[emoji23][emoji23][emoji23]kweli kabisa hata mi nimeshangaa membe amekujaje kwenye bustani ya edeniHahahaha..watu hawajakuelewa umemtaja Membe badala ya Mende...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo:2.18
Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mwanzo:2.20
Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
Mwanzo:2.21
Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
Mwanzo:2.22
na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
Mwanzo:2.23
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
Mwanzo:1.26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mwanzo:1.27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mwanzo:1.28
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Hiyo biblia unayotumia kusoma nusunusu iangalie sana, Mengine mtajuana wenyewe!
Kwaiyo mkuu huyo jamaa katulisha tango poli sisi tusiojua bibiliaNgonjera tupu ulizozileta hapa, Mwanzo 1:26-27 Mungu alipendekeza kumuumba Mtu kwa mfano wake na aliumba Mtu, nasisitizia Mungu aliumba Mtu, lakini utaona dhahiri kabisa tangu Mungu alipofanya huo uumbaji ktk Mwanzo 1:26-27 ni Adamu pekee ndiye anayezungumziwa hapo.
Mwanzo 2:18 Mungu anaeleza "si vyema huyo Mtu/Adamu awe pekeyake na wakati huo ni Adamu ndiye aliyekatazwa asile Mti wa kujua mema na mabaya.
Mwanzo 2:21-22 Mungu anaeleza jinsi msaidizi wa Adamu "Hawa/Ever" alivyoumbwa tokana na Adamu, ndiyomaana MWAANZO 1:26 hakuna palipoandikwa "na tuwafanye Watu kwa mifano yetu" bali "na tumfanye Mtu kwa mfano wetu"
Pia Adamu/Mwanaume aliumbwa kwa utukufu wa Mungu ndiyomaana humpendeza Mungu Mwanaume awe kichwa cha familia na awe na kibali cha kuacha nywele ziwe wazi kichwani LAKINI Mwanamke/Hawa/Ever aliumbwa kwa utukufu/ajili ya Mwanaume ili awe anaonekana ktk hali ya kumilikiwa/kutawaliwa chini ya Mwanaume/Adamu anapaswa kufunika nywele za kichwa chake.
BIBLIA INANENA KWELI TUPU NA MUNGU NI YULE YULE HABADILIKI KAMWE HATA APINGANE NA NENO LAKE "ALFA NA OMEGA" MILELE ZOTE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani 1 na 2 ipi inaaanza???? alaf hii kuchunguza chunguza hiii mwisho mtapata zambi bure hata waswahili wanasema ukimchunguza sana bata huwezi mla haya shauri yenuMwanzo:2.18
Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mwanzo:2.20
Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
Mwanzo:2.21
Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
Mwanzo:2.22
na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
Mwanzo:2.23
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
Mwanzo:1.26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mwanzo:1.27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mwanzo:1.28
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Hiyo biblia unayotumia kusoma nusunusu iangalie sana, Mengine mtajuana wenyewe!
Mwanzo:2.18
Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mwanzo:2.20
Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
Mwanzo:2.21
Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
Mwanzo:2.22
na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
Mwanzo:2.23
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
Mwanzo:1.26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mwanzo:1.27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mwanzo:1.28
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Hiyo biblia unayotumia kusoma nusunusu iangalie sana, Mengine mtajuana wenyewe!
Mwanzo:2.18
Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mwanzo:2.20
Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
Mwanzo:2.21
Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
Mwanzo:2.22
na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
Mwanzo:2.23
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
Mwanzo:1.26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mwanzo:1.27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mwanzo:1.28
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Hiyo biblia unayotumia kusoma nusunusu iangalie sana, Mengine mtajuana wenyewe!
Nimefata quote sijaleta kimpangilio wa biblia. Hujapewa akili kuikalia umepewa ya chunguza maandiko na kuyaishi.Kwani 1 na 2 ipi inaaanza???? alaf hii kuchunguza chunguza hiii mwisho mtapata zambi bure hata waswahili wanasema ukimchunguza sana bata huwezi mla haya shauri yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajaribu tetea kwa kupendelea!!...
