Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #281
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Umeongea kitu cha ndani sana ili mtu akuelewe anapaswa kuwa na ufahamu/uelewa mkubwa sana wa mambo ya kiroho hasa. Ni kweli mwanadamu katika wakati wake kabla ya dhambi hakuwa wa mchezo mchezo. Baada ya dhambi mpaka mapepo wanamsumbua mtu bhana!