Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Nimesoma Lakini sijaelewa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diarra kweli ni wa kumuita mfupi?GSM atoe hela ili Diarra aongezewe urefu. Kuna umuhimu wa kufanya hivyo. Kushabikia Yanga inatakiwa usiwe na akili timamu
Hahahaaaa hawajasema badoMdaka Mithaleee leo anaitwa Andunjeee!
Na bado Mpaka mthemeeeee
Kwahiyo unataka kusema timu imejaa ANDUNJES siyo?Diarra mfupi.......
Kibabage mfupi.......
Kibwana mfupi......
Dickson job mfupi......
Asante Kwasi mfupi......
Dah.....Tutatoboa Kweli..?
Tuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.
Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”
siku ikiwa mbaya ofisini ni mbaya tu, unamuona kipa mpya wa simba ayubu na urefu wake wote lakini anafungwa magoli ya ajabu mno yani ukilenga goli ukakanda shuti la maana we hesabu goli kwahyo kimo sio hoja pili hakuna kipa au timu itakayomaliza ligi bila kufungwa ni suala la muda tu hata hao wanaowacheka na wao watapotezaTuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.
Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”
NakaziaTuliwahi kusema hili, kipa akiwa mfupi ni tatizo sana. Ndio maana ulaya magolikipa wafupi waliofanikiwa ni wachache sana ukimjumlisha Iker Casillas.
Huyu kipa wetu Yanga magoli mengi anayofungwa kwa asilimia 98 ni ya juu. Huu ni udhaifu wake mkubwa sana. Yanga itafute kipa mzuri maana huko ligi ya mabingwa tutakandwa sana na kipa “kijeba”