Kajaribu tetea kwa kupendelea!!...
Sawa ngoja niwaache muchunguze mambo ya Mungu mi ngoja nikachunguze mambo ya maendeleoNimefata quote sijaleta kimpangilio wa biblia. Hujapewa akili kuikalia umepewa ya chunguza maandiko na kuyaishi.
sawa mlinzi!!.. wengine tunaelekea bar kusherekea ushindi wa wikend, maendeleo kesho!.Sawa ngoja niwaache muchunguze mambo ya Mungu mi ngoja nikachunguze mambo ya maendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, nilimpinga sababu alikuwa anajaribu potosha maandiko!!..Sehemu tumuumbe kwa mfano wetu kaweka wingi... Inabidi sasa wawe wanaambatanisha na toleo la Biblia waliorjelea
Sent using Unknown device
Yawezekana ndo mwenyeweView attachment 692867
Lilith anayesemekana ni mke wa kwanza wa Adam... Hatajwi popote kwenye Biblia takatifu zaidi ya kwenye kitabu cha Isaya 34 : 14, na ambapo hata hivyo kutajwa kwake hakuna mahusiano kabisa na Adam
Kuna simulizi nyingi nje ya Biblia zinazokinzana na nyingine kushabihiana kumhusu mwanamama huyu Lakini zote zinakubaliana katika jambo moja kuwa Lilith alimwacha Adam kwakuwa hakutaka kuwa chini ya amri za mwanaume... Hakutaka kuongozwa wala kutawaliwa na mwanaume kwa utetezi kwamba, wote waliumbwa siku moja na kwa malighafi zinazofanana.. Hivyo hakuna mkubwa kuliko mwingine....
Sasa asili ya Lilith ni nini!? Ni wapi?
Lilith anaonekana mara nyingi kwenye Biblia ya kiebrania na huko anajulikana kama malkia wa usiku, pepo katili la usiku lenye tamaa kubwa ya ngono... Huku kazi yake kubwa ikiwa ni kuiba watoto gizani usiku... Lilith sio jina jema popote zaidi ya kwenye imani za kipagani na kishetani.
Asili ya Lilith inatajwa sana kwenye simulizi za wayahudi (c 700-1000)... Hapa anatajwa kama mke wa kwanza wa Adam waliyeumbwa pamoja (mwanzo 1:27, kisha akafuatia mke wa pili wa Adam baada ya Lilith kuondoka (mwanzo 2:22)... Hapa inasemekana Lilith alimuacha Adam kwenye bustani ya Eden na hakutaka kurudi huko na kwenda kugawa kipochi manyoya kwa malaika muasi aliyeitwa samael.... Lakini pia simulizi nyingine zinasema aliondoka na kwenda kungonoka na shetani ili kuendeleza kizazi na uzao wa shetani....
Hii inaweza kuleta uhalisia kidogo kutokana na vile satanism wanavyomchukulia Lilith... Kumuamini na kumwabudu kama mungu mwanamke, mke wa baba yao shetani
Hizi zote ni simulizi nje ya Biblia takatifu lakini kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba kuna hicho kiumbe chenye jinsia ya kike kiitwacho Lilith ambacho hakuna popote kinatajwa kwq wema... Kuna mahali anaelezewa kama mchawi, pepo aliyengonoka na shetani kwa makusudi mazima ya kuendeleza kizazi chao kama tulivyoona hapo juu....
View attachment 692866
Ibada za kutoa kafara katika satanism
Tunaterejea tena kutazama yale mambo yaliyoacha utata na pengine hayajawahi kujadiliwa na wengi.
