Ufyatu 100%: Sababu zinazotolewa hazina mantiki au mantiki hazina sababu?

Ufyatu 100%: Sababu zinazotolewa hazina mantiki au mantiki hazina sababu?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Na. M. M. Mwanakijiji

Sababu zinazotolewa za mkataba wa bandari:

1. Imekuwa ikiendeswa bila ufanisi (na bado tukawa tunawalipa mishahara)
2. Tunapoteza sana hela (miaka yote hili linajulikana)
3. Hatuna vifaa vya kisasa (kwani vifaa vinashushwa toka mbinguni?)
4. Hatuna watendaji wenye utaalamu (na madigrii yote ya kozi zote za kujiendeleza kote?)
5. Kampuni ya TICTS imeshindwa kwa miaka yote hii (na bado tukawaacha na kuwaongezea tena muda?)
6. DP Wana Uwezo Mkubwa wa kuendesha Bandari (kampuni gani nyingine ya kimataifa tulizungumza nao na kusikia wana tuoffer nini).

Tatizo jingine tunapenda kuchanganya mno hoja hata zisizohusiana na hoja ya msingi. Tuzitoe hizi hoja nyingine.

1. Hakuna Tanganyika; sijui ni kina nani wanazungumzia. Hadi hivi sasa hakuna nchi au taifa la Tanganyika. Hivyo Tanganyika haimo kwenye mjadala.

2. Hakuna hoja ya Uarabu hapa; DP World inatakiwa kupimwa kwa uwezo na weledi wake; siyo kwa sababu inatoka UAE. Huku ni kujiona duni. Kama tunawakaribisha kwa sababu ni Waarabu basi viongozi wetu wana matatizo makubwa zaidi kichwani..

3. Ongeza za kwako..

Tujikite kwenye hoja... tuache vihoja!
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Sababu zinazotolewa za mkataba wa bandari:

1. Imekuwa ikiendeswa bila ufanisi (na bado tukawa tunawalipa mishahara)
2. Tunapoteza sana hela (miaka yote hili linajulikana)
3. Hatuna vifaa vya kisasa (kwani vifaa vinashushwa toka mbinguni?)
4. Hatuna watendaji wenye utaalamu (na madigrii yote ya kozi zote za kujiendeleza kote?)
5. Kampuni ya TICTS imeshindwa kwa miaka yote hii (na bado tukawaacha na kuwaongezea tena muda?)
6. DP Wana Uwezo Mkubwa wa kuendesha Bandari (kampuni gani nyingine ya kimataifa tulizungumza nao na kusikia wana tuoffer nini).

Tatizo jingine tunapenda kuchanganya mno hoja hata zisizohusiana na hoja ya msingi. Tuzitoe hizi hoja nyingine.

1. Hakuna Tanganyika; sijui ni kina nani wanazungumzia. Hadi hivi sasa hakuna nchi au taifa la Tanganyika. Hivyo Tanganyika haimo kwenye mjadala.
2. Hakuna hoja ya Uarabu hapa; DP World inatakiwa kupimwa kwa uwezo na weledi wake; siyo kwa sababu inatoka UAE. Huku ni kujiona duni. Kama tunawakaribisha kwa sababu ni Waarabu basi viongozi wetu wana matatizo makubwa zaidi kichwani...
3. Ongeza za kwako..

Tujikite kwenye hoja... tuache vihoja!
Hayo ya Utanganyika na uarabu ni majaribio ya kuharibu lengo la mjadala ambalo ni hiyo MOU.

......ila naamini wanayoyaleta wanafahamu fika wanachokifanya ila sababu za kwanini wanafanya siwezi kuzijua.

Nguruvi3 JokaKuu Kalamu zitto junior Mag3
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Sababu zinazotolewa za mkataba wa bandari:

1. Imekuwa ikiendeswa bila ufanisi (na bado tukawa tunawalipa mishahara)
2. Tunapoteza sana hela (miaka yote hili linajulikana)
3. Hatuna vifaa vya kisasa (kwani vifaa vinashushwa toka mbinguni?)
4. Hatuna watendaji wenye utaalamu (na madigrii yote ya kozi zote za kujiendeleza kote?)
5. Kampuni ya TICTS imeshindwa kwa miaka yote hii (na bado tukawaacha na kuwaongezea tena muda?)
6. DP Wana Uwezo Mkubwa wa kuendesha Bandari (kampuni gani nyingine ya kimataifa tulizungumza nao na kusikia wana tuoffer nini).

Tatizo jingine tunapenda kuchanganya mno hoja hata zisizohusiana na hoja ya msingi. Tuzitoe hizi hoja nyingine.

