Ufyatu 100%: Sababu zinazotolewa hazina mantiki au mantiki hazina sababu?

Ufyatu 100%: Sababu zinazotolewa hazina mantiki au mantiki hazina sababu?

Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Huko ni kumuandalia rais aweze kupiga pesa kirahisi
 
Hii nchi ni ya kichoko sana, hili swala la bandari ni la kipumbavu sijui huyu Bibi yenu Samia hana ubongo kazeeka kila kitu. Ni uzuzu labda kama ametumwa atafute mianya ya kuvunja muungano. Hili kafanya kusudi ya kipumbavu kabisa
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
DP World wamepewa nafasi kwa kuhonga wabunge na waandishi wa habari, tender haikutangazwa popote, na mkataba wao ni wa kinyonyaji usio na ukomo, hawa waarabu ni maharamia.

Usijaribu hata dakika moja kulinganisha huu ujinga uliofanywa na Samia, na kile kilichofanyika wakati wa Magufuli, hawa hawafanani.

Eti "Rais yuko more informed" kwa wajomba zake! ndio atuletee mkataba usio na ukomo!

Kuna kampuni yoyote wakati wa Magufuli iliwahi kupewa mkataba wa milele?

Samia ni msaliti.
 
Wengi hawaelewi kwamba hii ni reparation, tulikuwa vitani tumeshindwa, anayeshindwa analipa reparation, hii hutokea Dunia nzima Ujerumani mpaka leo hii bado analipa reparation Makampuni yake yalichukuliwa bure kabisa na nchi zilizoshinda vita, ndo maana kila kitu kinaenda bure kabisa, kuanzia Bandari, Viwanja vya ndege, Mbuga za wanyama, mpaka Tanesco na Air Tanzania na SGR vitaenda pia.

Ni reparations, …
Tulikuwa vitani dhidi ya nani au nini Mkuu?
 
Tunaharibu kivipi?alipokuwa Magufuli anafanya kila kitu Kwa utashi wake haikuwa nchi inaharibika??
Kwa hiyo A na B zote ni sawa? Kwasababu Magufuli alikiuka matakwa ya kisheria hivyo inatoaruhusa kwa mrithi wake kutokiuka pia.

Sheria hizi tumezitunga ili iweje sasa. Kama zipo na hatuzifuati. Situzifute?


Tuwe na uzalendo hata kidogo. Rasilimali hizi sio zetu pekeetu.
 
Katiba ya JMT 1977 ,151 (1) Inatamka '' Tanzania Bara maana yake ni eneo lote la Jamhuri ya Muungano ambalo zamani lilikuwa eneo la Jamhuri ya Tanganyika''

Kwa maana tunapoitaja Tanzania, lile eneo la Bara ndiyo ilikuwa Tanganyika. Huyu jamaa anayeitwa Tanganyika sijui alibatizwa au alisilimishwa lakini tunajua ni yule yule aliyeachwa na Mwingereza.
Tanganyika ipo midhali neno Bara lipo. Lakini Wazanzibar hawajiiti Tanzania visiwani tena, hili neno Bara ni Tanganyika. Ukiwa huna visiwani wapi utapata Bara? ni Tanganyika tu

Kwanini ni muhimu katika mjadala. Rais SSH alisaini MoU inayohusu Tanzania ( Zanzibar wakiwemo).
Katika kamati ya Bunge, kwa mujibu wa Mbunge Aida Kenani Wazanzibar walisema Bandari zao hazimo katika MoU. Hoja haijakanushwa na Bunge au Wazanzibar. Sasa kama Zanzibar haipo katika Tanzania tunabaki na Tanzania Bara ambayo ni eneo la iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika. Kwa maneno mengine MoU inahusu Tanganyika.

Kama Rais wa JMT anasaini suala la Tanzania Bara ambayo ni Tanganyika na kuiacha Zanzibar katika jambo la muungano (bandari kwa mujibu wa mkataba) kwa kutumia jina la Tanzania, huoni Tatizo hapo?
Mathalan DP wakitoa Dollar Bilioni 10 kwa Bandari, Zanzibar wanastahili kwasababu DP inatoa kwa Tanzania.

DP hao hao walileta ufanisi mapato ya Bandari ni ya JMT kwasababu yamesimamiwa na Rais wa JMT na kuandikwa kwa jina la JMT na Zanzibar watapewa ruzuku ya bajeti na 4.5% ya pato la bandari. Huoni tatizo hapo? Lakini DP wakitaifisha bandari au kudai malipo hilo litakuwa suala la Tanzania Bara ambayo ni Tanganyika, Zanzibar watatumia katiba yao. Huoni tatizo hapo?