Tumeshajadiliana sana kuhudu Eden, Hawa, tunda la mti wa kati(mti wa ujuzi wa mema na mabaya), nyoka na Adam. Katika vyote hivi kuna mtu pia tumemjadili kwa kiasi, mtu huyu hata maandiko hayamtaji wala kumjadili sana. Mtu huyo ni Lilith, mwanamke anayesemekana kuwa mke wa kwanza wa Adam.
Jambo hili la Adam kuwa na mke aliyeitwa Lilith halitajwi kwenye misahafu yetu hii tunayoijua bali kwenye maandiko mengine lakini ya kiimani pia.
Lilith anayetajwa kwenye maandiko hayo kama mwanamke kiburi na mwenye nguvu, na ambaye pia inasemekana alizaliwa sawa na Adam, aliasi na kutengana na Adam baada ya kushindana tabia. Lilith alitaka kuwa na mamlaka makubwa kwa Adam.
Habari za Lilith zinaishia pale alipoachana na Adam, kisha Adam alirejea Eden kuanza maisha ya upweke akiwa kama mtalikiwa na tunaambiwa Lilith alikuja kugeuka kuwa kiumbe cha kuzimu.
Maisha ya upweke Eden yanamfanya Mungu kumtengenezea Adam msaidizi wa kufanana naye
ndipo Adam sasa anamshukuru Mungu kwa kusema. Sasa huyu ni nyama katika nyama zangu na mfupa katika mifupa yangu ....?(wanazuoni wanatafsiri kauli hii kama kwamba mwanzoni alikuwepo mwingine ambaye hakutokana na Adam! )Je mtu huyo ni Lilith?
Maisha mapya ya furaha upendo na mapatano ndani ya Eden kati ya Adam na Eva/Hawa yanamvuta nyoka anayetajwa kama ibilisi akijulikana kama malaika aliyeasi mbinguni (Lilith?) Huyu ndio pekee aliyejua siri ya uumbaji (ukiacha Mungu) na siri ya tunda la mti wa kati; mti wa ujuzi wa mema na mabaya!
Kwa hakika Lilith hakupenda kabisa kuona Adam akiwa na mwanamke mwingine na hilo liko wazi hata kwa kizazi cha leo. Ule usemi wa wanawake hawapendani asili yake ni huku. Lilith kwa uwezo alionao anavaa umbo la nyoka na kumlaghai Eva/Hawa ale tunda la mti wa kati; mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Mti ambao Adam alizuiwa kula matunda yake.
Bibie Eve/Hawa bila kujua nia ovu ya nyoka anakubali kula tunda la mti wa kati ambalo aliliona ni TAMU na linapendeza kwa macho! Kilichofuatia baada ya hapo kinajulikana wazi. Nyoka akawafitinisha Adam na mkewe Hawa kwa Mungu. Wakafumbuliwa macho yaonayo na kujiona wako uchi.
Nyoka akalaaniwa kuwa atatembea kwa tumbo
Eva akalaaniwa kuwa atazaa kwa uchungu
Adam akalaaniwa kuwa atakula kwa jasho na wote wakafukuzwa Eden palipokuwa na kila kitu cha bure.
Lengo la Lilith la kulipa kisasi likawa limetimia na kwa mtazamo huo inawezekana kabisa Lilith ndio ibilisi....!!!
daaa.! h typing error sio ya nch h aiseHahahaha..watu hawajakuelewa umemtaja Membe badala ya Mende...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba kuongezea kidogo hapo.Maelezo yangu yatatoka kwenye source inayoitwa LEGEND OF THE JEWS ni nitayapaste kama yalivyo ili nisije poteza maana iliyokusudiwa.JE UNAMJUA LILITH ?!
Jina hili laweza kua geni masikioni pa wengi labda kwa sababu limetajwa mara moja tu katika Biblia takatifu katika kitabu cha Isaya lakini kuna mengi ya ajabu kuhusu kiumbe huya na zaidi mengi ya kujifunza.
