji20] [emoji20] [emoji20]
Sent using Infinix hot 4
Really Appreciate you mkuu. [emoji120] [emoji120] [emoji120] role model wangu humu ndaniTuwaelimishe kwa hekima watoke kwenye vifungo vya nira za ujinga
Jr[emoji769]
Kishetani kidogo cha upotoshaji kilichoko ndani yako tumekistukia hahahNakiri kukosea hapo kwenye nyekundu nilitaka kumaanisha kuumbwa...
[emoji848][emoji848][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kishetani kidogo cha upotoshaji kilichoko ndani yako tumekistukia hahah
Kishindwe na kilegee
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kunipinga kwa hoja.. Hebu pitia na hii hapa, majibu ya hoja zako yanaweza kupatikana hapa Utata na mkanganyiko kuhusu Lilith. Je alikuwa mke wa kwanza wa Adam? - JamiiForumsHAPANA mkuu [USER]Mshana Jr[/USER] kama tukiweka hoja kuwa Lilith ndiye Ibilisi aliyemlaghai Eva/Hawa inaleta swali la pili, Je, Adamu aliifahamu siri ya uumbwaji wake? kama hakufahamu ni vipi Lilith alifahamu?
Kama Lilith kwa vyovyote aliifahamu siri ya uumbwaji wa mwanadamu basi atakuwa ni miongoni mwa waliomuumba mwanadamu wale waliosema "Na tumfanye mtu kwa mfano wetu" hao ndio wanamjua mwanadamu je Lilith ni mmoja wao?? na kama ni mmoja wao kivipi alikuwa mke wa kwanza wa Adamu, je Adamu alioa mungu mwanamke aliyemzidi nguvu?
Binafsi kwa uelewa wangu na miulizo yangu naikataa hoja ya Lilith kuwa ndiye aliyemrubuni Eva/Hawa kwa vyovyote vile, Lilith hausiki na uovu alioufanya Eva/Hawa na Adamu wake
Labda tujiulize zaidi, je adhabu waliyopewa Adamu na Eva/Hawa ilimjumuisha na Lilith?, hasa ile ya KIFO je Lilith naye alipewa adhabu ya KIFO na kuzaa kwa UCHUNGU? kama ndiyo kwanini na je hakulijua hili kama kweli ndiye aliyemrubuni Eva/Hawa?, kivipi akubali kulipa kisasi kwa kujiadhibu na yeye?, Ibilisi alimtumoa nyoka na nyoka alipewa adhabu lakini Ibilisi yeye hakupewa adhabu yoyote hii inaonesha namna gani Ibilisi alijua namna ya kujikwepesha na adhabu ya Mungu je Lilith hilo hakulijua??
Hakuna namna naona kuwa Lilith ndiye Ibilisi
Pia kama Lilith ndiye Ibilisi kwanini alikuja kumjaribu Yesu/Nabii Issa jangwani alipokwenda kufunga? Kwani Lilith alikuwa na ajenda gani na Yesu/Nabii Issa?
Na kama ndiye je shetani ni nani?, je yule aliyemwambia Mungu amruhusu kumjaribu Ayubu ni nani!?
Sikubaliani na hoja yako ndugu yangu [USER]Mshana Jr[/USER]
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Mkuu hapa umepotoka, huwezi kujadili maandiko ya Biblia kwa kutumia maandiko nje ya hiyo hiyo Biblia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kunipinga kwa hoja.. Hebu pitia na hii hapa, majibu ya hoja zako yanaweza kupatikana hapa Utata na mkanganyiko kuhusu Lilith. Je alikuwa mke wa kwanza wa Adam? - JamiiForums
Jr[emoji769]
Utasoma na hii pia Nguvu ya mwanamke kiroho... Ndie kiumbe pekee aliikutana na Ibilisi na kuongea - JamiiForumsShukrani ndugu ngoja nikapitie nitarudi badae kaka
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Usinisahau na mimiInawezekana kabisa mkuu, na ndivyo ilivyo sababu Biblia ni dondoo tu yaani Biblia ni 'summary' maandiko yapo nje ya Biblia ndio maana **** kusoma falsafa ya dini na imani au 'theolojia'.
Mfano Mtume Paul ana kitabu kinamuongelea kinaitwa 'PAUL:His life and Teaching' kimeandikwa na John McRay huko utamjua Paul na habari zake nyingi zaidi ya dondoo za kwenye Biblia. Na vipo vitabu vingi sana vingine ukiitaji kuamini nitaku tag uvitafute ujionee mwenyewe
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA