Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Vipi makande nayo si salama? Maana mnataka tule pumba sasa naona
Hivi Mnajua Sukari Inavyotengenezwa?
Mnajua Kuwa Mnakula Chokaa?
Maana Malory Semi Trailer Kibao Zinashusha Chokaa Kila Kukicha Ili Sukari Ipatikane! Ohoooo
 
mle kwenye MASHINE kuna sumaku inayonasa tu-vyuma

isitoshe hata ukila hivyo tuvyuma ndivyo unaendelea kuwa imara kama chuma.!!
Si ndiyo? Au vinaenda chooni direct chooni kupitia tumboni! Shida iko wapi?
 
Mwili wa mwanadamu ni mtambo ulio kamili. Una uwezo wa kutambua vipande hivyo na kuvifyonza au kuvitoa nje kupitia haja kubwa ndogo au jasho. Jembe lilimalo mazao huliwa na udongo na chembe za chuma hatimae hufyonzwa na mmea na kutua tumboni mwako.
 
Hata sifuria inayopika(Mara nyigi aluminum) inapopata joto huyeyuka. Zile chechembe tunazila. So ni majanga mkuu,turudi kwenye vyungu.
Ulishawahi kula mchuzi wa nyama uliopikwa kwenye chungu? Ukijaribu utatafuta chungu kikae jikoni kwako.
 
Hata ukiiishi sana utakufa tuu, kila kitu tufanyacho duniani ni ubatili mtupu, cha msingi furahia maisha na mkumbuke Mungu wako
 
Mkuu hata kijiko unacholia msosi kinaisha. ukiwa makini sana siku hizi kila kitu kina madhara

Muhimu ni kuwa hzo particles hadi ziwe na madhara, accumulation yake inaweza chukua miaka 90+ endapo utakuwa unatumia kila siku

Komenti tayari
 
Back
Top Bottom