Habari ya Adam na Eva (Hawa) inafahamika na wengi lakini kuna jambo haliko wazi karibu tujifunze pamoja, tuanze kwa kuangazia maandiko ya uumbaji wa Mungu Mwenyezi. Kitabu cha Mwanzo 1:27 kinatujuza kuhusu uumbaji " Kwa mfano wake aliwaumba mwanamume na mwanamke" na Chapter inayofuata Mwanzo 2 ni uuambaji wa Adam na Eva na wengi wanadhani uuambaji huu ndo ule wa chapter ya kwanza. Mungu alipoumba mwanamume na mwanamke chapter ya kwanza huyu mwanamke ni nani hasa ?, sio Eva ni Lilith. Najua unamshtuko, twende taratiibu tukiyasoma maandiko vema na Mungu atujalie utashi wa kujifunza maandiko.
Katika kitabu cha Mwanzo kuna uumbaji mara mbili wa mwanamke. Mwanzo 1 tumeona mungu *aliwaumba* (maana yake aliwaumba mwanaume na mwanamke kwa pamoja) aliwaumba wakiwa sawa kwa pamoja wote kutoka mavumbini wakiwa *sawa* kwa kila jambo maarifa sawa, nguvu sawa, hata urefu na muonekano sawa na hiari sawa. na ndio maana chaptei hiyo hiyo inaelekeza majukumu *sawa* waliopewa Mwanzo 1:28 "Mungu akawaambia zaeni mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha, mktawale samaki na ndege" Ni dhairi majukumu waliopewa ni *sawa* kwasababu walikua *sawa kwa kila jambo*
Baada ya hapo Biblia imekaa kinya kuhusu nini kiliendelea japo chapter za mbele tunakuja kuona tena habari ya uumbaji wa mwanamke kutoka ubavuni kwa Adam (Mwanzo 2:21) na Biblia takatifu inamuita mwanamke huyu Eva, vipi kuhusu mwanamke yule alieumbwa kwa wakati mmoja na Adam wote toka mavumbini ?! yule ni nani ?! haya.., na hata baada ya kuumbwa kwa mwanamke huyu wa pili toka ubavuni mwa Adam, kuna maneno anayatamka Adam nayo yanatupa dondoo muhimu Mwanzo 2: 23 ''Adam akasema, sasa huyu ni mifupa katika mifupa yangu na nyama kaika nyama yangu basi ataitwa mwanamke'' tazama reaction ya Adam baada yakuletewa mwanamke aliyembwa toka ubavuni mwake anaanza kwa kusepa *"sasa huyu ni ....."* maana yake ni kua ameshaishi na mwanamke alieona hakumfaa na ndo maana anasema *"sasa huyu ni ....."* Adam anaonekana kumkubali mwanamke huyu wa pili na anatoa sababu kabisa kua ametoka katika mifupa yake. JE kwanini kuna uumbaji mara mbili wa mwanamke ?. JE nini kilitokea kwa mwanamke wa kwanza ?. maswali haya nitayajibu lakini kwanza lazima kutambua kua uumbaji wa mwanamke uko mara mbili katika biblia na zifuatazo ni ushahadi wa hilo:-
> Uumbaji wa mwanamke wakwanza unafanzika Mwanzo:1 wakati uumbaji wa mwanamke wa pili unafanyika Mwanzo:2
> Mwanamke wa kwanza katajwa kuubwa kutoka mavumbini na wa pili toka ubavuni.
> Mwanamke wa kwanza anatajwa kua sawa na Adam ila wapili anatajwa kua sehemu tu ya Adam.
> Mwanamke wa kwanza anatajwa kuwa na majukumu sawa na Adam wakati mwanamke wa pili anatajwa kua msaidizi wa Adam.
NINI KILIMTOKEA MWANAMKE WA KWANZA ALIEUMBWA TOKA MAVUMBINI MPAKA AKAUBWA WA PILI TOKA UBAVUNI ?!!
