Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

chuma inasagika na inaoza tu kama kawaida, nafuu ungesema plastic ningeshtuka, unaudiss ugali wakati ndo uliokukuza mpaka unapata nguvu za kuandika. Kula ugali acha uoga
Huyo mleta mada atakuwa mtani wangu mpare.Si unajua wabahili.Anaona ubahili kutoa pesa wakasage unga kwenye mashine anataka wapende Kula kande mfululizo kwa kisingizio cha unga uliosagwa mbaya!!!! Wakati sababu kubwa ubahili.Haya endeleeni Kula kande watani zangu.Kifupi biashara ya mashine za kusaga upareni haipo ukiweka mashine ya kusaga imekula kwako.Watu ni Kula kande kwenda mbele.Watani zangu mpo?
 
Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.
Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Humu kwenyeJF kuna Uzi unasema mabasi yenye viyoyozi ni hatari na ukichimba zaidi utakuta yanahatari mara mbili, hatari ya pili ni soda na juisi wanazowapa abiria wao, je wanawapenda au wanawachukia?
Acha kusafiri kwenye mabasi yenye viyoyozi, soda, juisi, pipi na bisikuti.
 
Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.

Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Kwani mavyuma (iron)hayana maana kwenye afya ya mtu?
 
Zipo filter kwenye hatua ya mwisho unapotoka unga, vipande vya vyuma haviwezi kupenya kwenye zile chujio..
 
Sufuria unayopikia igali inaisha... Inatoboka unakoelekea utasema hata gesi tunakula...

Kula chochote ambacha hakikudhuru kwa muda huo....! Utaacha kula ugali sasq lakini hatua chache unazombwa na maji unapote ... Ugali unatuachia tukiendelea kuukandamiza...

Asante Mungu kwa Uzima na Afya njema
 
Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.

Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Kama siyo Mungu ,sijui ningekuwa wapi leo,,
 
Sufuria unayopikia igali inaisha... Inatoboka unakoelekea utasema hata gesi tunakula...

Kula chochote ambacha hakikudhuru kwa muda huo....! Utaacha kula ugali sasq lakini hatua chache unazombwa na maji unapote ... Ugali unatuachia tukiendelea kuukandamiza...

Asante Mungu kwa Uzima na Afya njema

Chuma hata binadamu tunayo mwilini hata tukila zile patikozi ni kujiongezea chuma zaidi na ni jambo jema
 
Hatari Sana mkuu hakuna chakula kilicho salama Kama kinapitia kiwandani mkuu , mchele wenyewe unapitia huko huko kwenye mashine, ukichunguza Sana utakua unakula mihogo tuu, lakoni hata hiyo mihogo umeshawahi jiuliza kwa nn kisu kinachomenyea and kinaisha makali ule ubutu unasabishwa na nn, ni kumuomba tu mungu mkuu atuepushe na athali ya hivyo vitu
huyu jamaa huyu nahisi ni jini huyu
 
Kitu nlicgogundua humu jf ....kila MTU anafanya uchunguzi, na uchunguz huo unafanyika kiboya sana kiasi kwamba MTU anakuja na data za kupotosha watu

Kwenye masuala ya research mnafeli

Mna-complicate vitu simple ,halafu vya kuwa complicate mnavifanya easy

No research, No right To speak
Next time mtakuja tuambia machungwa ni sumu .
 
Ugali ni hatari ukiliwa kwa kiwango kikubwa ila sio kwa sababu uliyoielezea hapa.
 
Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.

Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Chuma hakiwezi kuwa metabolized kwenye tumbo hivyo hakiwezi kufanyiwa absorption yoyote ile kwenda kwenye system za mwili,hivyo chuma kitatoka pamoja na kinyesi tu
 
Back
Top Bottom