Ni utaratibu ule ule mbovu wa gesi ya Tanganyika, Madini ya Tanganyika, utalii wa Tanganyika n.k. kuingiza pato la Taifa halafu Zanzibar wanapata mgao wa 4.5% kwasababu tu ya neno Tanzania. Lakini ukiwauliza gesi yao ipo wapi wanakwambia si jambo la muungano. Huoni tatizo hapo ? Huoni kwanini Tanganyika inahitajika kuwekwa wazi kwenye mambo mazito kama haya ya Bandari?

Ni utaratibu ule ule wa hovyo, kwamba, tunakopa kama Tanzania halafu wakati wa kulipa tunatumia hazina ya Tanzania Bara yaani Tanganyika. Huoni tatizo hapo?

Kama Tanganyika haipo , Hii Tanzania Bara iliyotajwa katika katiba ni kitu gani na kilianzia wapi?

The Boss JokaKuu Pascal Mayalla
Hongera kwa uchambuzi yakinifu. Umetufumbua wengi kuhusu pato na deni laTaifa litokanalo na uzalishaji Tanzania bara (Tanganyika).

Umenipa mtihani wa kupitia Bajeti ya JMT inayoendelea kujadiliwa bungeni, ni kwa kiasi gani Tanzania Visiwani (Zanzibar) inachangia kwenye bajeti ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa nao wana bajeti yao.
 
Unajadili kisiasa ukiegemea upande unaoushabikia au uanachama badala ya hoja za mada kuu. Huwezi kuniingiza kwenye gari hilo.

Nasimamia ukweli ninaouamini kuwa Wanasiasa wote ni wachumia tumbo, awe wa chama tawala au upinzani. Km wanasiasa wa upinzani baada ya utawala wa sasa kuruhusu mikutano ya hadhara wameusifia sana. Leo hii wanabweka hovyo, kisa!!!

Iwe mwanasiasa wa upinzani au chama tawala chaguzi za kitaifa zijazo, nitatumia ushawishi niliojaliwa kushawishi wapiga kura kuchagua mwenye mtazamo wa kitaifa na siyo wa yeye au chama chake.

ENOUGH IS ENOUGH WITH FAKE AND SELFISH POLITICIANS. Nia ninayo, uwezo ninao na sababu ninazo za kutosha kufanikisha lengo langu. Daima mbele nyuma mwiko

Naachaje kujadili kisiasa wakati hili suala ni la maamuzi ya wanasiasa?

Hata kama ukifanya ushawishi, huo ushawishi wao utakuwa hauna maana kwani hakuna uchaguzi Tanzania, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Na hata kama ni ushawishi, bado ww huna.
 
Kwa hiyo A na B zote ni sawa? Kwasababu Magufuli alikiuka matakwa ya kisheria hivyo inatoaruhusa kwa mrithi wake kutokiuka pia.

Sheria hizi tumezitunga ili iweje sasa. Kama zipo na hatuzifuati. Situzifute?


Tuwe na uzalendo hata kidogo. Rasilimali hizi sio zetu pekeetu.

Huyu mnafiki aliyeanzisha huu uzi wakati Magufuli anavunja sheria alikuwa anaona sawa, kisa alikuwa anamsujudia. Saa hii tunamshangaa alikuwa wapi kuhoji uhuni kama huu kipindi cha dhalimu?
 
Tunaharibu kivipi?alipokuwa Magufuli anafanya kila kitu Kwa utashi wake haikuwa nchi inaharibika??
Kwahiyo mnafanya ujinga wa Magufuli? Alafu huo ujinga wanatakiwa wakemee tu waliokuwa wanamkemea Magufuli? Hivi kati ya aliyefanya ujinga na anayeiga huo ujinga nani mjinga zaidi?
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Wewe na nawe Kilaza kweli,kama Magufuli alikosea basi na Mama afanye hivyohivyo?
Mbona Mama karuhusu mikutano ya siasa,basi mwambie afungie kama Magufuli!
Kwaiyo DP World (2006) wana uwezo mkubwa kuliko MAERSK SHIPPING COMPANY iliyoanzishwa mwaka 1904!
Nakuwekea na attachment ya kampuni kubwa za shipping Duniani na uone uyo DP World wenu anakaa wapi!
Screenshot_20230623_113030.jpg
 
SGR na Bwawa la Nyerere zote zilitangazwa zabuni na aliyeshindwa akashindwa, rejea kumbukumbu sahihi
Uyo Kilaza tu,SGR waliomba mpaka Wachina Maswaiba wetu tangu harakati za Uhuru,walipigwa chini na Mturuki.Shida ya umu jukwaani Kuna watu wanajifanya wao ndiyo walikuwepo wakati Magufuli anatawala na wengine hatukuwepo!
 
Sasa kama Magufuli alikuwa hafuati taratibu za nchi ulikuwa wapi kumkosoa??

SI mlitulia kimya ili dawa iingie,Kosa la samia liko wapi,angekuwa anataka kuficha aende kimya kimya angeshirikisha bunge??

Wezi tuh ndo watataka wabakie waendelee kutuibia pale bandarin,Samia piga kazi achana na ma.fala wasiojitambua
Kuwa mkweli wewe documents za DPW ulikuwa unazijua?Samia kaweka wazi wapi wakati wote tumejua baada ya ngoma kuvujishwa!
 
Mimi PENGO nimchukie anasaidie nin kafiri yule,Zaid Zaid Mimi namuonea huruma tuh sababu kwangu Mimi yule ni kuni tuh,unless otherwise apate uongofu,hakuna hoja ya kujibu hapo,

Hoja zinajibiwa bungeni,hapa JF ni soga tuh,maana watu wenyew hata kuandamana kutetea hiki mnachokisema hamuwezi sasa nani atasikiliza watu msiojua kitu mnachokisimamia??
Huyo unamwita Kafiri ndiyo mwenye nchi,alishawai kumwita Mfalame wenu wa Msoga akiwa Rais na kumuweka kitimoto kama Mtoto.
Endeleeni na ngonjera zenu,mtajua hamjui.Mama yenu kakaa kimya wala haongei,mnajua kimempata kitu gani,nyie ndiyo vimbelembele!
Tulieni hii nchi inaendeshwa na Vatican na USA/BRITISH.
 
Naachaje kujadili kisiasa wakati hili suala ni la maamuzi ya wanasiasa?

Hata kama ukifanya ushawishi, huo ushawishi wao utakuwa hauna maana kwani hakuna uchaguzi Tanzania, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Na hata kama ni ushawishi, bado ww huna.
Enzi na zama za giza zimepitwa na wakati ambazo wapiga kura wengi, hasa wa vijijini, waliamini ahadi za wagombea au wanayosikia kwenye vyombo vya habari, hasa radio, vikimilikiwa na Serikali ya utawala ulio madarakani. Kwa sasa nguvu ya mitandao ni kubwa kuliko mikutano ya hadhara.

Kuhusu wizi wa kura, wakati wa uchaguzi, ni dhana inayobebwa, duniani kote, na wagombea wanaoshindwa, hata huko kwa waasisi wa kinachoitwa demokrasia. Kura hupigwa, kusimamiwa na kuhesabiwa na watu, ambapo kimsingi mtu ni mbinafsi.
 
Huyu mnafiki aliyeanzisha huu uzi wakati Magufuli anavunja sheria alikuwa anaona sawa, kisa alikuwa anamsujudia. Saa hii tunamshangaa alikuwa wapi kuhoji uhuni kama huu kipindi cha dhalimu?
Kwanini asipongezwe kwa kuuona ukweli na kuusimamia?

Jikiteni kwenye hoja zake.


Sio busara kuendelea kuishi wakati uliopita sasa.

Tujadili hoja.
 
Hii mantiki ya kusema Rais yuko well informed ni Ujinga pia. Sasa Procurement Act mlikuwa mnaanzisha ya nini? Halafu kama Magufuli alituchagulia Contractors unfairly, haingii akilini Samia kuiga mambo ya Kijinga. Kumbuka ukiwa Rais hasa Africa una Power kupindukia. Hata Mabutu alikuwa well informed na Washauri lukuki. Tuache mihemuko. Hata wewe umekuwa very aggressive and Vocal hii awamu ukitetea kila jambo.
Jamaa anatetea kila jambo ili awakomoe ambao wako against. Si kwamba ana mantiki yeyote ila amechagua kuwa mpinzani wa previous regime.
 
Unaweza usione tofauti..Kwa sababu unaamini moyoni mwako "nchi inauzwa"...
Na kuna watu "unawaamini"wamekuaminisha hivyo..

Mimi naamini serikali iko sahihi na kama kuna makosa ni ya kibinadaamu na yanarekebishika..
Hayastahili kuleta zogo la kumshambulia Rais especially waliposema mkataba bado...utakapo sainiwa utazingatia maoni ya watu..
Ukomo wa mkataba ni lini na tutanufaika kwa kiasi gani? Hebu nijibu hayo maswali tu maana hata serikali imeshindwa kuyajibu.
 
Back
Top Bottom