GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha kula ugali kula chips mayai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha kula ugali kula chips mayai
Huyo mleta mada atakuwa mtani wangu mpare.Si unajua wabahili.Anaona ubahili kutoa pesa wakasage unga kwenye mashine anataka wapende Kula kande mfululizo kwa kisingizio cha unga uliosagwa mbaya!!!! Wakati sababu kubwa ubahili.Haya endeleeni Kula kande watani zangu.Kifupi biashara ya mashine za kusaga upareni haipo ukiweka mashine ya kusaga imekula kwako.Watu ni Kula kande kwenda mbele.Watani zangu mpo?chuma inasagika na inaoza tu kama kawaida, nafuu ungesema plastic ningeshtuka, unaudiss ugali wakati ndo uliokukuza mpaka unapata nguvu za kuandika. Kula ugali acha uoga
Humu kwenyeJF kuna Uzi unasema mabasi yenye viyoyozi ni hatari na ukichimba zaidi utakuta yanahatari mara mbili, hatari ya pili ni soda na juisi wanazowapa abiria wao, je wanawapenda au wanawachukia?Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.
Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Kwani mavyuma (iron)hayana maana kwenye afya ya mtu?Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.
Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Mkuu linachafuka lako inaonekana ni mchafu ww.Kama kuoga Ni usafi mbona taulo linachafuka
Kama siyo Mungu ,sijui ningekuwa wapi leo,,Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.
Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Sufuria unayopikia igali inaisha... Inatoboka unakoelekea utasema hata gesi tunakula...
Kula chochote ambacha hakikudhuru kwa muda huo....! Utaacha kula ugali sasq lakini hatua chache unazombwa na maji unapote ... Ugali unatuachia tukiendelea kuukandamiza...
Asante Mungu kwa Uzima na Afya njema
Ugali ugali ugali....!Hata pfunk anakula Ugali....[emoji443]
huyu jamaa huyu nahisi ni jini huyuHatari Sana mkuu hakuna chakula kilicho salama Kama kinapitia kiwandani mkuu , mchele wenyewe unapitia huko huko kwenye mashine, ukichunguza Sana utakua unakula mihogo tuu, lakoni hata hiyo mihogo umeshawahi jiuliza kwa nn kisu kinachomenyea and kinaisha makali ule ubutu unasabishwa na nn, ni kumuomba tu mungu mkuu atuepushe na athali ya hivyo vitu
Vipi makande nayo si salama? Maana mnataka tule pumba sasa naona
Chuma hakiwezi kuwa metabolized kwenye tumbo hivyo hakiwezi kufanyiwa absorption yoyote ile kwenda kwenye system za mwili,hivyo chuma kitatoka pamoja na kinyesi tuUnapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.
Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?