OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Ma chief mbona walikuwa wanakula ugaliHiyo meza kana ina Wasukuma hamuwatendei haki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma chief mbona walikuwa wanakula ugaliHiyo meza kana ina Wasukuma hamuwatendei haki.
Kwa sababu ugali unaliwa kila siku sanaKama mtamu kwa nini hamuweki kwenye sherehe?
We utakuwa umehudhuria sherehe za washambaKama mtamu kwanini hamuweki kwenye sherehe?
Chakula cha maskini na mifugoKwa sababu ugali unaliwa kila siku sana
Hivi wafalme na masulutani ni sawa na hawa machifu wa huku kwwtu africa? vipi umehusisha ugali na tamaduni? maana kama aio utamaduni wao watakulaje ugali na vp kuhusu wasukuma na ugali ukizingatia kuwa chifu HANGAYA HATATENGEWA UGALI KWENYE MEZA YAKEWadau wenzangu wa JF & Watanzania wote
Naandika haya nikiongozwa kwa dhamira nzuri ya kueleza ukweli bila kuwa na nia ya kuwakera baadhi yenu
Sikusudii kupotosha, kukashfu, kudharau historia yetu, au makuzi yetu, au aina fulani ya chakula, kikundi fulani
kwenye jamii yetu n.k
Nazungumza chakula maarufu duniani kinachotokana na mahindi almaarufu Ugali
Nitazungumzia kwa ufupi kuhusu Ugali Chakula ambacho;
Kwa asili hakijawahi kuwa sehemu ya vyakula vinavyote gwa kwenye meza kuu ya Wafalme au Masultani!
Hakijawahi kuwa Maalumu au mahsusi kwa ajili ya wageni
Hakijawahi kuwa Maalumu au Mahsusi hata kwa ajili ya wagonjwa au walio na njaa kali
Ni chakula kinachohusishwa na Utwana au Utumwa au hali ya umasikini
Kimekosa ufahari mbele ya jamii hasa baada ya kukitumia
Kinahusishwa na udumavu wa maendeleo ya taaluma kwa wanaokitumia kwa muda mrefu tofauti na wanaotumia vyakula vinginevyo kama mpunga, ngano, shayiri, mtama, ulezi au hata ndizi n.k
Naomba kuwasilisha
Karibuni kwa mjadala
Aksanteni
Nakala: Paschal Mayala
Udogoni maamuzi ya kukataa kula ugali usiku hayakuwa yako ila kwa vile Sasa maamuzi ni yako jaribu kutengeneza ratiba mpya ya kula ugali mchana peke yake tena siku ambayo huna majukumu ya kutumia akili kama mtihani au yanayohitaji akili kubwa.Hivyo eh!? Ugali umenikuza mimi siyo kwamba nilikuwa sili vyakula vingine la hasha! Bali nilikuwa naufurahia hata usiku udogoni nimekula mara nyingi tu na hadi hii leo sioni shida kula ugali usiku.
Labda si ule ugali wetu wa unga wa muhogo uliochanganywa na mtama kisha ukapata na sato au sangara aliyebanikwa na mlenda pembeni [emoji16]wakati tunasoma shule msingi, ugali kukipikwa tulikuwa tunafurahi ubakipo, Asubuhi unakata vipande ka vya mkate unanywea na chaiii adi rahaaa
ila kiporo cha ugali hakinogi ka kiporo cha Wali - magereza .....aka wali maharagwe - mseto
Kisukari ni mfumo wako wa maisha mbovu, ikiwa kila kukicha nguvu unatumika mwilini na unazingatia vyakula vingine vya protini na matunda, hiyo sukari inatokea wapi?Mahindi yameletwa Africa na wakoloni wa kireno na si chakula bora ndo maana watu wananenepeana hovyo na kupata kisukari sababu ya kula ugali hasa wa mahindi, chakula gani hichi ambacho panya, dumuzi, scania, madawa shambani, mbolea za chumvi chumvi hutumika sana.
Nashukuru nimeacha kutumia unga wa mahindi kutengeneza ugali sasa nina mwaka mmoja kamili bila kugusa, na mwili nausikia vizuri na tumbo limekuwa jepesi napata choo kingi kila siku bila ya ugali.
Udogoni maamuzi ya kukataa kula ugali usiku hayakuwa yako ila kwa vile Sasa maamuzi ni yako jaribu kutengeneza ratiba mpya ya kula ugali mchana peke yake tena siku ambayo huna majukumu ya kutumia akili kama mtihani au yanayohitaji akili kubwa.
Washa videooooUgali ni mtamu sana kutegemea unakula na mboga gani. Mchicha na samaki wa kukaanga, bamia na kuku wa kienyeji wa kuchoma au nyama ya kuchoma. Ugali na dagaa na mboga za majani au bamia. Ugali oyeeeee! Mie naula sana tena naupenda sili ugali for the sake ya kula ugali tu bali naufurahia sana. 😋😋😋
Mkuu unatumia ugali gani?Mahindi yameletwa Africa na wakoloni wa kireno na si chakula bora ndo maana watu wananenepeana hovyo na kupata kisukari sababu ya kula ugali hasa wa mahindi, chakula gani hichi ambacho panya, dumuzi, scania, madawa shambani, mbolea za chumvi chumvi kama nyumbani .
Nashukuru nimeacha kutumia unga wa mahindi kutengeneza ugali sasa nina mwaka mmoja kamili bila kugusa, na mwili nausikia vizuri na tumbo limekuwa jepesi napata choo kingi kila siku bila ya ugali.
sio huo, Ugali ulikuwa wa dona na unga wake ulitokana na mahindi fulani ivi ya njanoo (magumuu)Labda si ule ugali wetu wa unga wa muhogo uliochanganywa na mtama kisha ukapata na sato au sangara aliyebanikwa na mlenda pembeni [emoji16]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ni kwa kuwa vimetamalaki kila upand, ila vikiadimika vyakula pendwa hivyo huonekana keki.... ugali, kunde, muhogo, na mbaazi (kavu) ni vyakula vya kitwana sana.
Vipi kuhusu chipsi zege? Limo, halimo kwenye umaalumu?Kama mtamu kwanini hamuweki kwenye sherehe?
Huo huo ninaula kila kukicha na nikienda Hospitalini kuchukua vipimo vya afya naambiwa sukari yangu ipo ktk viwango vizuri kiafya.sio huo, Ugali ulikuwa wa dona na unga wake ulitokana na mahindi fulani ivi ya njanoo (magumuu)
Ndio hivyoChakula cha maskini na mifugo