Ufyatu 100%: Sababu zinazotolewa hazina mantiki au mantiki hazina sababu?

Ufyatu 100%: Sababu zinazotolewa hazina mantiki au mantiki hazina sababu?

You are missing the point
Kama Magufuli alikosea na hawa kina Mwanakijiji walikuwa kimyaa kabisa hata watu walipokuwa wanapigwa risasi na kutekwa...hawana haki ya kuchonga midomo kisa Rais aliepo sie wanaomtaka....
Wale waliokuwa wanamkosoa Magufuli..sina shida nao kabisa kama wanamkosoa Samia...angalau wao wamesimamia principles... I hope umenielewa

Hoja yako inayohusisha Utawala uliopita na wa sasa ni nje ya mada kabisa.

Nami naungana na aliyekupinga kwa hoja kwamba utawala wa sasa haupaswi kurudia makosa ya uliopita, kufanya hivyo ni dalili za udhaifu. Wahenga walinena Kufanya kosa siyo kosa, kosa ni kurudia kosa.

Hivyo basi, wasiopenda mkataba wa IGA, kama mimi, tunauambia utawala wa sasa, KWA SAUTI KUBWA, watakosea sana kuipa DPW kuendesha bandari kwa mgongo wa nchi yake tofauti na makampuni ya nje yanayowekeza nchini kibiashara. Na ukiusoma huo mkataba (IGA), unaoiteua DPW, kwa umakini, unaipa mamlaka na madaraka makubwa.

Mkataba wa IGA utupiliwe mbali na DPW iwekeze bandari kwa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizopo za uwekezaji
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Sababu zinazotolewa za mkataba wa bandari:

1. Imekuwa ikiendeswa bila ufanisi (na bado tukawa tunawalipa mishahara)
2. Tunapoteza sana hela (miaka yote hili linajulikana)
3. Hatuna vifaa vya kisasa (kwani vifaa vinashushwa toka mbinguni?)
4. Hatuna watendaji wenye utaalamu (na madigrii yote ya kozi zote za kujiendeleza kote?)
5. Kampuni ya TICTS imeshindwa kwa miaka yote hii (na bado tukawaacha na kuwaongezea tena muda?)
6. DP Wana Uwezo Mkubwa wa kuendesha Bandari (kampuni gani nyingine ya kimataifa tulizungumza nao na kusikia wana tuoffer nini).

Tatizo jingine tunapenda kuchanganya mno hoja hata zisizohusiana na hoja ya msingi. Tuzitoe hizi hoja nyingine.

1. Hakuna Tanganyika; sijui ni kina nani wanazungumzia. Hadi hivi sasa hakuna nchi au taifa la Tanganyika. Hivyo Tanganyika haimo kwenye mjadala.
2. Hakuna hoja ya Uarabu hapa; DP World inatakiwa kupimwa kwa uwezo na weledi wake; siyo kwa sababu inatoka UAE. Huku ni kujiona duni. Kama tunawakaribisha kwa sababu ni Waarabu basi viongozi wetu wana matatizo makubwa zaidi kichwani...
3. Ongeza za kwako..

Tujikite kwenye hoja... tuache vihoja!
Umeandika utumbo gani huu Mzee, mbona siku hizi umekuwa na akili kama za Kingwendu tu.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Sababu zinazotolewa za mkataba wa bandari:

1. Imekuwa ikiendeswa bila ufanisi (na bado tukawa tunawalipa mishahara)
2. Tunapoteza sana hela (miaka yote hili linajulikana)
3. Hatuna vifaa vya kisasa (kwani vifaa vinashushwa toka mbinguni?)
4. Hatuna watendaji wenye utaalamu (na madigrii yote ya kozi zote za kujiendeleza kote?)
5. Kampuni ya TICTS imeshindwa kwa miaka yote hii (na bado tukawaacha na kuwaongezea tena muda?)
6. DP Wana Uwezo Mkubwa wa kuendesha Bandari (kampuni gani nyingine ya kimataifa tulizungumza nao na kusikia wana tuoffer nini).

Tatizo jingine tunapenda kuchanganya mno hoja hata zisizohusiana na hoja ya msingi. Tuzitoe hizi hoja nyingine.

