Ugaidi: Kilio kimetanda kwa jirani zetu Somalia jijini Mogadishu kwa siku ya sita sasa

Ugaidi: Kilio kimetanda kwa jirani zetu Somalia jijini Mogadishu kwa siku ya sita sasa

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Hii ndio kazi ya mazombie ambao baadhi ya watz huwa wanawashabikia.
AP17287578258701-e1508065893898-640x400.jpg
Jumamosi iliyopita shambulizi kali liliwaua raia wa Somalia zaidi ya 80 na waturuki wawili, jijini Mogadishu. Huku wasomalia wengine zaidi ya 120 wakijeruhiwa vibaya. Kazi ya mazombie wa alshabaab, ambao walilipua bomu ambalo lilikuwa limetegwa kwenye gari karibu na 'check point' moja kubwa jijini Mogadishu. Ningependa kusikia maoni ya baadhi ya majirani watz, wanaowashabikia alshabaab, wakiongozwa na FaizaFoxy. Kuhusu mauaji haya ya wasomalia wasiokuwa na hatia, tena waislamu, na wanafunzi 16 pia! Shambulizi lingine kama hili lilikuwa mwaka wa 2017, ambapo wasomalia 500 waliuawa na maelfu wakajeruhiwa. Al-Shabab claims deadly attack in Somalia's Mogadishu
 
Kilio kimetanda kwa jirani zetu Somaaliya jijini Mogadishu kwa siku ya sita sasa.
AP17287578258701-e1508065893898-640x400.jpg
Hii ni baada ya shambulizi kali ambalo limeua raia wa Somalia zaidi ya 80 na waturuki wawili Jumamosi iliyopita. Huku wasomali wengine zaidi ya 120 wakijeruhiwa vibaya. Kazi ya mazombie wa alshabaab, ambao walilipua mabomu ambayo yalikuwa yametegwa kwenye magari mawili karibu na 'check point' moja kubwa jijini Mogadishu. Ningependa kusikia maoni ya baadhi ya majirani watz wanaoshabikia alshabaab wakiongozwa na @Faizafoxyy. Kuhusu mauji haya ya wasomaki wasiokuwa na hatia, tena waislamu! Shambulizi lingine kama hili lilikuwa mwaka wa 2017, jijini Mogadishu pia, ambapo wasomalia 500 waliuawa na maelfu wakajeruhiwa.
Asante kwa taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kama taarifa umeleta kishabiki?ulikua unaombea hili swala litokee? Sent using Jamii Forums mobile app
Nioneshe ni wapi ambapo nimeshabikia hawa mazombie ambao ni maadui wa nchi yetu tukufu ya Kenya. Tena ambao wamewaua raia wenzao wasomalia, wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto na wanafunzi wa chuo kikuu. Sio kila mtu ana akili ovyo za kizombie kama unavodhania. Acha utikitimaji, tangaza msimamo, kuna kauvundo flani hivi kwenye hii comment yako.
 
Hawez toa muongozo. Muongozo ni Quran na Sunnah
KWA MUJIBU WA UISLAM UKIUA MTU MMOJA AMBAE HANA HATIA NI SAWA NA KUUA DUNIA NZIMA NA KILA KILICHOMO.
Alafu cha kutamausha zaidi ni kwamba anayewaongoza na kuwafunza hawa mazombie kutengeneza vilipuzi hivi hatari ni huyu nguruwe. Mzungu kutoka marekani, ambaye amejitwika jina la Jehad Mostafa.
EM3BjlBWkAATtk_.jpg:small
Jamaa yupo Somalia na huwa anahojiwa live mara kadhaa kwenye Aljazeera Arabic, ambayo ndio media maalum ya kueneza propaganda za hawa mazombie. Yaani kwa kifupi, wanamshobokea mzungu ambaye hadi sasa hivi amewaua zaidi ya wasomalia 1,200, waislamu. Tena wanamlinda ili asije akanaswa na FBI.
 
Alafu cha kutamausha zaidi ni kwamba anayewaongoza na kuwafunza wenzake FaizaFoxy kutengeneza vilipuzi hivi hatari ni huyu nguruwe. Mzungu kutoka marekani, ambaye amejitwika jina la Jehad Mostafa.
EM3BjlBWkAATtk_.jpg:small
Jamaa yupo Somalia na huwa anahojiwa live mara kadhaa kwenye Aljazeera Arabic, ambayo ndio media maalum ya kueneza propaganda za hawa mazombie. Yaani kwa kifupi, wanamshobokea mzungu ambaye hadi sasa hivi amewaua zaidi ya wasomalia 1,200, waislamu. Tena wanamlinda ili asije akanaswa na FBI.
ILA ACHA MIHEMKO YA KISHABIKI. HEBU MTOE HUYO FAIZA
 
ILA ACHA MIHEMKO YA KISHABIKI. HEBU MTOE HUYO FAIZA
Nimtoe? Kivipi yaani? Jombaa, tupo kwenye vita dhidi ya hawa washenzi. Huu uozo wao hatari huwa wanaueneza sanasana kwenye mitandao wakiwatafuta vijana malofa ambao wanataka kuungana nao. Wewe unadhani ni mzaha? Watu kama huyo shangazi yenu wana uhuru wa kufanya watakavyo kwasababu hawapo Kenya. Ila wakiingia tu kwenye nane za ATPU, hamna lingine, ni shaba kichwani.
 
