Ufyatu 100%: Sababu zinazotolewa hazina mantiki au mantiki hazina sababu?

Ufyatu 100%: Sababu zinazotolewa hazina mantiki au mantiki hazina sababu?

Mkuu ni kwamba Mwarabu ndie alikuwa anatafuta bidhaa (watu) kama dalali na kuwa uza watu hao kwa wazungu maana mzungu alikuwa anasoko la ajira kwenye kilimo na viwanda. Kwa hiyo Mwarabu akawa na hiyo tenda ya kutafuta vibarua kwa ajiri ya wazungu, lakini baadhi watu(watumwa) hao aliwabakiza kwake.
Wakati wa uendeshaji wa zoezi la kuwapata hao vibarua ndipo Mzungu alipo gundua kuwa kana ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu, ndipo Mzungu kwa utashi na huruma yake akapiga marufuku zoezi hilo lililojulikana kama biashara ya Utumwa. Kwa mantiki hiyo Mwarabu bado ana chembechembe za unyanyasaji utokanao na biashara hiyo. Hata leo bado kuwa watu wanafanya biashara ya namna hiyo; wana ratibu na kupeleka wasichana uarabuni kufanya kazi za ndani.. Leo tuona ni jambo zuri; hata zamani nao waliona ni jambo zuri. NI SUALA LA WAKATI TU.

Nitazid kukueleza kuwa kimbia huo uongo unaombiwa huko parokain,suala la slave trade lipo wazi na linafahamika washirika ni nani,nenda kasome scramble and partition of africa,au kasome how europe undedeveloped africa na mengine meengi sana,acha uvivu soma ujionee mwenyewe

Mwarabu alishiriki lini berlin conference??na mimi sijakuambia kuwa mwarabu hauhisik na utumwa,la hasha mwarabu kwa miaka mingi ameshiriki biashara ya utumwa hata kabla hajaja africa so usidhan nipo hapa kumtetea mwarabu,ila nakushangaa unavyomtoa mzungu na kumtetea kuwa ni mwema kwako na kusahau jins alivyorudisha nyuma maendeleo ya afrika kwa karne na karne
 
Nitazid kukueleza kuwa kimbia huo uongo unaombiwa huko parokain,suala la slave trade lipo wazi na linafahamika washirika ni nani,nenda kasome scramble and partition of africa,au kasome how europe undedeveloped africa na mengine meengi sana,acha uvivu soma ujionee mwenyewe

Mwarabu alishiriki lini berlin conference??na mimi sijakuambia kuwa mwarabu hauhisik na utumwa,la hasha mwarabu kwa miaka mingi ameshiriki biashara ya utumwa hata kabla hajaja africa so usidhan nipo hapa kumeteta mwarabu,ila nakushangaa unavyomtoa mzungu na kumtetea kuwa ni mwema kwako na kusahau jins alivyorudisha nyuma maendeleo ya afrika kwa karne na karne
Mkuu naona unataka kunibatiza wakati suala lililopo mbele yetu sio la udini. Aidha mimi sio mvivu katika kujisomea na kutafuta habari ili kupata habari sahihi.
Mkuu Mwarabu hakuwepo kwenye huo mkutano kwa sababu kuu mbili; 1. Alikuwa naye ni maskini na 2. Hakuwa na koloni la maana Afrika na hakuwa mjunbe wa vikao hivyo.
Hata hapa nyumbani ukifuarilia maeneo ambayo mwarabu aliweka makazi yake ni duni sana mpaka leo. Kama nilivyo kueleza sisi tuna rasilimali nyingi na za thamani sana kumshinda Mwarabu, tatizo letu bila ya shaka yeyote nawe unalijua; tutachekwa na wajukuu na vilembwe wetu kama sisi tunavyo washanga akina Mangungu. Nadhani ifike wakati tutoe kiongozi wa juu kutoka IRINGA; sababu zangu ni kwamba viongoza kutoka mkoa naona wapo vivizuri. Kwa mfano Mteni Mkwawa; Spika Mkwawa, Mh. Njelu Kasaka, Hayati Mamwindi, Mh. Msigwa - pamoja na Hayati Magufuli kuwa Mzazi mwenzake lakini alikataa katakana kununuliwa. Iringa wapo wengi tu; tuwatumie.
 
Pana mtu nyuma ya anayeitwa mwarabu wa DP.

Tusubiri jua liwe la utosi, kivuli kipotee,

Tutaona LIVE bila chenga.
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Sasa kama ni hivi mlilalamika nini wakati wa JPM? Huu ni wakati wa SSH
 
Ina maana Rais ana mamlaka hayo ya kuchagua anachoona kinafaa hata kama utaratibu unahitaji ushindani uwepo ?...

mnaharibu hii nchi kwa kulimbikiza kila mamlaka kwa mtu mmoja.
Ndo mnaliona hilo leo kwa Samia!
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Ahaa,,! Unamaanisha kwamba KAMA NGOSHA, ALIFANYA UJINGA, waliokuja balaa yake wafanye UPUMAVU,,!? Au unamaanisha nini,,?

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Tunaharibu kivipi?alipokuwa Magufuli anafanya kila kitu Kwa utashi wake haikuwa nchi inaharibika??
Kipindi cha Magufuli watu pia walisema na wengine ndani ya CCM walipigiana simu na kumwita mshamba. Kwahiyo usizuie watu kusema
 
Mkuu umenena vyema kuwa Mwarabu uchumi wake ni mafuta na gesi lakini tunamtetemekea ile mbaya wakati sisi tuna zaidi ya alivyo navyo, plus mambuga ya wanyamapori na wanyama wake, maji baridi kwenye maziwa yetu, ardhi bora kwa kilimo, madini ya kila aina n. k. Aidha kwa uchumi ambao ametupatia MWENYEZI MUNGU, huyo Mwarabu hatufikii asilani abafani : kwa kweli "TUME PENDELEWA". Tatizo letu kubwa ni Siasa mbovu na Uongozi Bora.

Tatizo la mwafrika ni kupenda kula, ngono , kunywa mbege ,majisifu na madaraka
 
Back
Top Bottom