Ugali wa dona sasa washamiri kwa kasi Dar es Salaam

Ugali wa mihogo huo!
Afu niliskia hauna faida yeyote zaidi ya kujaza tumbo!

kuna ubishani tayari whether ni muhogo au udaga, lkn unamaanisha mihogo haina faida mwilini au ugali wa muhogo?
 

sawa kabisa
 
Kweli watu siku hizi tunakula dona saana, ni mzuri ukilinganisha na sembe lakini bado tunatakiwa kuwa waangalifu wa ugali wa mahindi!

ni akili ya kawaida sana kujua mbivu na mbichi hapo
 
kuna ubishani tayari whether ni muhogo au udaga, lkn unamaanisha mihogo haina faida mwilini au ugali wa muhogo?

Dunia mzima, muhogo ni stachi nö 1! stach za vyakula vyote vilivyobaki haviwezi kuifika ya muhogo!

But muhogo unapokaushwa na kutwangwa! Ni kama hindi linapokobolewa! (nimeskia tu)
Cc: MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
owkey, kwangu hili ni ingizo jipya, ukiweza kututafutia uchambuzi zaidi itakua heri
Dunia mzima, muhogo ni stachi nö 1! stach za vyakula vyote vilivyobaki haviwezi kuifika ya muhogo!

But muhogo unapokaushwa na kutwangwa! Ni kama hindi linapokobolewa! (nimeskia tu)
Cc: MziziMkavu
 
naona kila kitu kinang'aa ,afuta hapo hadi chachanfu yenyewe
Hapo ni kazi bure. Mkiacha nyama choma na rosti rosti, hata mngeendelea na sembe mngekuwa kwenye njia lishe sahihi.

MAFUTA na SUKARI katika milo yetu ndo tatizo kubwa zaidi.
 
U may try ugali wa mtama mweupe mzuri sana pia,unawafaa wenye kisukari..
 

Hakuna njia mahususi ya kuondoa hawa fungi ukiacha kuosha na kukobia ambako kunapunguza asilimia 40. Napenda sana kula dona kuliko sembe na hata ugali umechanganywa ulezi
 
Last edited by a moderator:
Hakuna njia mahususi ya kuondoa hawa fungi ukiacha kuosha na kukobia ambako kunapunguza asilimia 40. Napenda sana kula dona kuliko sembe na hata ugali umechanganywa ulezi

Ni ngumu sana kwani hata ukiondoa fungi lakini sumu zake bado zinabaki. Kwa sisi watu wazima exposure ya mara moja au 2 kwa wiki ya hivi viwango vilivyopo kwenye mahindi haina effect.
Hata hivyo nimekuwa nikijiuza ongezeko la wanawake wenye ndevu na wanauma wenye nyonyo kama inachangiwa na exposure ya zearalenone ambayo ni mojawapo wa hizo sumu.
Kwa bahati mbaya pia siku hizi kiasi kikubwa cha mahindi yanayofika sokoni yanakuwa yalihifadhiwa na pesticides kama actellic super na zingine, so kuosha na kukoboa bado kunabaki njia sahihi na rahisi ya kujiepusha na haya masumu...
 

Ahsante Tuko! Vpi kuhusu ule unga wa ngano isiyokobolewa nao unapata watumiaji wengi kwa sasa je hakuna madhara kwenye hiyo ngano.?
 
Ahsante Tuko! Vpi kuhusu ule unga wa ngano isiyokobolewa nao unapata watumiaji wengi kwa sasa je hakuna madhara kwenye hiyo ngano.?

Kwa bahati nzuri ngano na mpunga zina resistance kubwa kwa hawa fungi ukifananisha na mahindi na karanga (karanga ndio mbaya haswaa). Sina reference ya study iliyowahi kupata sumu kwa wingi kwenye ngano hapa Tz, ingawa kwa nchi nyingine ni common hasa kwenye ngano inayotumika kwenye vyakula vya mifugo (hiyo isiyokobolewa)...
 
Hakuna njia mahususi ya kuondoa hawa fungi ukiacha kuosha na kukobia ambako kunapunguza asilimia 40. Napenda sana kula dona kuliko sembe na hata ugali umechanganywa ulezi

Wakati wa kupika si unga unawekwa kwenye maji ya moto 100°C,,, sasa hawa fungi hawafi na hilo joto?
 

Ahsante Tuko! Hivyo ni bora kutumia unga wa ngano isiyokobolewa kwa ugali kwani unapata lishe nzuri bila kuwa matatizoni na hizo sumu kama za kwenye mahindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…