Ugali ni chakula ambacho hakijawahi tengwa mahsusi kwenye meza kuu za Wafalme na Masultani, kinahusishwa na uduni wa kiuchumi

Ugali ni chakula ambacho hakijawahi tengwa mahsusi kwenye meza kuu za Wafalme na Masultani, kinahusishwa na uduni wa kiuchumi

Wadau wenzangu wa JF & Watanzania wote

Naandika haya nikiongozwa kwa dhamira nzuri ya kueleza ukweli bila kuwa na nia ya kuwakera baadhi yenu

Sikusudii kupotosha, kukashfu, kudharau historia yetu, au makuzi yetu, au aina fulani ya chakula, kikundi fulani
kwenye jamii yetu n.k

Nazungumza chakula maarufu duniani kinachotokana na mahindi almaarufu Ugali

Nitazungumzia kwa ufupi kuhusu Ugali Chakula ambacho;

Kwa asili hakijawahi kuwa sehemu ya vyakula vinavyote gwa kwenye meza kuu ya Wafalme au Masultani!

Hakijawahi kuwa Maalumu au mahsusi kwa ajili ya wageni

Hakijawahi kuwa Maalumu au Mahsusi hata kwa ajili ya wagonjwa au walio na njaa kali

Ni chakula kinachohusishwa na Utwana au Utumwa au hali ya umasikini

Kimekosa ufahari mbele ya jamii hasa baada ya kukitumia

Kinahusishwa na udumavu wa maendeleo ya taaluma kwa wanaokitumia kwa muda mrefu tofauti na wanaotumia vyakula vinginevyo kama mpunga, ngano, shayiri, mtama, ulezi au hata ndizi n.k

Naomba kuwasilisha

Karibuni kwa mjadala

Aksanteni

Nakala: Paschal Mayala
Mleta mada!

[emoji871]Ebu fanya utafiti katika shule na vyuo mbalimbali nchini na utuambie wale wanaopata ufaulu wa juu wanatokea jamii zipi kati ya wala ugali na wala wali.

[emoji871]Ukishapata jibu urudi hapa?

[emoji871]Angalia pia wasanii wakubwa nchini wametokea kabila zenye asili gani kati ya wala ugali na wala Pilau?

[emoji871]Hata wapigania uhuru wa nchi hii wengi walikuwa wala ugali.

[emoji871]Madhara ya kula Chips na huo wali mnayaona hapo kwa wanaume wa Dar es salaam.

[emoji871]Madhara ya kula ndizi tena za aina moja mmeyaona kule Rombo.

[emoji871]Pia madhara ya kula ndizi na maharage kwa muda mrefu tumeyaona kwa dada zetu kutoka Kagera.

[emoji871][emoji871]Manufaa ya Ugali tunayaona kwenye matokeo ya ushupavu wa wanajeshi wetu popote pale walipo.
 
Ugali ni mtamu sana kutegemea unakula na mboga gani. Mchicha na samaki wa kukaanga, bamia na kuku wa kienyeji wa kuchoma au nyama ya kuchoma. Ugali na dagaa na mboga za majani au bamia. Ugali oyeeeee! Mie naula sana tena naupenda sili ugali for the sake ya kula ugali tu bali naufurahia sana. [emoji39][emoji39][emoji39]

Wa ambie uko New York City na still unakula na kuufurahia

Ila wao wako buza wa autism
 
Wadau wenzangu wa JF & Watanzania wote

Naandika haya nikiongozwa kwa dhamira nzuri ya kueleza ukweli bila kuwa na nia ya kuwakera baadhi yenu

Sikusudii kupotosha, kukashfu, kudharau historia yetu, au makuzi yetu, au aina fulani ya chakula, kikundi fulani
kwenye jamii yetu n.k

Nazungumza chakula maarufu duniani kinachotokana na mahindi almaarufu Ugali

Nitazungumzia kwa ufupi kuhusu Ugali Chakula ambacho;

Kwa asili hakijawahi kuwa sehemu ya vyakula vinavyote gwa kwenye meza kuu ya Wafalme au Masultani!

Hakijawahi kuwa Maalumu au mahsusi kwa ajili ya wageni

Hakijawahi kuwa Maalumu au Mahsusi hata kwa ajili ya wagonjwa au walio na njaa kali

Ni chakula kinachohusishwa na Utwana au Utumwa au hali ya umasikini

Kimekosa ufahari mbele ya jamii hasa baada ya kukitumia

Kinahusishwa na udumavu wa maendeleo ya taaluma kwa wanaokitumia kwa muda mrefu tofauti na wanaotumia vyakula vinginevyo kama mpunga, ngano, shayiri, mtama, ulezi au hata ndizi n.k

Naomba kuwasilisha

Karibuni kwa mjadala

Aksanteni

Nakala: Paschal Mayala
Unazungumzia wafalme wa kizungu au kiafrika?
 
Mpaka sasa mleta mada hajawekwa lock up? Intelligence yetu ni hafifu sana
Mtu hawezi kuleta dharau kama hizi tunamuacha uraiani anatamba hadi leo[emoji23][emoji23]
 
Ugali ni lichakula lisilo na swagger. Halina ladha wala nini, tupia huko kwa mifugo
 
Ugali upunguza uwezo wa kufikiri. Jamii zote zinazokula ugali huwa ni dull.
Ndizi na ngano uleta brain
 
Mahindi mabichi yana virutubisho vingi kuliko ugali, pia sio rahisi kula mahindi mengi kama ugali ukapatwa na kiribatumbo.
Mahindi yanathamani Ila ugali hauna thamani

Binadamu bhana
 
Back
Top Bottom