Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ukisoma Buddhism au Krishna au confiscious wana volumes and volumes za vitabu kila kitu kimechambuliwa kwa undani sana
Elimu ya kiroho ni pana sana wala haina ukomo, wacha tu mzee nibakie na hivi hivi vitabu vilivyowekwa wazi nisije ingia mahala pengine nikavutwa nikashindwa kutoka[emoji23] haya mambo si ya mchezo mchezo ati!
 
katika Quran.mwenyezi Mungu anakiri kuwa hakuwaumba majini na binadamu isipokua wamwabudu...
hivyo unapata kujua ni wajibu wa jini lolote kumuabudu MUNGU..kuna wanaofuata sheria za MUNGU na kuna walio waasi.wapo kama binadamu.kunao wema na wabaya
Asante kwa maelezo
 
Hapo huyo mwana mama alie lala hapo anaoneka kama amevaa nguo ina rangi flani hivi ya watu wanao support same gender relationships. Alafu unataka kusema kuwa hata hawa wanawake wetu wa sasa ni akina lilith maana wanataka usawa kwa kila kitu. Niliwahi sikia mara moja mwanamama huyo lilith alikutana na Elijah alikuwa amebeba mtoto mchanga akienda kumnyonya damu yake na alikuwa akimuingopa sana Elijah.
Utasikia hadithi nyungi sana, dunia haiishi visa!
 
mkuu mshana jr kwa maelezo hayo ni kua huyu bi mkubwa "LILITH" alikua mtu kama ADAM ie. hakuwa jinni wala malaika.

Imekuaje hadi azae majini, mapepo nk. baada ya kukutana na huyu malaika muasi na sio WANEFILI (majitu) kama inavyoonyesha katika kitabu cha GENESIS kua wana wa Mungu walivyoingiliana na wanadamu walizalia WANEFILI na sio majini au mapepo?
 
Mkuu nimesoma hoja yako ila kuna kitu hujakielewa...... Dini karibu zote duniani zilianzia mashariki ya kati hivyo basi zinatambua historia ya kwanzia bustani ya edeni... Gharika la nuhu mpaka kuja kwa Yesu ila tofauti ni kwamba kila mtu ana namna ya kuielezea mfano ukienda iran utakutana na iran mythology inayocopy na kupaste kila kitu kuhusu story ya adam na bustani ya edeni ila tofauti watakwambia shetani alimtumia chura na wanaolinda bustani ile ni samaki.....

Kwa ufupi story ni moja ila UELEWA na MAJINA ndio tofauti..... Kma umefuatilia hata vitabu vya CS Lewis kuhusu Chronicles of Narnia utagundua anaongelea story nzima ya biblia ila katika uelewa wake..... Hata greek mythology inaongelea story nzima ya uumbaji hadi kuja kwa Yesu ila katika UELEWA na MTAZAMO wa kigiriki ndio maana story zote zinafanana tofauti ni majina location na MTAZAMO basi

But story ni moja and its real brother
the question is,ipi ilianza....
christianity imekuja late,in fact ni ya mwisho
nimefuatilia sana kuhusu ancient mythology na nimejihakikishia pasi na shaka kuwa ukristo wamecopy mythology za huko nyuma..
alichokifanya mfalme constantine ni kuziua imani za huko nyuma kwa upanga sababu zilikuwa zinaufanya ukristo uonekane kichekesho..
mkuu ukizama kwa uhuru kabisa kichwani utagundua ukristo ni practice feki iliyoanzishwa na wazungu kwa kukopy kila kitu kutoka mataifa mengine.

hakujawahi kuwa na mtu/mungu anayeitwa yesu wa nazareth aliyewahi kuwepo kwenye dunia hii..it's just a myth iliyoenezwa kwa upanga na mauaji ya halaiki kwa kila aliyepingana nao...
wake up
 
mkuu mshana jr kwa maelezo hayo ni kua huyu bi mkubwa "LILITH" alikua mtu kama ADAM ie. hakuwa jinni wala malaika.

Imekuaje hadi azae majini, mapepo nk. baada ya kukutana na huyu malaika muasi na sio WANEFILI (majitu) kama inavyoonyesha katika kitabu cha GENESIS kua wana wa Mungu walivyoingiliana na wanadamu walizalia WANEFILI na sio majini au mapepo?
Inawezekana kabisa aliacha mwili ule wa kibinadamu pale alipoenda kufanya kolabo na kuzimu... Kumbuka hawa viumbe wa mwanzo walikuwa na super natural powers
 
the question is,ipi ilianza....
christianity imekuja late,in fact ni ya mwisho
nimefuatilia sana kuhusu ancient mythology na nimejihakikishia pasi na shaka kuwa ukristo wamecopy mythology za huko nyuma..
alichokifanya mfalme constantine ni kuziua imani za huko nyuma kwa upanga sababu zilikuwa zinaufanya ukristo uonekane kichekesho..
mkuu ukizama kwa uhuru kabisa kichwani utagundua ukristo ni practice feki iliyoanzishwa na wazungu kwa kukopy kila kitu kutoka mataifa mengine..
hakujawahi kuwa na mtu/mungu anayeitwa yesu wa nazareth aliyewahi kuwepo kwenye dunia hii..it's just a myth iliyoenezwa kwa upanga na mauaji ya halaiki kwa kila aliyepingana nao...
wake up
Mmmh nyabhingi hapana Yesu Kristo aliwahi kuwepo hata kihistoria tumesoma hili...... Kumbuka hata mabadiliko ya tarehe yametajwa kama AD (Anno domino ) na BC (Before Christ ) na kuna evidence na footage nyingi tu zinazomhusu
 
Inawezekana kabisa aliacha mwili ule wa kibinadamu pale alipoenda kufanya kolabo na kuzimu... Kumbuka hawa viumbe wa mwanzo walikuwa na super natural powers
inawezekana?

ushahidi upi unaonyesha walikua na supernatural powers?
 