Taarifa yako umeileta kiushabiki. Acha nyenyenye mob. We see through, fool.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran kwa kujiingiza mwenyewe kwenye hiyo bracket ya BAADHI ya watz. Mbona huwa sioni ukiwakashifu wanapokenua kenua na kueneza propaganda za kijihadi dhidi ya Kenya kila mara tunapokua kwenye maombolezi baada ya shambulizi? Gakuro!
 
Hii ndio kazi ya mazombie ambao baadhi ya watz huwa wanawashabikia.
AP17287578258701-e1508065893898-640x400.jpg
Jumamosi iliyopita shambulizi kali liliwaua raia wa Somalia zaidi ya 80 na waturuki wawili, jiji Mogadishu. Huku wasomalia wengine zaidi ya 120 wakijeruhiwa vibaya. Kazi ya mazombie wa alshabaab, ambao walilipua bomu ambalo lilikuwa limetegwa kwenye gari karibu na 'check point' moja kubwa jijini Mogadishu. Ningependa kusikia maoni ya baadhi ya majirani watz, wanaowashabikia alshabaab, wakiongozwa na FaizaFoxy. Kuhusu mauaji haya ya wasomalia wasiokuwa na hatia, tena waislamu, na wanafunzi 16 pia! Shambulizi lingine kama hili lilikuwa mwaka wa 2017, ambapo wasomalia 500 waliuawa na maelfu wakajeruhiwa. Al-Shabab claims deadly attack in Somalia's Mogadishu

Inasikitisha sana
 
Atasema ni Wamarekani hao wanafanya hivyo
Msemaji wao Sheik Ali Mohamud Rage alishawasifia hao mazombie wa alshabaab waliofanya uhuni huo akiwaita mujahideen na wajasiri. Tena live kwenye audio.
 
Nioneshe ni wapi ambapo nimeshabikia hawa mazombie ambao ni maadui wa nchi yetu tukufu ya Kenya. Tena ambao wamewaua raia wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto na wanafunzi wa chuo kikuu. Sio kila mtu ana akili ovyo za kizombie kama unavodhania. Acha utikitimaji, tangaza msimamo, kuna kauvundo flani hivi kwenye hii comment yako.
Mpaka mwondoke kwao.
 
Mpaka mwondoke kwao.
[emoji15][emoji15][emoji15] Sijakuelewa, unamaanisha kwamba mabwana zako wataendelea kuwachinja wasomali wenzao, waislamu wenzao na kuharibu nchi yao? Kama walivokuwa wanafanya kwa miaka mingi, kabla KDF iingie Somaaliya hadi KDF itakapotoka kwao? Alafu kwa taarifa yako vikosi vya Kenya haviko Ugandishu, kama ilivokuwa inaitwa hapo awali UPDF walipokuwa wanadumisha amani.
 
[emoji15][emoji15][emoji15] Sijakuelewa, unamaanisha kwamba mabwana zako wataendelea kuwachinja wasomali wenzao, waislamu wenzao na kuharibu nchi yao? Kama walivokuwa wanafanya kwa miaka mingi, kabla KDF iingie Somaaliya hadi KDF itapotoka kwao? Alafu kwa taarifa yako vikosi vya Kenya haviko Ugandishu, kama ilivokuwa inaitwa zamani UPDF walipokuwa wanadumisha amani.

Huyo muache ashajichokea ajuza wa watu..... Keshjibizana na vijana humu JF hadi ameishiwa pumzi, siku hizi wanamtag ila anapita kimya.
 
Huyo muache ashajichokea ajuza wa watu..... Keshjibizana na vijana humu JF hadi ameishiwa pumzi, siku hizi wanamtag ila anapita kimya.
Acha ajibu mashtaka. Sina ugomvi wa kibinafsi naye wala sina nia ya kujibizana. Ningependa anieleze tu, maanake kuna uwezekano kwamba ana wajukuu au labda watoto ambao automatically ni waislamu. Kama hao wanafunzi wa chuo kikuu cha kibinafsi Mogadishu, ambao walikuwa kwenye basi la chuo chao. Bomu lilipolipuka na wote 16 wakafa, wakaungua kabisa wasijulikane kwa sura wala muonekano wao. Viongozi wa kesho ambao walitegemewa kujenga nchi yao na kitendo kama hicho kinamfurahisha mno FaizaFoxy. Kama sio ushetani huo ni nini?
 
ugaidi na kujitoa muhanga kuua raia wasiokuwa na hatia imekuwa kawaida na sehemu ya uislamu
Tunaomba utudokezee ni aya ipi kutoka katika kitabu chenu cha dini kinawaagiza kutekeleza mambo haya?
Shukran sana jombaa. Umeuliza swali ambalo nadhani anafaa aanze kwa kulijibu, kabla ya kurukia kwenye jambo lolote lingine.
 
Back
Top Bottom