Zaidi ya kutupa habari ya kuumbwa mwanamke kwa njia mbili tofauti Biblia takatifu haijasema nini kilitokea kwa mwanamke wa kwanza (Lilith) ila Biblia inamtaja katika kitabu cha Isaya. Vitabu vya theology vya _The Alphabet of Bensira__ pamoja na _The Book of Slenda__* vinamuelezea kwa kina mwanamama huyu na hivi ndivyo ilivyokua karibu tujifunze pamoja:
Baada ya uumbaji wa Adam na Lilith kukamilika, Adam aliishi na Lilith katika Eden ya furaha kwa muda mcheche ndipo kutokuelewana kukachipua, kitabu cha theology _The Alphabet of Bensira_ kinaweka bayana kua katika kufanya tendo la ndoa Adam alimtaka Lilith alale chini "Lie beneth me woman" ila Lilith alikataa kata huku akidai kwanini yeye alale chini wakati ameumbwa sawa na Adam. Adam alikusudia kumshtaki Lilith kwa Mungu lakini kabla hajafanya hivyo Lilith alilitaja jina pekee la Mungu, jina ambalo hapana kiumbe yeyote sio mwamadam wala malaika aliruhusiwa kulitamka ila Lilith alilitamka ndipo akapata nguvu kubwa akajibadili na kua kiumbe wa kiroho. Malaika watatu walitumwa kumthibiti arudi ila alikataa na akapewa adhabu ya kupatwa upweke. Kisha ndio Mungu akaamua kumfanyia Adam mke wa pili toka ubavuni mwake na kumpa Adam kama msaidizi wake. Adam alimpenda Eva sana na ndio maana hata baada ya Eva kula tunda, Adam aliamua na yeye kula akijua ni makosa ila alikula ili asitengwe na Eva aliamua kua pamoja na Eva makosani.
NINI KILIENDELEA KWA LILITH.
Baada ya Lilith kuasi na kua kiumbe hatari wa kiroho alijiunga na Shetani na kuunda utatu mchafu kama jinsi ulivyo utatu mtakatifu (the holy trinity) yani Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho basi Lilith, Shetani au Lucifer na Malaika msaidizi wa Lucifer kwa pamoja wakaunda utatu mchafu (the evil trinity) na hata Lucifer alipoenda kumganganya Eva kula tunda alipata wazo hili kwa Lilith ambae alikua na chuki kubwa sana kwa Adam na Eva. na hata baada ya kumfikia Eva sumu ya kutaka usawa ndio alishawishiwa kwayo Eva. Shetani au Lucifer alidanganya Eva kwa kupata ushauri wa Lilith.
YUKO WAPI LILITH
Lilith anatajwa katika tamaduni mbali mbali za Egypt, Greek, Babylon, Budha na Judism kama pepo hatari akitambulika kwa muonekano wa mwanamke mwenye mabawa katika tamaduni za Ulaya anafahamika kama The Queen of Coast. Lilith ni jina toka neno Laila katika lugha ya Kihebrania ikimanisha usiku au giza nene. Lilith ametajwa kua pepo hatari anaeua watoto wachanga wa kiume ikiwa ni malipizi kwa Adam, hii inajibu pia kwanini vifo vya watoto wengi ni watoto wachanga wa kiume ndo maana katika desturi za KiHebrania, Waisraeli hawakuwanyoa watoto chini ya miaka nane nywele, hii ilikua ikiaminika kua pepo hatari Lilith asingewadhuru akijua ni watoto wa kike maana kisasi chake ni kwa watoto wa kiume. Lilith pia anatajwa kua pepo hatari anayepinga amri ya Mungu kua mwanamume ndio kiongozi wa familia bali pepo huyu anashawishi usawa na kampeni za women empowerment zinaratibiwa na pepo huyu. Mpango wa usawa equality ni mpango wa kipepo wenye kusudio la anguko la mwanadamu ila watu hawajui, biblia inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
TUNAJIFUNZA NINI KUPITIA KISA HICHI ?.
Sent using Jamii Forums mobile app