Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Haieleweki??!!!Wakati Biblia iko wazi kwa kila mtu kuona na kuisoma kwa lugha yake/mother tongues, kwa sababu Mwanzo 1 ni kama introduction ya uumbaji na Mwanzo 2 ni details za jinsi huo umbaji ulivyofanyika. Sijui ugumu wa kuelewa haya uko wapi? Sijui.

Lakini hata huko katika ulimwengu wa giza wana mambo yao. Yuko Bwana wao Shetani/Joka, kupitia huu uzi nafahamishwa kumbe yuko na mama wa kuzimu Lilith, haya yuko yule mnyama na pia yuko nabii wa uongo. Kumbuka shetani ndiye baba wa uongo. Tatizo linakuja pale shetani na wafuasi wake wanapo taka kujinasibisha na Mungu kwa kutumia uongo, hila, ulaghai na upotoshaji. Hapo ndipo tatizo lilipo na lilipojificha.

Mkuu TRIPLE H hakuna mstari direct kwenye biblia unathibitisha kuwa lilith alikuwa ndie mke wa adam kabla ya Hawa ila nje ya biblia zaidi ya jamii nyingi za kale zilitambua uwepo wa Lilith kuanzia Egyptians Assyrians greeks mpaka sumerians bila kusahau babylon wote wanaitambua hii stori na imeandikwa kwenye vitabu vyao vingi ila kwenye biblia kama nilivyoeleza hapo mwanzoni wanaipa hoja yao mashiko kupitia kulinganisha mwanzo 1 na mwanzo 2

Hivyo basi kwa kuwa wana conclude mwanamke aliyetajwa mwanzo moja ni tofauti na mwanzo 2 basi inatoa fursa kwa hoja ya kwamba lilith kweli alikuwepo Eden sababu kuna ka upenyo kameachwa apo

Na mstari wenyewe ni hapa tu

22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.

23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume


Hivyo kwa hitimisho lao ni kwamba kama lilith asingetajwa popote basi wasingediriki kusema mwanzo 1 na 2 zinaongelea wanawake 2 tofauti.... Ila kwakuwa kuna story ya jamii karibu zote za mashariki ya kati kuwa lilith alikuwepo eden afu muda huo huo biblia imeacha huo mwanya hivyo walioanzisha nadharia hii wameishia KUCONNECT dots kuwa lilith existed

Cjui inaeleweka ama bado
 
na hayawani wa nyikani atakutana na mbwa mwitu, na beberu atamwita mwenzie., naam na babewatoto anakaa huko na kujipatia raha.
hiyo ni isaya 34 mstari wa 14 kama ulivyosema, huyo lilith kaandikwa wap? mshana usitake kuwapoteza watu waingie motoni kama wewe, maana naona hapa unamnadi huyo mungu wako lilith watu wamfuate.
 
na hayawani wa nyikani atakutana na mbwa mwitu, na beberu atamwita mwenzie., naam na babewatoto anakaa huko na kujipatia raha.
hiyo ni isaya 34 mstari wa 14 kama ulivyosema, huyo lilith kaandikwa wap? mshana usitake kuwapoteza watu waingie motoni kama wewe, maana naona hapa unamnadi huyo mungu wako lilith watu wamfuate.
Hebu twende taratibu wala usiwe na papara
Kwanza kumbuka huku ni intelligence sio jukwaa la dini ambako kuna mahubiri bila kuhoji
Pili fafanua nini maana ya babewatoto...
Tatu pitia michango ya wengine usome uone wameandika nini
 
Kwanza sio kweli kwamba Bible iko wazi kwa kila jambo, hivyo si sahihi ku rely kwa Bible persee ktk yote. Mfano, Cain alipokwenda nchi za mbali alioa huko, pili Jesus aliwalisha wanaume tu ktk ile sherehe.

Jambo moja, binafsi kwa akili zangu ndogo huwa naliamini, kwamba "kuna kitabu kikubwa sana cha miongozo, kiko spiritual" Bible ni ukurasa wake mmoja tu, Quran na vinginevyo eidha vilivyoandikwa au vinaishi ktk maisha ya viumbe tu, ni sehemu ya kurasa hizo chache sana. Mengi hayajafunuliwa.

Yesu mwenyewe, akiwa Ameshafikia ukingoni mwa kipindi chake cha kufundisha, alitoa kauli tata Sana,ya kwanza "Itafuteni kweli nayo itawaweka huru" na ya pili alisema, "watu wangu wanaangamia kwa kuyakosa maarifa" kama utasumbua kichwa utagundua kuna kweli nyingi tumeamrishwa kuzifumbua.

Mimi naamini, kuna lugha moja ya asili ambayo mwanadamu anaweza akaitumia kuwasiliana na nyoka, simba na ndege. Ipo ingawa haielezeki. Sura zetu ni zaidi ya uso.
 
Haieleweki??!!!Wakati Biblia iko wazi kwa kila mtu kuona na kuisoma kwa lugha yake/mother tongues, kwa sababu Mwanzo 1 ni kama introduction ya uumbaji na Mwanzo 2 ni details za jinsi huo umbaji ulivyofanyika. Sijui ugumu wa kuelewa haya uko wapi? Sijui.

Lakini hata huko katika ulimwengu wa giza wana mambo yao. Yuko Bwana wao Shetani/Joka, kupitia huu uzi nafahamishwa kumbe yuko na mama wa kuzimu Lilith, haya yuko yule mnyama na pia yuko nabii wa uongo. Kumbuka shetani ndiye baba wa uongo. Tatizo linakuja pale shetani na wafuasi wake wanapo taka kujinasibisha na Mungu kwa kutumia uongo, hila, ulaghai na upotoshaji. Hapo ndipo tatizo lilipo na lilipojificha.
Je mtirirko ulifuatana au zigzag?? Maana sehemu nyingine unaona mimea inaumbwa kabla sehemu nyingine inaubwa baada
 
Kwanza sio kweli kwamba Bible iko wazi kwa kila jambo, hivyo si sahihi ku rely kwa Bible persee ktk yote. Mfano, Cain alipokwenda nchi za mbali alioa huko, pili Jesus aliwalisha wanaume tu ktk ile sherehe.

Jambo moja, binafsi kwa akili zangu ndogo huwa naliamini, kwamba "kuna kitabu kikubwa sana cha miongozo, kiko spiritual" Bible ni ukurasa wake mmoja tu, Quran na vinginevyo eidha vilivyoandikwa au vinaishi ktk maisha ya viumbe tu, ni sehemu ya kurasa hizo chache sana. Mengi hayajafunuliwa.

Yesu mwenyewe, akiwa Ameshafikia ukingoni mwa kipindi chake cha kufundisha, alitoa kauli tata Sana,ya kwanza "Itafuteni kweli nayo itawaweka huru" na ya pili alisema, "watu wangu wanaangamia kwa kuyakosa maarifa" kama utasumbua kichwa utagundua kuna kweli nyingi tumeamrishwa kuzifumbua.

Mimi naamini, kuna lugha moja ya asili ambayo mwanadamu anaweza akaitumia kuwasiliana na nyoka, simba na ndege. Ipo ingawa haielezeki. Sura zetu ni zaidi ya uso.
Nice...kingine ni pale ambayo aliemchungulia Nuhu ni Ham lakini Nuhu akamlaani Caanan.....Je caanan kosa lake ni Lipi hasa??? Biblia haijawa wazi na ndio maana watu wanafutafuta majibu ....ya Labda ....labda...
 
Mkuu TRIPLE H hakuna mstari direct kwenye biblia unathibitisha kuwa lilith alikuwa ndie mke wa adam kabla ya Hawa ila nje ya biblia zaidi ya jamii nyingi za kale zilitambua uwepo wa Lilith kuanzia Egyptians Assyrians greeks mpaka sumerians bila kusahau babylon wote wanaitambua hii stori na imeandikwa kwenye vitabu vyao vingi ila kwenye biblia kama nilivyoeleza hapo mwanzoni wanaipa hoja yao mashiko kupitia kulinganisha mwanzo 1 na mwanzo 2

Hivyo basi kwa kuwa wana conclude mwanamke aliyetajwa mwanzo moja ni tofauti na mwanzo 2 basi inatoa fursa kwa hoja ya kwamba lilith kweli alikuwepo Eden sababu kuna ka upenyo kameachwa apo

Na mstari wenyewe ni hapa tu

22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.