Mkuu sitetei uwepo au kutokuwa uwepo wa lilith ila tusipende kuwa na mawazo finyu hata biblia imeitwa biblia haikutoka mbinguni ila ilikuwa na vitabu zaidi ya 400 sema kutokana na sababu mbalimbali vitabu vikapunguzwa hadi kubakia chini ya 80!! Hivyo lilith katajwa kwenye vitabu vingi tu sema vingine ndio hivyo havipo kwenye biblia hii ya sasa kwahiyo tusione vitabu vya biblia kana kwamba ndio hivihivi tokea mwanzo wa dunia ila ukivisoma vingine ambavyo vimeachwa kma historia tu utakuta hadithi za lilith zipo

Ukitaka kuongeza maarifa kubali kujifunza hata kma haukiamini unachojifunza ila just for knowledge sake..... Ssa unaposema simulizi za ajabu ajabu ilihali lilith katajwa kwenye vitabu vingine vya manabii hao hao wa kwenye biblia tukueleweje??? Au kwa mawazo yako kina isaya wameandika kitabu kimoja tu??? Jifunze kutafiti hata Paulo kaandika vitabu zaidi ya 60 ila 21 tu ndio vipo kwenye biblia ya sasa

mshana jr kaleta mada ya kufikirisha tujifunze ila sio kupinga pinga hatutoongeza maarifa..... Samahani kma nimekukwaza lakini
Hoja inayotumika kuibua kuumbwa Lilith si fikirishi kwa maana ukinuu Mwanzo 1:27 ni muhutasari wa uumbaji wa mwanadamu lkn Mwanzo 2 inaonyesha namna gani Mwanadamu aliuumbwa

pia Isaya inayo nukuliwa haipo na Jina lq Lilith . Jambo jingine ni hili Mwanzo 2 inaposema "sasa huyu"haimaanishi wa pili maana Mwanzo 1:27 haionyeshi muda au interval ya uumbaji hata kama waliumbwa pamoja lkn haiwezekani Mungu aliumba simultaniously au wote kwa sekunde ile ile. Hata mapacha wako sawa japo mmoja hutangulia.

Mwanzo 2 inaonyesha Adamu aliubwa mwanzo Mwanamke baadae. Kuhusu vitabu vya biblia vilivyondolewa hilo ni mjadala mwingine maana kama tuna amini biblia iliyopo ndio hiyo tuifate la sivyo vipo vitabu vingi binavyoonesha hekima ila si vya biblia na dini nyingi zina vitabu pia

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Mmmh nyabhingi hapana Yesu Kristo aliwahi kuwepo hata kihistoria tumesoma hili...... Kumbuka hata mabadiliko ya tarehe yametajwa kama AD (Anno domino ) na BC (Before Christ ) na kuna evidence na footage nyingi tu zinazomhusu
mkuu
mshana jr nakukatalia,hakuna historian yoyote wa karne ya kwanza aliyewahi kuandika uwepo wa mtu anayeitwa yesu isipokuwa josephus ambaye ilikuja kugundulika kuwa original document/kitabu cha josephus kilitiwa mikono na wakatoliki na hakuna ubishi kuhusu hilo
tukio la mtu kutembea juu ya maji,kufufua wafu ni tukio kubwa lisiloweza kuachwa kuandikwa na waandishi wa kipindi hicho!

watunzi wa injili inayoitwa ya yesu walifanya ujanja wa kuchanganya hadithi yao ya kutunga(in fact plagiarism ya mythology za misri na ugiriki) na uwepo wa watu wa kweli waliokuwepo kihistoria enzi hizo(akina herode,ponsio pilato waliokuwa wanatawala palestina)

niambie mwanahistoria gani wa karne ya kwanza aliyeandika kuhusu yesu katika karne ya kwanza...
 
Hii mpya sana kwangu, kama hivyo ndivyo basi haya mambo yamechujwa sana mengine yamefichwa sijui kwakusudi gani labda? ???
 
Hahaha kumbe mungu aliruhusu mke zaidi ya mmoja?! Alimuumba Adam, Eva na Lilith. Mbona siku hizi wanawake hawataki?!
Pengine hao wanaotakaa ndio wapo kwenye kundi la huyo mwanamama shetani kwani na yeye alikataa nakuamua kwenda kivyake kukigawa kw shetani
 
Pengine hao wanaotakaa ndio wapo kwenye kundi la huyo mwanamama shetani kwani na yeye alikataa nakuamua kwenda kivyake kukigawa kw shetani
Hahaha inawezekana, maana shetani nao nasikia huzaana. Ndio maana hawaishi.
 
Back
Top Bottom