1. Hakuna Tanganyika; sijui ni kina nani wanazungumzia. Hadi hivi sasa hakuna nchi au taifa la Tanganyika. Hivyo Tanganyika haimo kwenye mjadala.
2. Hakuna hoja ya Uarabu hapa; DP World inatakiwa kupimwa kwa uwezo na weledi wake; siyo kwa sababu inatoka UAE. Huku ni kujiona duni. Kama tunawakaribisha kwa sababu ni Waarabu basi viongozi wetu wana matatizo makubwa zaidi kichwani...
3. Ongeza za kwako..

Tujikite kwenye hoja... tuache vihoja!
Kwanza hujui unaongea nini. Sisi hatuogei uwezo wa DP. Sisi tunaongea mkataba tu ambao hata mtoto wa form four hawezi kusign pia mazingira.
 
Hoja yako inayohusisha Utawala uliopita na wa sasa ni nje ya mada kabisa.

Nami naungana na aliyekupinga kwa hoja kwamba utawala wa sasa haupaswi kurudia makosa ya uliopita, kufanya hivyo ni dalili za udhaifu. Wahenga walinena Kufanya kosa siyo kosa, kosa ni kurudia kosa.

Hivyo basi, wasiopenda mkataba wa IGA, kama mimi, tunauambia utawala wa sasa, KWA SAUTI KUBWA, watakosea sana kuipa DPW kuendesha bandari kwa mgongo wa nchi yake tofauti na makampuni ya nje yanayowoekeza nchini kibiashara. Na ukiusoma huo mkataba (IGA), unaoiteua DPW, kwa umakini, unaipa mamlaka na madaraka makubwa.

Mkataba wa IGA utupilie mbali na DPW iwekeze bandari kwa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizopo za uwekezaji
Nikwambie kitu..sikupingi kabisa mtazamo wako huu... unaweza kuwa uko sahihi ..
Na nimependa ulipoeleza kuwa Wasisaini mkataba wa Dpworld Kwa sababu ulizo zieleza....
Umeongea with integrity hata kama tunaweza "tusikubaliane"..

Niko more concern na wale wanaopinga Dpworld Kwa sababu Tu ni waarabu...wao hawataki hata kusema kipengele kipi libadilishwe kipi kitolewe wao mradi ni waarabu basi wapigwe chini...kwangu hao ndo watu wanao tumia dini kushambulia serikali.... especially walipokuwa kimyaa kabisa wakati Magufuli anafanya lolote Kwa utashi wake...
Otherwise you could be right..
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Sababu zinazotolewa za mkataba wa bandari:

1. Imekuwa ikiendeswa bila ufanisi (na bado tukawa tunawalipa mishahara)
2. Tunapoteza sana hela (miaka yote hili linajulikana)
3. Hatuna vifaa vya kisasa (kwani vifaa vinashushwa toka mbinguni?)
4. Hatuna watendaji wenye utaalamu (na madigrii yote ya kozi zote za kujiendeleza kote?)
5. Kampuni ya TICTS imeshindwa kwa miaka yote hii (na bado tukawaacha na kuwaongezea tena muda?)
6. DP Wana Uwezo Mkubwa wa kuendesha Bandari (kampuni gani nyingine ya kimataifa tulizungumza nao na kusikia wana tuoffer nini).

Tatizo jingine tunapenda kuchanganya mno hoja hata zisizohusiana na hoja ya msingi. Tuzitoe hizi hoja nyingine.

1. Hakuna Tanganyika; sijui ni kina nani wanazungumzia. Hadi hivi sasa hakuna nchi au taifa la Tanganyika. Hivyo Tanganyika haimo kwenye mjadala.
2. Hakuna hoja ya Uarabu hapa; DP World inatakiwa kupimwa kwa uwezo na weledi wake; siyo kwa sababu inatoka UAE. Huku ni kujiona duni. Kama tunawakaribisha kwa sababu ni Waarabu basi viongozi wetu wana matatizo makubwa zaidi kichwani...
3. Ongeza za kwako..

Tujikite kwenye hoja... tuache vihoja!

Rais anadelegate authority kwa mawaziri na mwanasheria mkuu.
Rais anaweza pia kudelegate resposinsobility.

Lkn analaumiwa kwa kuwa yeye ndie accountable.

Lkn nduguzetu wanaomnywea mbege rais ili wapige mayote wakimkosoa rais kama yeye ndie responsible personnel aliyesaini mkataba.

Kumbe waliosaini ni walewale catholic supremacy wa nchi hii.

Hawaguswi.

Na wanywa mbege ni kama wamepatwa na ugonjwa wa Stockholm.

Stockholm syndrome
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Ungepambana na hoja yake,sio personal attack
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Kosa la kwanza halihalalishi kosa la pili... ni ujinga uliotukuka kuamini katika kuendeleza makosa... Magufuli hayupo tuletee angalau mkataba mmoja kati uliyotaja tuuchambue tuuone kama unaujinga kiwango cha huu wa bibi yako.
 
Shule zipi mzungu amekujengea kwenye miradi yake kama corporate social responsibility?tutajie mradi japo mmoja tuh,it's a shame unamtetea mtu ambae aliwageuza mababu zako kama slaves Kwa mamilion ya miaka eti Leo umuone hero...!!no wonder hata kanisani mmewekewa lile sanamu la kizungu Kisha mnaambiwa muliite mungu mara mtoto wa Mungu,eti kafa Kwa AJILI ya dhambi zako,nyieeee...??!! mzungu afe Kwa AJILI ya dhambi zako,,,we uliskia wapi
Chuki zako za kidini zinaharibu hoja yako, sio wote walio wakristo wanaupinga huo 'mkataba wenu' na vice versa pia.


jifunze kuvumilia imani za wengine na jenga hoja bila chuki, Tz ni secular state.
 
Nyie mmeshindwa kufanya kazi ya kuiendesha bandari kwa ufanisi
Sana sana mmekalia uwizi tu hapo na uvivu
Mwacheni dp world aiendeshe huko mbeleni mtaaona
Hiyo mwendokasi tu mradi unaenda kimkandamkanda tu

Ova
 
Sasa kama Magufuli alikuwa hafuati taratibu za nchi ulikuwa wapi kumkosoa??

SI mlitulia kimya ili dawa iingie,Kosa la samia liko wapi,angekuwa anataka kuficha aende kimya kimya angeshirikisha bunge??

Wezi tuh ndo watataka wabakie waendelee kutuibia pale bandarin,Samia piga kazi achana na ma.fala wasiojitambua
Kuna wafanyakazi bandari pale wanakuambia wao hawaugusi mshahara wanaishi kwa pesa za dili pale.
Mfanyakazi bandari akiienda kula lunch anarudi saa nane alafu saa kumi anaondoka sasa dpworld unafikiri atakubali upuz huo [emoji1]

Ova
 
Unaweza usione tofauti..Kwa sababu unaamini moyoni mwako "nchi inauzwa"...
Na kuna watu "unawaamini"wamekuaminisha hivyo..

Mimi naamini serikali iko sahihi na kama kuna makosa ni ya kibinadaamu na yanarekebishika..
Hayastahili kuleta zogo la kumshambulia Rais especially waliposema mkataba bado...utakapo sainiwa utazingatia maoni ya watu..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui unatumia kiungo gani kufikiri kwa sasa[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Nikwambie kitu..sikupingi kabisa mtazamo wako huu... unaweza kuwa uko sahihi ..
Na nimependa ulipoeleza kuwa Wasisaini mkataba wa Dpworld Kwa sababu ulizo zieleza....
Umeongea with integrity hata kama tunaweza "tusikubaliane"..

Niko more concern na wale wanaopinga Dpworld Kwa sababu Tu ni waarabu...wao hawataki hata kusema kipengele kipi libadilishwe kipi kitolewe wao mradi ni waarabu basi wapigwe chini...kwangu hao ndo watu wanao tumia dini kushambulia serikali.... especially walipokuwa kimyaa kabisa wakati Magufuli anafanya lolote Kwa utashi wake...
Otherwise you could be right..
Hata mimi siungani na wanaopinga uwekezaji wa DPW kwa sababu ni Waarabu au waliousaini ni wa Tanzania visiwani. Ila mazingira ya uandaaji wa huo mkataba na nguvu inayotumika vinasababisha wajadiliaji hoja ya kuupinga wanahusisha udini na upande wa Muungano.

Nami naendelea kuuliza (kwa wino mwekundu) bila kujibiwa kuna nini nyuma ya mkataba wa IGA tofauti na mikataba mingine ya uwekezaji kibiashara?

Kama Mkuu The Boss una jibu nipe niondoe hisia na dhana potofu ya Wachingiaji wengi kuwa bandari inauzwa na wasio WaTanganyika.
 
Sasa kama Magufuli alikuwa hafuati taratibu za nchi ulikuwa wapi kumkosoa??

SI mlitulia kimya ili dawa iingie,Kosa la samia liko wapi,angekuwa anataka kuficha aende kimya kimya angeshirikisha bunge??

Wezi tuh ndo watataka wabakie waendelee kutuibia pale bandarin,Samia piga kazi achana na ma.fala wasiojitambua
Wewe ulimkosoa kwenye Korosho ulifanikiwa nini zaidi ya kuugulia maumivu mpaka leo. Zaidi unapalilia Udini wako tu.
 
Samia ni smart prezoo,apoteze muda kuwajibu mazezeta ili Hali ana Mambo mengi ya kuifanya ili iweje??

Kukaa kimya ni jibu Kwa mjinga
Mambo mengi ya kuuza Raslimali za Tanganyika kwa Waarabu. Uzeni na korosho
 
Hata mimi siungani na wanaopinga uwekezaji wa DPW kwa sababu ni Waarabu au waliousaini ni wa Tanzania visiwani. Ila mazingira ya uandaaji wa huo mkataba na nguvu inayotumika vinasababisha wajadiliaji hoja ya kuupinga wanahusisha udini na upande wa Muungano.

Nami naendelea kuuliza (kwa wino mwekundu) bila kujibiwa kuna nini nyuma ya mkataba wa IGA tofauti na mikataba mingine ya uwekezaji kibiashara?

Kama Mkuu The Boss una jibu nipe niondoe hisia na dhana potofu ya Wachingiaji wengi kuwa bandari inauzwa na wasio WaTanganyika.
Kuna uzi Pascal Mayalla kafafanua kabisa kuwa IGA ni Sawa na MoU... memorandum of understanding tu.. makubaliano ya kidiplomasia zaidi ambayo hayana nguvu yeyote ya kisheria Hadi mtakapoingia mkataba halisi....

Umeuliza why hii inapingwa zaidi?
Hujui kuna watu wataathirika na biashara? Karamagi na Ticts?hakawalipa watu "wampambanie"?
Unaamini ni uzalendo wake Tibaijuka anaenda Hadi kwenye TV kupinga Dpworld? Huyu Tibaijuka aliepewa mgao escrow?? Hajapewa mgao na Karamagi??..

Huoni kuna kundi linatumia nguvu kupinga Dpworld Kwa sababu ambazo haziko clear??
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
1. Kwa kuwa Magufuli alikuwa anafanya makosa haya kibabe na Samia aachwe ayafanye tu sio? Atangaze tu kuwa, naye anakwenda kimagufuli - gufuli ili akabiliwe Kwa style ya kimagufuli pia..

2. Lakini, Ukiachilia mbali hilo, nionavyo mimi, hoja kwa kiasi kikubwa hata sio kampuni hiyo ya DP World imepatikanaje. Hizo hoja zinakuja na kuingia ktk mjadala huu kama "by the way". Kikubwa na kinacholeta ugomvi ni "intent" na "contents" za mkataba kuwa haufai na ni mbaya kiasi cha watu kuanza kuikumbuka Tanganyika yao na wengine kuingiza udini ndani yake...!

Mzee Mwanakijiji Yuko sahihi kukumbusha watu kuhoji mambo ya msingi. Hata hivyo, akumbuke tu kuwa hata hayo anayoona si hoja, lakini kwa namna jambo hili lilivyokaa, ni lazima tu yajitokeze na kuhojiwa. Mathalani issue ya muungano imeguswa na mkataba huu. Katiba ya JMT imeguswa na mkataba huu..

Huwezi kujaribu kushughulikia mambo ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar kimakosa Kwa kukiuka principles zake Kisha usiamshe hoja ya u - Zanzibari na Zanzibar na u - Tanganyika na Tanganyika..!
 
Hiyo no 6 ..lazima kushindanisha??
Rais anaweza ona kampuni ipi sahihi ..
Kama Magufuli alivyokuwa anatuchagulia kampuni ipi zijenge nini na wapi..
Bwawa la Nyerere...alichagua yeye ..
Sgr alichagua yeye ..

Since Rais Yuko more informed na washauri Tele kaona Dpworld sahihi...

Wewe kaaa kimyaa kama ulivyokuwa kimyaa wakati Magufuli anafanya yote hayo Kwa utashi wake
Kama Magufuli alikuwa anakiuka taratibu za manunuzi basi tumfuate? Hapana, hata kama rais yuko well informed hawezi kufanya kila kitu yeye.

Kama hivyo basi rais awe sehemu ya majaji wa mahakama awe anatoa hukumu kwa vile atakuwa weli informed.
 
Back
Top Bottom