1. Hakuna Tanganyika; sijui ni kina nani wanazungumzia. Hadi hivi sasa hakuna nchi au taifa la Tanganyika. Hivyo Tanganyika haimo kwenye mjadala.
2. Hakuna hoja ya Uarabu hapa; DP World inatakiwa kupimwa kwa uwezo na weledi wake; siyo kwa sababu inatoka UAE. Huku ni kujiona duni. Kama tunawakaribisha kwa sababu ni Waarabu basi viongozi wetu wana matatizo makubwa zaidi kichwani...
3. Ongeza za kwako..

Tujikite kwenye hoja... tuache vihoja!
makuwadi na madalali ya dpworld hayatakuelewa.
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Bora umeliumbua hilo zee linafiki.
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Ina maana Rais ana mamlaka hayo ya kuchagua anachoona kinafaa hata kama utaratibu unahitaji ushindani uwepo ?...

mnaharibu hii nchi kwa kulimbikiza kila mamlaka kwa mtu mmoja.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Sababu zinazotolewa za mkataba wa bandari:

1. Imekuwa ikiendeswa bila ufanisi (na bado tukawa tunawalipa mishahara)
2. Tunapoteza sana hela (miaka yote hili linajulikana)
3. Hatuna vifaa vya kisasa (kwani vifaa vinashushwa toka mbinguni?)
4. Hatuna watendaji wenye utaalamu (na madigrii yote ya kozi zote za kujiendeleza kote?)
5. Kampuni ya TICTS imeshindwa kwa miaka yote hii (na bado tukawaacha na kuwaongezea tena muda?)
6. DP Wana Uwezo Mkubwa wa kuendesha Bandari (kampuni gani nyingine ya kimataifa tulizungumza nao na kusikia wana tuoffer nini).

Tatizo jingine tunapenda kuchanganya mno hoja hata zisizohusiana na hoja ya msingi. Tuzitoe hizi hoja nyingine.

1. Hakuna Tanganyika; sijui ni kina nani wanazungumzia. Hadi hivi sasa hakuna nchi au taifa la Tanganyika. Hivyo Tanganyika haimo kwenye mjadala.
2. Hakuna hoja ya Uarabu hapa; DP World inatakiwa kupimwa kwa uwezo na weledi wake; siyo kwa sababu inatoka UAE. Huku ni kujiona duni. Kama tunawakaribisha kwa sababu ni Waarabu basi viongozi wetu wana matatizo makubwa zaidi kichwani...
3. Ongeza za kwako..

Tujikite kwenye hoja... tuache vihoja!
4. Kuna nini nyuma ya mkataba wa IGA unaoipa DPW hadhi ya nchi (state)?
5. Kwa nini DPW isiingie ubia na TPA au kujisajiri TIC kama wawekezaji wengine?
 
Kisa alifanya Magufuli (hata kama haikuwa sawa) na nyie lazima mkifanye sio ?.....

aya bhana, nchi yenu hii fanyeni mnalotaka.
You are missing the point
Kama Magufuli alikosea na hawa kina Mwanakijiji walikuwa kimyaa kabisa hata watu walipokuwa wanapigwa risasi na kutekwa...hawana haki ya kuchonga midomo kisa Rais aliepo sie wanaomtaka....
Wale waliokuwa wanamkosoa Magufuli..sina shida nao kabisa kama wanamkosoa Samia...angalau wao wamesimamia principles... I hope umenielewa
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Hii mantiki ya kusema Rais yuko well informed ni Ujinga pia. Sasa Procurement Act mlikuwa mnaanzisha ya nini? Halafu kama Magufuli alituchagulia Contractors unfairly, haingii akilini Samia kuiga mambo ya Kijinga. Kumbuka ukiwa Rais hasa Africa una Power kupindukia. Hata Mabutu alikuwa well informed na Washauri lukuki. Tuache mihemuko. Hata wewe umekuwa very aggressive and Vocal hii awamu ukitetea kila jambo.
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
SGR na Bwawa la Nyerere zote zilitangazwa zabuni na aliyeshindwa akashindwa, rejea kumbukumbu sahihi
 
Wengi hawaelewi kwamba hii ni reparation, tulikuwa vitani tumeshindwa, anayeshindwa analipa reparation, hii hutokea Dunia nzima Ujerumani mpaka leo hii bado analipa reparation Makampuni yake yalichukuliwa bure kabisa na nchi zilizoshinda vita, ndo maana kila kitu kinaenda bure kabisa, kuanzia Bandari, Viwanja vya ndege, Mbuga za wanyama, mpaka Tanesco na Air Tanzania na SGR vitaenda pia.

Ni reparations, …
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Well said, na mjadala na ufungwe umemaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom