Ufupi wa Diarra unasababisha Yanga kufungwa magoli mepesi

Ufupi wa Diarra unasababisha Yanga kufungwa magoli mepesi

Tuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.

Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”


Hamna jema nyinyi, ndo maana ndoa huwa zinawashinda, mmefungwa siku 1 kasoro nyingi, mnaweza mbeba mke na stress kweli? Kwa hiyo ubora wa kipa upo kwenyw urefu?
 
Tuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.

Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”
siku ikiwa mbaya ofisini ni mbaya tu, unamuona kipa mpya wa simba ayubu na urefu wake wote lakini anafungwa magoli ya ajabu mno yani ukilenga goli ukakanda shuti la maana we hesabu goli kwahyo kimo sio hoja pili hakuna kipa au timu itakayomaliza ligi bila kufungwa ni suala la muda tu hata hao wanaowacheka na wao watapoteza
 
Tuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.

Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”
Nakazia
 
Back
Top Bottom