Tuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.
Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”
Mdaka Mithaleee leo anaitwa Andunjeee!Tuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.
Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”
Leo hii unataka kutuaminisha kuwa Diara sio mzuri pamoja na kuwasaidia kote huko? Au unaposema Yanga watafute kipa mzuri unamaanisha nini? Nani alikuambia kipa mrefu hafungwi?Tuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.
Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”
Mwambie Mkuu, yule KIPA wa Merreikh nae andunje, onana nae andunje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Leo hii unataka kutuaminisha kuwa Diara sio mzuri pamoja na kuwasaidia kote huko? Au unaposema Yanga watafute kipa mzuri unamaanisha nini? Nani alikuambia kipa mrefu hafungwi?
Hii kauli siipendi....basi tuuTuliwahi kusema hili,
sio ufupi ni kufungwa tuTuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.
Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”
Punguza malalamiko wewe, kwani Yanga ndio timu ya kwanza kufungwa Duniani. Kipa Bora kwa misimu miwili kufungwa leo anaonekana hafai? Hebu tuache ulimbukeni kwenye ushabiki.Tuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.
Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”