23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume


Hivyo kwa hitimisho lao ni kwamba kama lilith asingetajwa popote basi wasingediriki kusema mwanzo 1 na 2 zinaongelea wanawake 2 tofauti.... Ila kwakuwa kuna story ya jamii karibu zote za mashariki ya kati kuwa lilith alikuwepo eden afu muda huo huo biblia imeacha huo mwanya hivyo walioanzisha nadharia hii wameishia KUCONNECT dots kuwa lilith existed

Cjui inaeleweka ama bado
Mkuu Zitto jnr umeeleweka hasa hapo uliposema kwenye Biblia hii kitu iitwayo Lilith haiko very clear; maana mm nilitaka nianze kumsaka huko.

By the way, hivi huyu Adam wa Hawa ndio huyo huyo wa Lilith au pia kuna utofauti baina yao maana katika Mwanzo 1 tunaona MTU mume na MTU mke, lkn mwazo 2 ni kama kuna uumbaji mpya. Nisaidie hapo tafadhali::::
 
Nice...kingine ni pale ambayo aliemchungulia Nuhu ni Ham lakini Nuhu akamlaani Caanan.....Je caanan kosa lake ni Lipi hasa??? Biblia haijawa wazi na ndio maana watu wanafutafuta majibu ....ya Labda ....labda...

Mkuu kwenye biblia wachambuzi wa theolojia wanadai Canaan alimuona Nuhu akiwa uchi alafu akaenda kumwambia baba yake ambaye ndio ham..... Hivyo laana imekuja kwake sababu yye ndio mtu wa kwanza kumuoma Nuhu akiwa uchi ila hakumfunika

Wanatoa hoja kufuatia mstari huu

Mwanzo 9
22 Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
23 Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.


Kwa kupitia mstari huu wanadai wamesema HAMU BABA WA KANAANI ila YAFETHI NA SHEMU wametajwa wenyewe ikimaanisha kanaani alikuwepo kwenye tukio la kumchungulia Nuhu

Sijui inaeleweka kidogo ssa
 
Nice...kingine ni pale ambayo aliemchungulia Nuhu ni Ham lakini Nuhu akamlaani Caanan.....Je caanan kosa lake ni Lipi hasa??? Biblia haijawa wazi na ndio maana watu wanafutafuta majibu ....ya Labda ....labda...
SABABU ZA BABA (Nuhu) kumtupia laana MJUKUU WAKE (Kanaani) badala ya mwanawe HAMU ambaye kimsingi ndiye aliyechungulia baba yake kama tunavyoona kwenye Mwanzo 9:20-24 ni kuwa siku zote ili laana ipate nguvu kwa 'mlaaniwa' lazima ziwepo sababu (Proverbs 26:2) na ziwe logical kiroho!

Na kwa kawaida ya laana (au baraka) haiwezi kutoka chini kwenda juu; lazima impate mkubwa ndio iweze kutiririka (Ebr. 7:7)

Hivyo, kama Nuhu angemlaani Hamu ambaye alikuwa last born wake, kwa sheria ya laana (au baraka) isingeweza kumpata; hivyo ili ifanye kazi ilibidi aiachilie kwa mzaliwa wake wa kwanza ambaye ndiye Canaan!

Ndivyo nilivyowahi kusoma sehemu Fulani, but I stand to be corrected and taught concisely!

Ahsante.
 
Mjadala mtamu sana huu.
Naomba kaka Mshana Jr ni tag kwenye huo mwingine uhusuo "laana"
Nashauri wale wafia dini wakae pembeni wabaki kuwa wasomaji tu maana kwetu tunao taka kujifunza mambo mapya mnakuwa kero.
Tulieni muwe wasikilizaji na wasomaji zaidi,pengine ikawajilia neema mkapata kujifunza kitu ndani yake.

Nasema wafia dini namaanisha mfano wenzetu walokole najua wameshibishwa matango pori ya kutosha kushiba hasa so mkija kichwa kichwa naamini uzi huu utawavuruga maana wale wajiitao manabii, wapakwa mafuta sijui wachungaji wote hao wapo kiuchumia tumbo zaidi.

Tunaishi ktk nyakati za mwisho hatuna budi kujitafakari Biblia imevuliwa heshima yake na baadhi ya hawa watu,biblia imekua mtaji wa biashara,chanzo cha mapato,njia rahisi ya kuibia watu,kuwalaghai n.k

Miujiza ya kishetani shetani imekua mingi mnoo,wewe uliyeshikiwa akili hebu zinduka tulia jiulize jipange upya okoa nafsi yako,usikuba kugeuzwa mradi na binadamu mwenzio.

Mwisho kabisa naomba kusema ni kweli vitabu vyenye maneno ya unabii yasemekana vipo vingi mnoo na hata waliokwenda kutafasiri na kuiandika Biblia wanakiri kuchukua sehemu tu ya maandiko yake ambayo kwa ubongo wao waliona ndiyo yanafaa,ila mengi zaidi ya waliyo andika yameachwa kwa maslahi wanayo yajua wao.

Mi naamini bado yapo mengi yakushangaza ambayo bado hatuyajui so haina haja ya kukaza mno misuli ya shingo kwahaya machache tuliyo megewa kikubwa tulia uwe msomaji zaidi na kama utachangia changia kama mtu anaye taka kujifunza sio kujitia unajua wakati huna ujualo.
Thanx.
 
[emoji120] [emoji120] [emoji120] am humbled.. Nimekualika tayari kwenye mada ya laana naye namualika. Tujifunze pamoja
Mkuu mshana nilicheck video moja youtube ikimwelezea huyu lilith,inasemekana huyu mwanamke baada ya kutofautiana na adam,aliondoka na kwenda sehemu ya mbali huko alipokuwa kuna maneno aliyatamka yakamfanya aweze kupotea na kuwa upepo sasa hapo kwenye hayo maneno aliyajuaje!?
 
SABABU ZA BABA (Nuhu) kumtupia laana MJUKUU WAKE (Kanaani) badala ya mwanawe HAMU ambaye kimsingi ndiye aliyechungulia baba yake kama tunavyoona kwenye Mwanzo 9:20-24 ni kuwa siku zote ili laana ipate nguvu kwa 'mlaaniwa' lazima ziwepo sababu (Proverbs 26:2) na ziwe logical kiroho!

Na kwa kawaida ya laana (au baraka) haiwezi kutoka chini kwenda juu; lazima impate mkubwa ndio iweze kutiririka (Ebr. 7:7)

Hivyo, kama Nuhu angemlaani Hamu ambaye alikuwa last born wake, kwa sheria ya laana (au baraka) isingeweza kumpata; hivyo ili ifanye kazi ilibidi aiachilie kwa mzaliwa wake wa kwanza ambaye ndiye Canaan!

Ndivyo nilivyowahi kusoma sehemu Fulani, but I stand to be corrected and taught concisely!

Ahsante.
Yes but still Caanan hausiki na hiyo dhambi bado ni kumpa mzigo ambao haumuhusu kabisa.
Ndio maana wengine wanahisi ile Ham kumjua baba yake sio kwamba alimchungulia bali waandishi waliamua kuficha kidogo ni kuwa Ham alimjua Mama yake na Caanan akazaliwa kutokana na hilo tendo na ndio maana Nuhu akamlaani Canaan sababu aliona sio zao jema..Na ndio maana sio Mungu aliyemlaani caanan bali ni Nuhu.

Na ndio maana baada ya hapo ndio ikaja katazo la kumjua baba yako au mama yako nadhani kwenye walawi. Kwamba kumjua mama yako ni sawa na kumjua baba yako.

Na ndio maana biblia haikuandika Ham alimjua mama yake bali baba yake kinyume chake.. but still ni mawazo tu ya watu kutafuta ukweli wa mambo yaliyojificha.....am still searching...
 
Mkuu mshana nilicheck video moja youtube ikimwelezea huyu lilith,inasemekana huyu mwanamke baada ya kutofautiana na adam,aliondoka na kwenda sehemu ya mbali huko alipokuwa kuna maneno aliyatamka yakamfanya aweze kupotea na kuwa upepo sasa hapo kwenye hayo maneno aliyajuaje!?
Alikuwa na supernatural powers
 
Back
Top Bottom