Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Sasa hapa ndipo nafika natilia mashaka biblia. kama tunaambiwa kusema uongo ni dhambi, kwa nini hapa tudanganywe kuwa mwanamke wa kwanza ni Hawa?
Mwanamke wa kwanza kutoka kwenye nyama na mifupa ya mwanaume.
Sasa unadanganywa nini hapo mkuu, maandiko ya Biblia si mepesi mepesi kuyadadavua kama hujatuliza akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najiuliza je? mungu akumuona Lilith wakati ana waza mabaya maana mungu yupo kila maala alafu anaju kila kitu mpaka mawazo yakila kiumbe : au alitaka yatokee
Unaelewa nini usikiapo neno "UTII"?
Yeye aliyemuweza huumba na kutoa vipawa kwa viumbe wake na kuwapa utume.
Walio watiifu hutekeleza na wasio watiifu husaliti na kukosana naye.
Hata wewe baada ya kuzaliwa na wazazi wako ni maamuzi yako kuishi watakavyo wazazi wako ama kukinzana nao ukiamini unauhuru wa kuamua hatima ya maisha yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea umesoma version gani... Nje ya mada kuna ishu nilikutext late last night uliona?
Sasa hapa ndipo nafika natilia mashaka biblia. kama tunaambiwa kusema uongo ni dhambi, kwa nini hapa tudanganywe kuwa mwanamke wa kwanza ni Hawa?

Jr[emoji769]
 
ukisema lilith ndio ibilisi na lucifer utasema ndio nani?? na historia ya ibilisi kutokana na malaika muhasi mwenyekutaka kufanana na m/mungu inajulikana hata kwenye maandiko matakatifu ya bilblia
 
Hizi mada zilikuwa mbili zimeunganishwa I wish Moderator aliyefanya hili kosa anaweza kuona alikosea kiasi gani
ukisema lilith ndio ibilisi na lucifer utasema ndio nani?? na historia ya ibilisi kutokana na malaika muhasi mwenyekutaka kufanana na m/mungu inajulikana hata kwenye maandiko matakatifu ya bilblia

Jr[emoji769]
 
Hakuna mahali palipo na andiko la kwamba Mungu ali muumba kiumbe aitwaye Lilith kwa kusudi la kuwa msaidizi wa Adam badala yake mungu ali mleta hawa kutoka kwenye ubavu wa Adam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umezisoma Bible version zote ama umesoma za imani yako tuu?
Hakuna mahali palipo na andiko la kwamba Mungu ali muumba kiumbe aitwaye Lilith kwa kusudi la kuwa msaidizi wa Adam badala yake mungu ali mleta hawa kutoka kwenye ubavu wa Adam.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Kulingana na vifungu ulivyo weka hapo juu mwanzo 2:22 na isayah 34:14 bado haya jitoshelezi kuthibitisha hilo pengine kuna mahala tofauti ambapo andiko hilo lina patikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daima naamini lisemwalo lipo.. Kama halipo haliwezi kutajwa popote.. Chukua muda nje ya Bible unayoifahamu kumtafiti Lilith

Kulingana na vifungu ulivyo weka hapo juu mwanzo 2:22 na isayah 34:14 bado haya jitoshelezi kuthibitisha hilo pengine kuna mahala tofauti ambapo andiko hilo lina patikana

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom