Nokia3D
Member
- Feb 2, 2013
- 74
- 1
Kutokana na hoja za serikali LUKUVI amesema kuwa NECTA haikufuata
vigezo vya kuwafaulisha wanafunzi kwa kufuata STANDARDTIONS na CONTINOUS ASSESMENTS.
Necta wamekuwa na utaratibu mwingine ambao haukuhusisha Wadau wa Elimu Tanzania.
Either Kufutwa kwa madaraja mapya,
yaani
100-85(A)
85-65(B)
65-45(C)
45-35(D)
35-0(F)
CHANZO NI BUNGE KUTOKANA NA 2ME YA WAZIRI
vigezo vya kuwafaulisha wanafunzi kwa kufuata STANDARDTIONS na CONTINOUS ASSESMENTS.
Necta wamekuwa na utaratibu mwingine ambao haukuhusisha Wadau wa Elimu Tanzania.
Either Kufutwa kwa madaraja mapya,
yaani
100-85(A)
85-65(B)
65-45(C)
45-35(D)
35-0(F)
CHANZO NI BUNGE KUTOKANA NA 2ME YA WAZIRI